arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» JIDE HOI
» MSHANGAO!
» Rais Kabila aomba wakafungw ...
» HUKUMU YA BABU SEYA!
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» Starehe hadi kifo
» Kutafuta maisha kumenif ...
» Mrembo huyu azua balaa!
» 2009 ni mwaka wa kubore ...
» IRINE UWOYA, MAUREEN WA ...
» UK DVD LAUNCH: AS OLD A ...
» KAULI YA MWISHO YA ZITO

 

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI

photos  
Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’ jana walinaswa na kamera yetu wakiwajibika vikali na mazoezi katika ofisi za bendi hiyo zilizopo Kinondoni Vijana jijini Dar es Salaam. Akiongea na mwanahabari wetu, Mkurugenzi wa Kampuni ya (ASET), Asha Baraka, alisema kuwa kutokana na ratiba yenye ‘pressure’ ameamua kuongeza muda wa mazoezi tofauti na walivyokuwa wakifanya siku za nyuma ambapo wanamuziki walitakiwa mazoezi kuanzia saa sita mchana na hadi saa kumi jioni, na sasa wanatakiwa kuanza mazoezi saa nne asubuhi hadi saa kumi na moja jioni.

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Baadhi ya wanenguaji wa Twanga Pepeta wakiwajibika mazoezini.

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Mpiga ‘drum’ wa bendi hiyo, James Kibosho, akiwa shughulini mazoezini. Aliyesimama ni mpiga tumba wa bendi hiyo ajulikanaye kwa jina la kisanii kama ‘MCD’ akiwa mazoezini.

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Joseph Shamba ‘Vengu’ (kushoto) akiwa na kiongozi wa African Stars ‘Twanga Pepeta’, Luiza Mbutu (katikati), na kulia ni mkurugenzi wa bendi hiyo, Asha Baraka.

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Mchekeshaji mahiri wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja’ (kushoto aliye na kamera) akijaribu kuwapiga picha wanamuziki wa bendi hiyo wakiwa mazoezini. Kulia kwake) ni Kalala Juniour, muimbaji wa bendi hiyo.

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Joseph Shamba ‘Vengu’ (aliyesimama) akiongea kwa msisitizo mkali na mataalam wa tiba za jadi maarufu kwa jina la Manyaunyau wakiwa katika Kinyaiya Pub iliyo karibu na ofisi za (ASET).

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Kalala Juniour akimlisha firigisi mchekeshaji ‘Vengu’ muda mfupi baada ya kupumzika mazoezi.

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Alex Chalamila ‘Mac Reagan’ akigandamiza kinanda katika shughuli hizo za kurekodi.


ORIJINO KOMEDI WAKIREKODI KIPINDI
KIKUNDI cha vichekesho cha Orijino Komedi kinachorushwa hewani kupitia luninga ya ‘TBC1’ jana kilinaswa na mpiga picha wetu kikirekodi kipindi ndani ofisi za ASET Kinondoni jijini Dar es Salaam.
TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Isaya Mwakilasa ‘Wakuvanga’ akipiga gitaa na kuporomosha songi la nguvu wakati Emmanuel Mgaya ‘Masanja’ akiwa katika harakati za kurekodi kipindi hicho.

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Joseph Shamba ‘Vengu’ akiwa ‘siriazi’ na gitaa la bass katika moja ya shughuli za kuwezesha kipindi chao kwenda hewani vizuri.

TWANGA PEPETA WAKIWAJIBIKA MAZOEZINI
Mpiga picha wa kundi la Orijino Komedi aliyejitambulisha kwa jina moja la Kissoky, (kushoto) akiwa na ‘Masanja’ (katikati) na Rogert Hegga mwanamuziki ‘Twanga Pepeta’ ndani ya Kinyaiya Pub muda mfupi baada ya kutoka mazoezini.

PICHA:MUSA MATEJA /GPL
    (10 March 2010)
Views: 2 | Maoni (0) |

 

Hasheem kidume, arejea NBA

champion  
Hasheem kidume, arejea NBA

MEMPHIS, Marekani
TIMU ya mpira wa Kikapu ya Memphis Grizzlies imemrejesha kikosini beki wake wa kati, Hasheem Thabeet ambaye hivi karibuni alishushwa hadi katika kikosi cha timu ya Dakota Wizards inayoshiriki daraja la chini la NBA, linalojulikana kama Development League (NBDL)...
    (10 March 2010)
Views: 100 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

IGP Mwema apangua jeshi la Polisi, ahamisha vigogo wa juu

Habari mbalimbali  
IGP Mwema apangua jeshi la Polisi, ahamisha vigogo wa juu
Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema ambaye amefanya mabadiliko ya uongozi wa jeshi hilo kwa lengo la kuleta ufanisi mzuri wa kazi ya ulinzi wa amani na usalama nchini.

*KIKOSI CHA USALAMA CHAPATA BOSI MPYA

MKUU wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema amefanya tena mabadiliko ya uongozi kwenye jeshi hilo, lakini safari hii akitupia jicho zaidi kwenye Kikosi cha Usalama Barabarani na maofisa wa vitengo, kikiwemo cha habari...
    (10 March 2010)
Views: 127 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Bebe Cool na Zuena sasa ni full maloveee

Videos  
Bebe Cool na Zuena sasa ni full maloveee
Bebe Cool akiwa na mpenzi wake Zuena.

...Bonyeza PLAY kupata uhondo uliopo katika video hiyo 'Kasepiki' ya Bebe Cool aliyoitoa hivi karibuni akiwa na Zuena, wakati mguu wake ukiwa bado umefungwa 'Antenna' kutokana na majeraha ya risasi.

KAMPALA, Uganda
MWANAMUZIKI Bebe Cool ambaye alikumbwa na dhahama ya kushambuliwa kwa risasi na maaskari mwezi uliopita, amerejea kwa kasi kwenye fani ya muziki huo kwa kutoa video akiwa na mpenzi wake, Zuena ambaye walitengana naye mwishoni mwa mwaka jana...
    (10 March 2010)
Views: 62 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kura za Rais kutangazwa majimboni

Habari mbalimbali  
Kura za Rais kutangazwa majimboni
Mkurugenzi wa NEC, Rajabu Kiravu.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuwa matokeo ya Rais yatatangazwa kwenye majimbo badala ya kusubiriwa kutangazwa na NEC...
    (10 March 2010)
Views: 27 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mrema ataka alipwe Sh bilioni 1 na Sitta

Habari mbalimbali  
Mrema ataka alipwe Sh bilioni 1 na Sitta
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.

MWENYEKITI wa Chama chaTanzania Labour (TLP) amemtaka Spika wa Bunge, Samuel Sitta, amlipe fidia ya Sh bilioni moja ndani ya wiki moja kuanzia juzi, vinginevyo atamfungulia kesi ya madai Mahakama Kuu kwa kile anachodai kwamba amedhalilishwa...
    (10 March 2010)
Views: 158 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

UNYANYAPAA SHULENI

Habari mbalimbali  
Habari ndugu,
Mimi naitwa Michelle na nimekuwa nikifuatilia discussions zinazokuwa kwenye forum na kwa kweli nawapongeza sana.
Hii ni mara ya kwanza ninaandika hapa. Mimi nimetokewa na situation ambayo imeniweka njia panda. Naomba ndugu zangu mnisaidie. Mimi na ndugu zangu
    (10 March 2010)
Views: 103 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

ALIYETOLEWA MENO AWASHTAKI YANGA

Habari mbalimbali  

ALIYETOLEWA MENO AWASHTAKI YANGA
...Bw.Soka akipewa kipigo na wenzake, huku mashabiki wengine wakishuhudia.
ALIYETOLEWA MENO AWASHTAKI YANGA
...Akiomba msaada kwa askari, lakini kachelewa, jamaa tayari walishamtoa meno!
ALIYETOLEWA MENO AWASHTAKI YANGA
...Akionesha mapengo yake, hawezi tena kuwa na herufi S kwenye msamiati wake...sasa ni 'thethe' kwa kwenda mbele!!

MWANACHAMA wa Yanga aliyepigwa hadi kutolewa meno na baadhi ya mashabiki wa timu hiyo wakati Yanga ilipocheza dhidi ya Azam kwa kudhaniwa ni shabiki wa Simba amesema atahakikisha wale wote waliohusika wanafikishwa kwenye vyombo vya sheria...
    (10 March 2010)
Views: 59 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

WATEJA WA ZANTEL ZANZIBAR KUNUFAIKA NA PROMOSHENI YA CHOMOKA NA VESPA

photos  
 WATEJA WA ZANTEL ZANZIBAR KUNUFAIKA NA PROMOSHENI YA CHOMOKA NA VESPA
Zantel imezindua promosheni ya CHOMOKA NA VESPA maalum kwa wakazi wa Zanzibar. Promosheni hii itawawezesha wateja wa zantel kisiwani humu kupata nafasi ya kujishindia pikipiki aina ya Vespa ambayo ni chombo maarufu sana cha usafiiri visiwani humo. Akizungumwa na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo, Meneja masoko wa kampuni ya Zantel Bw. William Mpinga alisema kwamba zawadi katika
    (10 March 2010)
Views: 13 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010

Videos  
WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010

Ili kujua maoni yaliyotolewa na baadhi ya wasanii waliohudhuria semina hii kuhusu Tunzo za Tanzania, angalia video hii.

WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010
Fina Mango ,mratibu na Kavishe wadhamini wakifuatilia jambo wakati wa semina

WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010
Wanamuziki wa African Stars Kalala Jr (kushoto) Chalz Baba na Luiza Mbutu

WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010
Wasanii wa Bongo Flava kutoka kushoto: Belle 9, Hussein Machozi, Tundama na Prof Jay.

WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010
Msanii wa THT Barnaba (kushoto) na mwenzake

WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010
Wasanii wa Bongo Flava K-Sher na Babu Ayoub

WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010
Wasanii wa muziki wa dansi, kutoka kushoto: Bizman kutoka Inafrika Band, Nyoshi Alsaadati FM Academia na Khalid Chokoraa wa African Stars

WASANII WAONGEA KUHUSU TANZANIA MUSIC AWARDS 2010
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Chid Benz (kushoto), TID na meneja wake.

PICHA/VIDEO: ABDALLAH MRISHO/GPL
    (10 March 2010)
Views: 2 | Maoni (0) |

 

ROSE MUHANDO AIPASUA NDOA YA ALEX MSAMA

risasi mchanganyiko  
ROSE MUHANDO AIPASUA NDOA YA ALEX MSAMA

Na Mwandishi Wetu
Msanii nyota wa muziki wa Injili Bongo, Rose Muhando ‘anabeba’ mzigo wa lawama kufuatia kuwepo kwa mpasuko ndani ya ndoa ya Promota maarufu wa muziki huo nchini, Alex Msama na mtangazaji wa Kituo cha Redio cha WAPO FM, Laura Bonaventure, Risasi Mchanganyiko limesheheni data...
    (10 March 2010)
Views: 517 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

ITV YAMWACHISHA KAZI MKE WA MBUNGE

risasi mchanganyiko  
ITV YAMWACHISHA KAZI MKE WA MBUNGE

Na Mwandishi Wetu
Uongozi wa ITV/Radio One, unadaiwa ‘kumtema’ kazi ripota wake wa Morogoro, Amina Said ambaye ni mke wa Mbunge wa Mvomero, Suleiman Morad Sadiq, Risasi Mchanganyioko lina ‘fulu data’...
    (10 March 2010)
Views: 370 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

TID apata pigo

risasi mchanganyiko  
TID apata pigo

Na Mwandishi Wetu
Wiki chache baada ya mwanamuziki mwenye heshima kubwa kunako Bongo Flava, Khaleed Mohamed ‘TID’ kumvisha pete ya uchumba Miss Kinondoni ‘the history’ aliyetajwa kwa jina moja la Kinana, anayetarajia kufunga naye ndoa ‘soon’, msanii huyo amepata pigo kubwa, Risasi Mchanganyiko linakuweka karibu naye...
    (10 March 2010)
Views: 391 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Diamond afanya madudu ufukweni

risasi mchanganyiko  
Diamond afanya madudu ufukweni

Na Richard Bukos
Msanii wa muziki wa kizazi kipya anayetamba na kibao cha ‘Kamwambie,’ Naseeb Abdul Juma, a.k.a Diamond hivi karibuni alidatishwa na penzi la mabinti wawili (ving’asti) katika ufukwe wa Mbalamwezi ulioko Mikocheni, jijini Dar na kujikuta akiwakumbatia huku vimwana hao wakimpa mabusu motomoto...

    (10 March 2010)
Views: 115 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Nyayo za damu-5

Mikasa ya kusisimua  
ILIPOISHIA
Alikumbuka baada ya kuondoka na yule mrembo na kwenda naye mpaka kwake ambako kulikuwa na uzuri wa ajabu na kuweza kulala naye kitanda kimoja lakini hakukumbuka kama walifanya naye mapenzi. Na asubuhi alipoamka kujikuta chumbani kwake tena kitandani jambo lile lilizidi kumchanganya sana.
SASA ENDELEA...
    (10 March 2010)
Views: 140 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 748 749 750  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com