arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 03.09.2007

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» MGAMBO WA JIJI
» MAIMATHA BADO ABANWA
» UNICEF: Ongezeko la uke ...
» HAYA NDIYO MAPOZI
» Boban akwama Uwanja wa ...
» African Lyon yaalikwa N ...
» Mwendo wa Simba wamtish ...

 

MAMA MKWE AFUMANIWA!!!!

uwazi  
MAMA MKWE AFUMANIWA!!!!
Na Christopher Lissa
Mkazi mmoja wa Temeke jijini Dar es Salaam, Bw. Juma Muyobya amefumaniwa akiwa gesti na mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la mama Maua au mama mkwe.

Tukio hilo la aibu limetokea Agosti 31,mwaka huu katika gesti inayofahamika kwa jina la Siku iliyopo maeneo ya Mivinjeni,Temeke jijini Dar es Salaam.

Imedaiwa kuwa siku ya tukio, wakware hao walifika katika gesti hiyo majira ya asubuhi na kuomba chumba ambapo walipewa chumba Namba 5. inaendelea......
    (3 September 2007)
Views: 7890 | Maoni (26) | Soma Zaidi

 

SOTE TUMEOZA, LAZIMA TUZALIWE MARA YA PILI!

Pasua Jipu  
Namshukuru Mungu kwa kila jambo.Ndugu zangu,
Wiki iliyopita Kampuni yetu imepoteza mmoja wa wafanyakazi wake mahiri, Whitney Mkali. Binti huyu ambaye mimi namwita shujaa alifariki katika hospitali ya Muhimbili wakati wa kujifungua....
    (3 September 2007)
Views: 699 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

MY DEAR CLEOPATRA (Mpenzi wangu Cleopatra)-15

hadithi za Shigongo  
Kijana wa Kimarekani, Dan Davidson anajikuta katika mapenzi mazito na mwanamke wa kwenye ndoto. Amekuwa akimwota msichana huyu tangu utotoni mwake, ingawa hajawahi kumwona hata mara moja....
    (3 September 2007)
Views: 698 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

MAMBO HAYA HUMBOA MWANDANI WAKO! - 2

Mahaba  
MAMBO HAYA HUMBOA MWANDANI WAKO! - 2Najisikia furaha sana kukutana nanyi tena siku ya leo tukiwa wenye afya njema na furaha. Nina imani baadhi ya wasomaji wangu watakuwa wametimiza baadhi ya ahadi zao kwa wapenzi wao, kama ndivyo, na wewe unayesoma mada hii umefanya hivyo, hongereni!....
    (3 September 2007)
Views: 1290 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

For my wife, i will die!(Nitakufa kwa sababu ya mke wangu -15)

hadithi za Shigongo  
Msichana wa Kimarekani mwenye asili ya Afrika, Tina na kijana wa Kihadzabe, kabila la watu waishio Maporini,
Laibon, wanajikutana katika mapenzi mazito nchini Tanzania na wote wawili wanaamua kusafiri kwa njia ya nchi kavu,
wakivuka mpaka hadi mpaka kuelekea Marekani ambako kwa muda mrefu Laibon amesikia ni pazuri kama Paradiso, hakuna shida hata kidogo kila mtu katika nchi hiyo ni tajiri....
    (3 September 2007)
Views: 818 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Lifanye penzi lako liwe jipya!

Mahaba  

Uwezo wa Mungu hakika unaonekana katika kila hatua ninayopiga
katika maisha yangu! Nina kila sababu ya kumwambia Mungu
wangu ahsante! Yeye ndiye kila kitu katika maisha yangu....
    (3 September 2007)
Views: 951 | Maoni (0) | Soma Zaidi
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com