Na Issa Mnally Shindano la Miss Tanzania 2007-08, lililofanyika juzi (Jumamosi) kwenye Viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam, lilitia aibu, kutokana na asilimia kubwa ya watazamaji kutoridhishwa na matokeo....
Na Mwandishi Wetu Staa wa maigizo nchini, Steven Charles Kanumba hivi karibuni aliingiwa na hofu baada ya kugundua sms za vigogo mbalimbali kwenda kwa rafiki yake wa kike, Miss Tanzania mstaafu, Wema Isaac Sepetu....
Na Dotto Mwaibale Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Rukia Hamis Kachepe, amecharangwa mapanga kisha kukatwa kiganja cha mkono wa kulia na mume wake, Herosmini Mostinyo Lema....
Miss Tanzania 2007/08, Richa Adhia ambaye ametwaa taji hilo alfajiri ya leo, ambaye pia ana asili ya Asia, amezua jambo ukumbini..ni jambo gani, ilikuwaje... fuatilia hapa hapa kwenye gazeti lako la Ijumaa Wikienda Jumatatu hii likiwa na udaku wote!!!