Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’ jana walinaswa na kamera yetu wakiwajibika vikali na mazoezi katika ofisi za bendi hiyo zilizopo Kinondoni Vijana jijini Dar es Salaam. Akiongea na mwanahabari wetu, Mkurugenzi wa Kampuni ya (ASET), Asha Baraka, alisema kuwa kutokana na ratiba yenye ‘pressure’ ameamua kuongeza muda wa mazoezi tofauti na walivyokuwa wakifanya siku za nyuma ambapo wanamuziki walitakiwa mazoezi kuanzia saa sita mchana na hadi saa kumi jioni, na sasa wanatakiwa kuanza mazoezi saa nne asubuhi hadi saa kumi na moja jioni.
Baadhi ya wanenguaji wa Twanga Pepeta wakiwajibika mazoezini.
Mpiga ‘drum’ wa bendi hiyo, James Kibosho, akiwa shughulini mazoezini. Aliyesimama ni mpiga tumba wa bendi hiyo ajulikanaye kwa jina la kisanii kama ‘MCD’ akiwa mazoezini.
Joseph Shamba ‘Vengu’ (kushoto) akiwa na kiongozi wa African Stars ‘Twanga Pepeta’, Luiza Mbutu (katikati), na kulia ni mkurugenzi wa bendi hiyo, Asha Baraka.
Mchekeshaji mahiri wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja’ (kushoto aliye na kamera) akijaribu kuwapiga picha wanamuziki wa bendi hiyo wakiwa mazoezini. Kulia kwake) ni Kalala Juniour, muimbaji wa bendi hiyo.
Joseph Shamba ‘Vengu’ (aliyesimama) akiongea kwa msisitizo mkali na mataalam wa tiba za jadi maarufu kwa jina la Manyaunyau wakiwa katika Kinyaiya Pub iliyo karibu na ofisi za (ASET).
Kalala Juniour akimlisha firigisi mchekeshaji ‘Vengu’ muda mfupi baada ya kupumzika mazoezi.
Alex Chalamila ‘Mac Reagan’ akigandamiza kinanda katika shughuli hizo za kurekodi.
ORIJINO KOMEDI WAKIREKODI KIPINDI KIKUNDI cha vichekesho cha Orijino Komedi kinachorushwa hewani kupitia luninga ya ‘TBC1’ jana kilinaswa na mpiga picha wetu kikirekodi kipindi ndani ofisi za ASET Kinondoni jijini Dar es Salaam. Isaya Mwakilasa ‘Wakuvanga’ akipiga gitaa na kuporomosha songi la nguvu wakati Emmanuel Mgaya ‘Masanja’ akiwa katika harakati za kurekodi kipindi hicho.
Joseph Shamba ‘Vengu’ akiwa ‘siriazi’ na gitaa la bass katika moja ya shughuli za kuwezesha kipindi chao kwenda hewani vizuri.
Mpiga picha wa kundi la Orijino Komedi aliyejitambulisha kwa jina moja la Kissoky, (kushoto) akiwa na ‘Masanja’ (katikati) na Rogert Hegga mwanamuziki ‘Twanga Pepeta’ ndani ya Kinyaiya Pub muda mfupi baada ya kutoka mazoezini.
MEMPHIS, Marekani TIMU ya mpira wa Kikapu ya Memphis Grizzlies imemrejesha kikosini beki wake wa kati, Hasheem Thabeet ambaye hivi karibuni alishushwa hadi katika kikosi cha timu ya Dakota Wizards inayoshiriki daraja la chini la NBA, linalojulikana kama Development League (NBDL)...
Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema ambaye amefanya mabadiliko ya uongozi wa jeshi hilo kwa lengo la kuleta ufanisi mzuri wa kazi ya ulinzi wa amani na usalama nchini.
*KIKOSI CHA USALAMA CHAPATA BOSI MPYA
MKUU wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema amefanya tena mabadiliko ya uongozi kwenye jeshi hilo, lakini safari hii akitupia jicho zaidi kwenye Kikosi cha Usalama Barabarani na maofisa wa vitengo, kikiwemo cha habari...
...Bonyeza PLAY kupata uhondo uliopo katika video hiyo 'Kasepiki' ya Bebe Cool aliyoitoa hivi karibuni akiwa na Zuena, wakati mguu wake ukiwa bado umefungwa 'Antenna' kutokana na majeraha ya risasi.
KAMPALA, Uganda MWANAMUZIKI Bebe Cool ambaye alikumbwa na dhahama ya kushambuliwa kwa risasi na maaskari mwezi uliopita, amerejea kwa kasi kwenye fani ya muziki huo kwa kutoa video akiwa na mpenzi wake, Zuena ambaye walitengana naye mwishoni mwa mwaka jana...
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.
MWENYEKITI wa Chama chaTanzania Labour (TLP) amemtaka Spika wa Bunge, Samuel Sitta, amlipe fidia ya Sh bilioni moja ndani ya wiki moja kuanzia juzi, vinginevyo atamfungulia kesi ya madai Mahakama Kuu kwa kile anachodai kwamba amedhalilishwa...
Habari ndugu, Mimi naitwa Michelle na nimekuwa nikifuatilia discussions zinazokuwa kwenye forum na kwa kweli nawapongeza sana. Hii ni mara ya kwanza ninaandika hapa. Mimi nimetokewa na situation ambayo imeniweka njia panda. Naomba ndugu zangu mnisaidie. Mimi na ndugu zangu
...Bw.Soka akipewa kipigo na wenzake, huku mashabiki wengine wakishuhudia. ...Akiomba msaada kwa askari, lakini kachelewa, jamaa tayari walishamtoa meno! ...Akionesha mapengo yake, hawezi tena kuwa na herufi S kwenye msamiati wake...sasa ni 'thethe' kwa kwenda mbele!!
MWANACHAMA wa Yanga aliyepigwa hadi kutolewa meno na baadhi ya mashabiki wa timu hiyo wakati Yanga ilipocheza dhidi ya Azam kwa kudhaniwa ni shabiki wa Simba amesema atahakikisha wale wote waliohusika wanafikishwa kwenye vyombo vya sheria...
Zantel imezindua promosheni ya CHOMOKA NA VESPA maalum kwa wakazi wa Zanzibar. Promosheni hii itawawezesha wateja wa zantel kisiwani humu kupata nafasi ya kujishindia pikipiki aina ya Vespa ambayo ni chombo maarufu sana cha usafiiri visiwani humo. Akizungumwa na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo, Meneja masoko wa kampuni ya Zantel Bw. William Mpinga alisema kwamba zawadi katika
Na Mwandishi Wetu Msanii nyota wa muziki wa Injili Bongo, Rose Muhando ‘anabeba’ mzigo wa lawama kufuatia kuwepo kwa mpasuko ndani ya ndoa ya Promota maarufu wa muziki huo nchini, Alex Msama na mtangazaji wa Kituo cha Redio cha WAPO FM, Laura Bonaventure, Risasi Mchanganyiko limesheheni data...
Na Mwandishi Wetu Uongozi wa ITV/Radio One, unadaiwa ‘kumtema’ kazi ripota wake wa Morogoro, Amina Said ambaye ni mke wa Mbunge wa Mvomero, Suleiman Morad Sadiq, Risasi Mchanganyioko lina ‘fulu data’...
Na Mwandishi Wetu Wiki chache baada ya mwanamuziki mwenye heshima kubwa kunako Bongo Flava, Khaleed Mohamed ‘TID’ kumvisha pete ya uchumba Miss Kinondoni ‘the history’ aliyetajwa kwa jina moja la Kinana, anayetarajia kufunga naye ndoa ‘soon’, msanii huyo amepata pigo kubwa, Risasi Mchanganyiko linakuweka karibu naye...
Na Richard Bukos Msanii wa muziki wa kizazi kipya anayetamba na kibao cha ‘Kamwambie,’ Naseeb Abdul Juma, a.k.a Diamond hivi karibuni alidatishwa na penzi la mabinti wawili (ving’asti) katika ufukwe wa Mbalamwezi ulioko Mikocheni, jijini Dar na kujikuta akiwakumbatia huku vimwana hao wakimpa mabusu motomoto...
ILIPOISHIA Alikumbuka baada ya kuondoka na yule mrembo na kwenda naye mpaka kwake ambako kulikuwa na uzuri wa ajabu na kuweza kulala naye kitanda kimoja lakini hakukumbuka kama walifanya naye mapenzi. Na asubuhi alipoamka kujikuta chumbani kwake tena kitandani jambo lile lilizidi kumchanganya sana. SASA ENDELEA...