arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» MSHANGAO!
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» MARIAM MIGOMBA MACHO YAKE Y ...
» APIGWA KATIKA FUMANIZI
» Irene afanya pati ya aj ...
» MAMBO YA PWEZA USIPEME
» Soka la Ulaya kumvua ma ...
» KIJANA MPOTEVU!
» Hasheem avunja shoo ya ...
» Mkono wa mtu!

 

Warui Mwangi ashinda gofu

photos  
Warui Mwangi ashinda gofu
Mchezaji gofu kutoka Zambia Goege Stuart akipiga mpira kuelekea shimoni, katika mashindano ya gofu yaliyofanyika katika viwanja vya gofu vya Lugalo jijini Dar es saalam jumamosi.

Warui Mwangi ashinda gofu
Warui Mwangi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa kapteni wa klabu ya gofu ya Lugalo, Samuel Hagu, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya gofu yaliyofanyika Jumamosi katika viwanja vya gofu vya Lugalo jijini Dar es Salaam.

PICHA: NA MPIGA PICHA WETU
    (14 March 2010)
Views: 4 | Maoni (0) |

 

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO

photos  
Wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali nchini, leo wameanza michuano ya Taifa ya mchezo wa Judo wenye lengo la kupata washidi watakaounda Timu ya Taifa itakayoiwakilisha Tanzania katika mashindano yajayo ya Kimataifa. Ufunguzi wa mashindano hayo ulifanyika Uwanja wa Taifa (ndani) jijini Dar es salaam na kufunguliwa na Idd Kipingu ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Shule Makongo na ambaye hivi sasa ni Mkuu wa Shule ya Lord Baden Memorial High School iliyoko Bagamoyo. Kamera yetu ilinasa taswira zifutazo zikiwaonesha watoto hao wakichuana vikali...!

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO
Idd Kipingu akifungua mashindano hayo

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO
High table ilipambwa kwa bango la Tanzania Judo National Championship

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO
...baadhi ya watoto hao wakifuatilia hotuba ya ufunguzi

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO
..heka heka

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO
..chini kandamizaaaa

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO
...oooh nani zaidi!

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO
..hapo sasa!

WATOTO WAONESHANA KAZI KWENYE JUDO
...lazima uende chini..!

PICHA: Richard Bukos/GPL
    (14 March 2010)
Views: 3 | Maoni (0) |

 

MZUKS WA FM ACADEMIA!

photos  
MZUKS WA FM ACADEMIA!
King Blaze, mwanamuziki wa FM Academia kiwa na Maimatha Jesse (KULIA) na wanenguaji wa bendi hiyo wakionesha mzuka wao walipokutwa katika ukumbi wa Travertine Magomeni hivi karibuni wakati wa shoo ya pamoja na Jahaz Modern Taarab.

PICHA: ABDALLAH MRISHO
    (14 March 2010)
Views: 3 | Maoni (0) |

 

KUTANA NA WATAALAMU WA KUUCHEZEA MPIRA!

Videos  
    (14 March 2010)
Views: 6 | Maoni (0) |

 

WANAWAKE KUINGIA BURE TWANGA LEO!

photos  
Bendi wa African Stars wana Twanga Pepeta, leo inatoa ofa ya wanawake kuingia bure katika shoo yake ya TCC Club, Chang'ombe ikiwa ni katika kusherekea Siku ya Wanawake Duniani. Kwa mujibu wa kiongozi wa bendi hiyo, Luiza Mbutu, wanawake watakaohudhuria onesho hilo kuanzia saa moja hadi saa nne usiku wataingia BURE na watakaofika baada ya muda huo wataingia kwa kiingilio cha kawaida. Pia kwa wale ambao hawafahamu ujio wa Aisha Mbegeu 'Madinda', wanajulishwa kuwa mwanadada huyo amerejea jukwaani tena kwa kishindo na usiku wa kumkia leo alikuwa pale Mango Garden akifanya vitu vyake kama kawa, kamera yetu ilielekezwa ukumbini humo kama ifuatavyo:

WANAWAKE KUINGIA BURE TWANGA LEO!
..kama kawaida, Aisha alikuwa bize na wenzake katika kushambulia jukwaa

WANAWAKE KUINGIA BURE TWANGA LEO!
..mashambulizi yake yalikuwa makali na mashabiki walikubali kuwa bado yuko ffiti, licha ya matatizo yote..

WANAWAKE KUINGIA BURE TWANGA LEO!
Janet, ni miongoni mwa waimbaji wa kike wa Bendi ya Afrcan Stars na ambaye pia anapokuwa katika safu ya wanenguaji huwa 'bize' kweli!

WANAWAKE KUINGIA BURE TWANGA LEO!
...Abuu Semhando...mkongwe wa African Stars na mkali wa kupiga drums

WANAWAKE KUINGIA BURE TWANGA LEO!
..huyu nae hakuona tabu kupapasa kinanda na kuacha nafasi yake ya unenguaji kwa muda...

WANAWAKE KUINGIA BURE TWANGA LEO!
Ni Sabrina Pazi....miongoni mwa wanenguaji kumi machachari wa African Stars

PICHA: Abdallah Mrisho/GPL
    (14 March 2010)
Views: 9 | Maoni (0) |

 

VITUKO VYA WATU WAFUPI!!!

photos  
VITUKO VYA WATU WAFUPI!!!
Mwanadada mfupi (kulia) ambaye jina lake halikufahamika, ilibidi apande jukwaani kuserebuka ‘masebene’ na repa wa Akudo, Toto Zebingwa, wakati bendi hiyo ikikamua ndani ya Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar usiku wa kuamkia jana. Alifanya hivyo baada ya kuona kwamba akijichanganya kwenye watu wengi haonekani!

HAKIKA, KILA MTU NA WAKE!
VITUKO VYA WATU WAFUPI!!!
Mnenguaji mpya wa bendi ya “Twanga Pepeta”, Qeen Suzzy (kulia) akiwa na mshikaji wake, G. Seven, ambaye ni muimbaji wa FM Academia. Kamera yetu iliwanasa kwenye onesho la Akudo lililofanyika ukumbi wa Meeda, Sinza jijini Dar usiku wa kuamkia leo.

UKUMBUSHO KIDOGO, AU SIYO?
VITUKO VYA WATU WAFUPI!!!
Mwanadada huyu ambaye alidaiwa kuwa mke wa mtu, usiku wa kuamkia jana alidatishwa na viuno vya dansa mlemavu wa miguu maarufu kwa jina la Chakutesa na kuamua kupiga naye picha jukwaani. Hayo yalijiri onesho la Akudo usiku wa kuamkia leo huko Meeda, Sinza.

PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL
    (14 March 2010)
Views: 8 | Maoni (0) |

 

WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA WAPANGA MIKAKATI YAO

photos  
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, kupitia chama chao cha Tanzania Urban Music Association (TUMA), leo walikutana katika ofisi za BASATA zilizopo Ilala jijini Dar es Salaam, kujadili mikakati ya kulinda haki zao. Kamera ya GPL ilikuwemo na zifuatazo ndizo taswira zake:

WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA WAPANGA MIKAKATI YAO
...wasanii wakiwa ‘bize’ na kikao

WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA WAPANGA MIKAKATI YAO
Mwenyekiti wa kamati ya muda ya wasanii hao, Mkoloni, kutoka kundi la Wagosi wa Kaya, akisistiza jambo katika mkutano huo. Kulia ni Doto na kushoto ni Bryton wakimsikiliza kiongozi huyo.

WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA WAPANGA MIKAKATI YAO
...Mr. II ‘Sugu’ akigawa fomu kwa wasanii waliohudhuria mkutano huo waorodheshe majina yao.

WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA WAPANGA MIKAKATI YAO
...msanii Hardmad akichangia mbinu za kuwabana wezi wa kazi zao.



PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL
    (13 March 2010)
Views: 21 | Maoni (0) |

 

Umesikia Wakwapuaji - Soma Kisa Hiki

Habari mbalimbali  
Ndugu zangu

Kuna tukio limetokea hapa Sinza maeneo ya Mapambano njia ya nyuma
kama unaenda Mwenge kwenye miti mirefu bar moja inaitwa kwa jimmy .

Kuna vijana 2 walikuwa wanatembea njiani mmoja kabeba begi lake la
vitabu ghafla gari ndogo ikampitia kwa pembeni mtu aliyekwepo ndani ya
gari akakwapua begi la yule kijana ambapo kulikuwa na simu na karatasi
zake .

Huyo kijana alipiga kelele kidogo nilikuwa mbele yao nikajua labda ni
tatizo lengine kumbe wenyewe wameibiwa bei lao kwahiyo ile saloon car
nyeupe ikakimbia moja kwa moja

Kijana aliyeibiwa anaitwa Erick Thomas Jongela simu yake anasema
ilikuwa na line 2 moja ni 0715 241204 na 0756 816 770 hizi line
zilikuwa kwenye simu hiyo iliyokwepo kwenye begi lililoibiwa

Mwenzake mwenye simu anaitwa Fadhili no yake ni 0713 76 59 05

Kwa mtindo huu jamani muwe makini mnavyotembea na mabegi yenu pamoja
na mali zingine zisivutie sana wahalifu hawa .

Nimetoa kisa Hichi kama tukio la kweli lililomkuta mtu naamini tigo
pamoja na voda kwa kushirikiana na vyombo vya dola vitaweza kufuatilia
simu ya kijana huyo na kuweza kupata taarifa zingine zinazohusiana na
simu hiyo toka ilipozimwa mara ya mwisho.

YONA MARO
(WANADIDII)
    (13 March 2010)
Views: 21 | Maoni (2) |

 

MAONO YA BW. LUDOVICK!

Videos  

UNAKUBALINA NAE KATIKA MTIZAMO HUU WA DEMOCRACY?
    (13 March 2010)
Views: 71 | Maoni (5) |

 

SUPER GOLD YAZINDULIWA, YAMWAGA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

Habari mbalimbali  
SUPER GOLD YAZINDULIWA, YAMWAGA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
MKURUGENZI wa kampuni ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, Dk. Didas Lunyungu (kulia) akikabidhi msaada wa katoni nne za dawa za kufanyia usafi za Super Gold kwa Katibu Msaidizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWAMA cha Sinza, Ally Said. Makabidhiano hayo yaliyoambatana na uzinduzi wa bidhaa hiyo ya Super Gold yalifanyika jijini Dar es Salaam jana Ijumaa kwenye hoteli ya Johannesburg. Wengine pichani ni Ofisa Masoko kampuni hiyo, Mahmoud Omary (wa pili kushoto) na Mhasibu, Lyamba Julius (kulia).

SUPER GOLD YAZINDULIWA, YAMWAGA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
2KATIBU Msaidizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWAMA cha Sinza, Ally Said akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa katoni nne za dawa za kufanyia usafi za Super Gold kutoka kampuni ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD. Wengine pichani ni Mkurugenzi wa kampuni ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, Dk. Didas Lunyungu (wa pili kushoto), Ofisa Masoko wa kampuni hiyo, Mahmoud Omary (kushoto) na Mhasibu, Lyamba Julius (kulia).

SUPER GOLD YAZINDULIWA, YAMWAGA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
MKURUGENZI wa kampuni ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, Dk. Didas Lunyungu (wa pili kutoka kulia) akionesha dawa za Super Gold kwa Katibu Msaidizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWAMA cha Sinza, Ally Said (kushoto) kabla ya kumkabidhi jana Ijumaa katika hoteli ya Johannesburg jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni Ofisa Masoko wa E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, Mahmoud Omary (wa pili kushoto) na Mhasibu, Lyamba Julius (kulia).

Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI mpya ya E.D Domestic & Industry Hygiene LTD, jana ilizindua rasmi bidhaa yake kwa kukabidhi msaada wa katoni nne za dawa za usafi majumbani na maofisini za Super Gold kwa kituo cha kulelea watoto cha CHAKUWAMA cha Sinza. Makabidhiano hayo yaliyoambatana na

    (13 March 2010)
Views: 10 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

UNAMKUMBUKA HUYU?

photos  
UNAMKUMBUKA HUYU?

UNAMKUMBUKA HUYU?
Jamaa alikuwa akicheza katika tamthlia ya Jumba la Dhahabu, iliyokuwa ikirushwa enzi zile za TVT, sasa TBC1, jina lake ni Raymond lakini katika mchezo huo alijulikana kwa jina la JURA (wa pili). Jamaa hivi sasa yuko nchini Sweden akitafuta maisha. Imeelezwa kuwa yuko huko ughaibuni kimasomo, ingawa haijawekwa wazi anasomea nini na kama ana mpango wa kuendeea na masuala ya usaniil
    (13 March 2010)
Views: 19 | Maoni (0) |

 

BURUDANI KIBAO

photos  

BURUDANI KIBAO
Safu ya wanenguaji hodari wa Mashujaa Band, Sarafina Shotii, Rose Masaki

BURUDANI KIBAO
Wasanii wanaofanana Sunche na Kapeto- nao wamo kwenye orodha ya watoa burudani


PICHA: HISANI YA MASHUJAA BAND
    (13 March 2010)
Views: 12 | Maoni (0) |

 

A SHEREHE- CELEBRATION

photos  
A SHEREHE- CELEBRATION


Dear All,

Per the email below, I am writing to emphasize about the invitation by “The Friends of Tanzania” Association for the upcoming 2010 Annual Baby Naming Ceremony.


I know those who attended our daughter's “SISI” naming ceremony in 2005 still remember the significance of this event in our African culture and tradition.

Admittedly, most of us are exposed and probably dominated by Western culture. For that reason, the need is even greater for us to utilize every opportunity to honor and pass on our African culture and traditions. The culture shapes the way we live, and the way we live shapes our culture. The culture we live by affects who we are, what we do, and how we think. The culture in a person is developed by the individual, and it is passed down through generations. Just like any culture, our African culture and traditions are something to be proud of and respected. I am grateful for Dada Namtasha and others who make a great effort in our community to assist us learn and understand, practice and promote our African culture and traditions.


You can also RSVP to me at iddymtango@yahoo.com email.


This event is being organized in the spirit of the African proverb “IT TAKES A VILLAGE TO RAISE A CHILD” so that everybody can meet the new children in our community. Even if you have no children, it is still important that you participate as we are all one and the children are all ours.


Friends of Tanzania presents:

Annual Baby Naming Ceremony

Blessings given by : Priestess Dr. Grills

Date: April 4,2010

Time 3p.m.-6p.m.

333 First St. Oakwood Apartments (Party Room)
Seal Beach, Ca 90740

contact:
Namtasha Bunting-(310) 808-3491

" It takes a village to raise a child"



Mwenzenu,
Iddy Mtango.





    (13 March 2010)
Views: 11 | Maoni (0) |

 

Unabii wa ngono

risasi jumamosi  
Unabii wa ngono
Na Mwandishi Wetu
Ni skandali nyingine yenye uzani mkubwa kuzunguka Kanisa hususan kwa waumini wenye mlengo wa kilokole, baada ya kuibuka kwa tuhuma kwamba baadhi ya watumishi wa kiroho wanazitumia nafasi zao kupata pumziko la ngono kutoka kwa waumini wao...
    (13 March 2010)
Views: 964 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

Diamond Musica kuinadi gari ya Global Leaders leo

risasi jumamosi  
Diamond Musica kuinadi gari ya Global Leaders leo
Bendi ya Muziki wa Dansi ya Diamond Musica International leo itakuwa na kazi moja ya kulinadi kwa wasanii wa filamu nchini gari la Global Publishers linaloshindaniwa katika Bahati Nasibu ya Shinda Gari 2010 ambayo inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Dar es Salaam...
    (13 March 2010)
Views: 19 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 753 754 755  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com