arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for August 2007 Year

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Nyoshi sasa kuporwa vit ...
» Mshiriki urembo kizimba ...
» TAMASHA LA UKIMWI MWAN ...
» Mpenzi mwenye tabia hi ...
» MSAFIRI KAFIRI
» Watu watoweka na maiti ...
» The Assassianation ( Ma ...

 

Ray mbaroni nchini china

ijumaa  
Na Kulwa Mwaibale
Ray mbaroni nchini chinaMkali wa Filamu na Michezo ya kuigiza nchini, Vincent Kigosi 'Ray', hivi karibuni alionja joto ya jiwe baada ya kutiwa mbaroni na Askari Polisi wa China.

Chanzo chetu cha habari kilichopo nchini humo, kinaeleza kuwa wanausalama hao walifikia hatua hiyo baada ya kumhisi kuwa alikuwa akitaka kufanya ugaidi....
    (31 August 2007)
Views: 26 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Miss Tanzania kesho kutoka mikoani!

ijumaa  
Na Joseph Shaluwa
Miss Tanzania kesho kutoka mikoani!Wakati warembo 26 wanatarajiwa kupanda jukwaani kesho katika Viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaa, kuwania Taji la Miss Tanzania 2007-2008, Mlimbwende wa mwaka huu atakayewakilisha nchi yetu katika Shindano la Dunia 'Miss Word' atapatikana kutoka mikoani, Ijumaa limedokezwa....
    (31 August 2007)
Views: 332 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Ray atiwa mbaroni china

Jicho Letu Mtaani  
Ray atiwa mbaroni china
    (31 August 2007)
Views: 947 | Maoni (5) |

 

Miss Tanzania kesho kutoka mikoani!

Jicho Letu Mtaani  
Miss Tanzania kesho kutoka mikoani!
    (31 August 2007)
Views: 778 | Maoni (4) |

 

Miss Tanzania kesho kutoka mikoani!

Jicho Letu Mtaani  
Miss Tanzania kesho kutoka mikoani!
    (31 August 2007)
Views: 351 | Maoni (0) |

 

Mchungaji afumaniwa auawa!

ijumaa  
Nasir Abdul na Mabure Ibrahim, Tanga
Katika kile kinachoonesha kuwa dunia inakaribia kufika mwisho, Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini, Peter Mngazija ameuawa baada ya kufumwa na mke wa mtu....
    (31 August 2007)
Views: 1399 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Anayedaiwa kulawiti azua varangati zito mahakamani

ijumaa  
Richard Bukos na Christopher Lissa
Kesi inayowakabili Dereva na kondakta wa Basi la wanafunzi wanaotuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa darasa la pili mwenye umri wa miaka 8 (Shule na jina lake vinahifadhiwa kwa sababu maalum) ambayo ilikuwa iungurume juzi katika Mahakama ya Hakimu mkazi Wilaya ya Kinondoni imeaharishwa hadi Septemba 5,mwaka huu....
    (31 August 2007)
Views: 747 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Wema Sepetu aaga!

ijumaa  
Na Hamida Hassan
Wema Sepetu aaga!Miss Tanzania 2006-2007 Wema Sepetu ambaye ni mshiriki namba 03 katika Shindano la The Ijumaa Sexiest Girl, amewafuata Rashida Wanjara na Flaviana Matata, baada ya kutolewa kwa 11.6% ya kura zote zilizopigwa na wasomaji wetu kupitia mtandao unaoendesha mtanange huo....
    (31 August 2007)
Views: 1799 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Miss Tanzania kesho kutoka mikoani!

Jicho Letu Mtaani  
Miss Tanzania kesho kutoka mikoani!
    (31 August 2007)
Views: 2307 | Maoni (3) |

 

nitakufa kwa sababu ya mke wangu -14

hadithi za Shigongo  
Laibon hakuwa na matumaini ya kumpata tena Tina, aliamua kukubaliana na ukweli kuwa Tina alikuwa ameshafariki! Aliamua kuukubali ukweli huo ili aweze kuendelea na safari yake kama kawaida. Tina naye anahangaika kumtafuta Laibon kila mahali bila mafanikio!....
    (31 August 2007)
Views: 506 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Jini Mahaba linanitesa -7

Mikasa ya kusisimus  
Baada ya salamu alinipa pole kwa kuumwa kisha alinieleza kila kitu kuhusu yule bibi aliyenifunga hirizi na kuniambia kwa kuwa lengo lake lilikuwa ni kumfukuza angemtambua.

Maimuna alinionya niache kujihusisha na yule msichana wangu, kwa kuwa nilikuwa nampenda sana binti huyo nilimwambia ingekuwa vigumu kumuacha....
    (31 August 2007)
Views: 825 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Huyu ndiye mke mwema!

ijumaa  
Huyu ndiye mke mwema!Nakurabisha kwa moyo mkunjufu katika safu hii maridhawa ambayo hukuletea mambo mbalimbali juu ya kutambua mambo ya Uhusiano na Mapenzi. Ninaamini kwa uwezo wa Maamani utakuwa mzima wa afya njema na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku....
    (31 August 2007)
Views: 1033 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

HII NI KASHESHE!

Amani  
Na Richard Bukos
HII NI KASHESHE!
Mama mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Cecilia hivi karibuni alijikuta akipata kipondo cha nguvu baada ya kufumwa akila raha na mume wa jirani yake.

Tukio hilo la aibu lilitokea usiku wa manane wa Agosti 28 mwaka huu katika kilabu cha pombe za kienyeji kilichopo Manzese karibu na Uwanja wa Fisi jijini Dar es Salaam....
    (29 August 2007)
Views: 1360 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Jicho letu Mtaani

Jicho Letu Mtaani  
Kasheshe!Jicho letu Mtaani
    (29 August 2007)
Views: 678 | Maoni (3) |

 

Jicho letu Mtaani

Jicho Letu Mtaani  
Mpakanjia aponaJicho letu Mtaani
    (29 August 2007)
Views: 428 | Maoni (0) |
Back  <<  1 2 3 4 5  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com