Mchezaji gofu kutoka Zambia Goege Stuart akipiga mpira kuelekea shimoni, katika mashindano ya gofu yaliyofanyika katika viwanja vya gofu vya Lugalo jijini Dar es saalam jumamosi.
Warui Mwangi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa kapteni wa klabu ya gofu ya Lugalo, Samuel Hagu, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya gofu yaliyofanyika Jumamosi katika viwanja vya gofu vya Lugalo jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali nchini, leo wameanza michuano ya Taifa ya mchezo wa Judo wenye lengo la kupata washidi watakaounda Timu ya Taifa itakayoiwakilisha Tanzania katika mashindano yajayo ya Kimataifa. Ufunguzi wa mashindano hayo ulifanyika Uwanja wa Taifa (ndani) jijini Dar es salaam na kufunguliwa na Idd Kipingu ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Shule Makongo na ambaye hivi sasa ni Mkuu wa Shule ya Lord Baden Memorial High School iliyoko Bagamoyo. Kamera yetu ilinasa taswira zifutazo zikiwaonesha watoto hao wakichuana vikali...!
Idd Kipingu akifungua mashindano hayo
High table ilipambwa kwa bango la Tanzania Judo National Championship
...baadhi ya watoto hao wakifuatilia hotuba ya ufunguzi
King Blaze, mwanamuziki wa FM Academia kiwa na Maimatha Jesse (KULIA) na wanenguaji wa bendi hiyo wakionesha mzuka wao walipokutwa katika ukumbi wa Travertine Magomeni hivi karibuni wakati wa shoo ya pamoja na Jahaz Modern Taarab.
Bendi wa African Stars wana Twanga Pepeta, leo inatoa ofa ya wanawake kuingia bure katika shoo yake ya TCC Club, Chang'ombe ikiwa ni katika kusherekea Siku ya Wanawake Duniani. Kwa mujibu wa kiongozi wa bendi hiyo, Luiza Mbutu, wanawake watakaohudhuria onesho hilo kuanzia saa moja hadi saa nne usiku wataingia BURE na watakaofika baada ya muda huo wataingia kwa kiingilio cha kawaida. Pia kwa wale ambao hawafahamu ujio wa Aisha Mbegeu 'Madinda', wanajulishwa kuwa mwanadada huyo amerejea jukwaani tena kwa kishindo na usiku wa kumkia leo alikuwa pale Mango Garden akifanya vitu vyake kama kawa, kamera yetu ilielekezwa ukumbini humo kama ifuatavyo:
..kama kawaida, Aisha alikuwa bize na wenzake katika kushambulia jukwaa
..mashambulizi yake yalikuwa makali na mashabiki walikubali kuwa bado yuko ffiti, licha ya matatizo yote..
Janet, ni miongoni mwa waimbaji wa kike wa Bendi ya Afrcan Stars na ambaye pia anapokuwa katika safu ya wanenguaji huwa 'bize' kweli!
...Abuu Semhando...mkongwe wa African Stars na mkali wa kupiga drums
..huyu nae hakuona tabu kupapasa kinanda na kuacha nafasi yake ya unenguaji kwa muda...
Ni Sabrina Pazi....miongoni mwa wanenguaji kumi machachari wa African Stars
Mwanadada mfupi (kulia) ambaye jina lake halikufahamika, ilibidi apande jukwaani kuserebuka ‘masebene’ na repa wa Akudo, Toto Zebingwa, wakati bendi hiyo ikikamua ndani ya Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar usiku wa kuamkia jana. Alifanya hivyo baada ya kuona kwamba akijichanganya kwenye watu wengi haonekani!
HAKIKA, KILA MTU NA WAKE! Mnenguaji mpya wa bendi ya “Twanga Pepeta”, Qeen Suzzy (kulia) akiwa na mshikaji wake, G. Seven, ambaye ni muimbaji wa FM Academia. Kamera yetu iliwanasa kwenye onesho la Akudo lililofanyika ukumbi wa Meeda, Sinza jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
UKUMBUSHO KIDOGO, AU SIYO? Mwanadada huyu ambaye alidaiwa kuwa mke wa mtu, usiku wa kuamkia jana alidatishwa na viuno vya dansa mlemavu wa miguu maarufu kwa jina la Chakutesa na kuamua kupiga naye picha jukwaani. Hayo yalijiri onesho la Akudo usiku wa kuamkia leo huko Meeda, Sinza.
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, kupitia chama chao cha Tanzania Urban Music Association (TUMA), leo walikutana katika ofisi za BASATA zilizopo Ilala jijini Dar es Salaam, kujadili mikakati ya kulinda haki zao. Kamera ya GPL ilikuwemo na zifuatazo ndizo taswira zake:
...wasanii wakiwa ‘bize’ na kikao
Mwenyekiti wa kamati ya muda ya wasanii hao, Mkoloni, kutoka kundi la Wagosi wa Kaya, akisistiza jambo katika mkutano huo. Kulia ni Doto na kushoto ni Bryton wakimsikiliza kiongozi huyo.
...Mr. II ‘Sugu’ akigawa fomu kwa wasanii waliohudhuria mkutano huo waorodheshe majina yao.
...msanii Hardmad akichangia mbinu za kuwabana wezi wa kazi zao.
Kuna tukio limetokea hapa Sinza maeneo ya Mapambano njia ya nyuma kama unaenda Mwenge kwenye miti mirefu bar moja inaitwa kwa jimmy .
Kuna vijana 2 walikuwa wanatembea njiani mmoja kabeba begi lake la vitabu ghafla gari ndogo ikampitia kwa pembeni mtu aliyekwepo ndani ya gari akakwapua begi la yule kijana ambapo kulikuwa na simu na karatasi zake .
Huyo kijana alipiga kelele kidogo nilikuwa mbele yao nikajua labda ni tatizo lengine kumbe wenyewe wameibiwa bei lao kwahiyo ile saloon car nyeupe ikakimbia moja kwa moja
Kijana aliyeibiwa anaitwa Erick Thomas Jongela simu yake anasema ilikuwa na line 2 moja ni 0715 241204 na 0756 816 770 hizi line zilikuwa kwenye simu hiyo iliyokwepo kwenye begi lililoibiwa
Mwenzake mwenye simu anaitwa Fadhili no yake ni 0713 76 59 05
Kwa mtindo huu jamani muwe makini mnavyotembea na mabegi yenu pamoja na mali zingine zisivutie sana wahalifu hawa .
Nimetoa kisa Hichi kama tukio la kweli lililomkuta mtu naamini tigo pamoja na voda kwa kushirikiana na vyombo vya dola vitaweza kufuatilia simu ya kijana huyo na kuweza kupata taarifa zingine zinazohusiana na simu hiyo toka ilipozimwa mara ya mwisho.
MKURUGENZI wa kampuni ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, Dk. Didas Lunyungu (kulia) akikabidhi msaada wa katoni nne za dawa za kufanyia usafi za Super Gold kwa Katibu Msaidizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWAMA cha Sinza, Ally Said. Makabidhiano hayo yaliyoambatana na uzinduzi wa bidhaa hiyo ya Super Gold yalifanyika jijini Dar es Salaam jana Ijumaa kwenye hoteli ya Johannesburg. Wengine pichani ni Ofisa Masoko kampuni hiyo, Mahmoud Omary (wa pili kushoto) na Mhasibu, Lyamba Julius (kulia).
2KATIBU Msaidizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWAMA cha Sinza, Ally Said akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa katoni nne za dawa za kufanyia usafi za Super Gold kutoka kampuni ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD. Wengine pichani ni Mkurugenzi wa kampuni ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, Dk. Didas Lunyungu (wa pili kushoto), Ofisa Masoko wa kampuni hiyo, Mahmoud Omary (kushoto) na Mhasibu, Lyamba Julius (kulia).
MKURUGENZI wa kampuni ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, Dk. Didas Lunyungu (wa pili kutoka kulia) akionesha dawa za Super Gold kwa Katibu Msaidizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWAMA cha Sinza, Ally Said (kushoto) kabla ya kumkabidhi jana Ijumaa katika hoteli ya Johannesburg jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni Ofisa Masoko wa E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, Mahmoud Omary (wa pili kushoto) na Mhasibu, Lyamba Julius (kulia). Na Mwandishi Wetu KAMPUNI mpya ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, jana ilizindua rasmi bidhaa yake kwa kukabidhi msaada wa katoni nne za dawa za usafi majumbani na maofisini za Super Gold kwa kituo cha kulelea watoto cha CHAKUWAMA cha Sinza. Makabidhiano hayo yaliyoambatana na
Jamaa alikuwa akicheza katika tamthlia ya Jumba la Dhahabu, iliyokuwa ikirushwa enzi zile za TVT, sasa TBC1, jina lake ni Raymond lakini katika mchezo huo alijulikana kwa jina la JURA (wa pili). Jamaa hivi sasa yuko nchini Sweden akitafuta maisha. Imeelezwa kuwa yuko huko ughaibuni kimasomo, ingawa haijawekwa wazi anasomea nini na kama ana mpango wa kuendeea na masuala ya usaniil
Per the email below, I am writing to emphasize about the invitation by “The Friends of Tanzania” Association for the upcoming 2010 Annual Baby Naming Ceremony.
I know those who attended our daughter's “SISI” naming ceremony in 2005 still remember the significance of this event in our African culture and tradition.
Admittedly, most of us are exposed and probably dominated by Western culture. For that reason, the need is even greater for us to utilize every opportunity to honor and pass on our African culture and traditions. The culture shapes the way we live, and the way we live shapes our culture. The culture we live by affects who we are, what we do, and how we think. The culture in a person is developed by the individual, and it is passed down through generations. Just like any culture, our African culture and traditions are something to be proud of and respected. I am grateful for Dada Namtasha and others who make a great effort in our community to assist us learn and understand, practice and promote our African culture and traditions.
You can also RSVP to me at iddymtango@yahoo.com email.
This event is being organized in the spirit of the African proverb “IT TAKES A VILLAGE TO RAISE A CHILD” so that everybody can meet the new children in our community. Even if you have no children, it is still important that you participate as we are all one and the children are all ours.
Friends of Tanzania presents:
Annual Baby Naming Ceremony
Blessings given by : Priestess Dr. Grills
Date: April 4,2010
Time 3p.m.-6p.m.
333 First St. Oakwood Apartments (Party Room) Seal Beach, Ca 90740
Na Mwandishi Wetu Ni skandali nyingine yenye uzani mkubwa kuzunguka Kanisa hususan kwa waumini wenye mlengo wa kilokole, baada ya kuibuka kwa tuhuma kwamba baadhi ya watumishi wa kiroho wanazitumia nafasi zao kupata pumziko la ngono kutoka kwa waumini wao...
Bendi ya Muziki wa Dansi ya Diamond Musica International leo itakuwa na kazi moja ya kulinadi kwa wasanii wa filamu nchini gari la Global Publishers linaloshindaniwa katika Bahati Nasibu ya Shinda Gari 2010 ambayo inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Dar es Salaam...