Na MC George iaka minne sasa imepita tangu alipoingia katika sanaa ya urembo na kufanikiwa kuwa Miss Mwanza namba 2. Pamoja na yote hayo jina lake bado lipo vichwani mwa watu wengi, hasa wale wadau wa tasnia hiyo ya ulimbwende, kwa sababu hakuishia Kanda ya Ziwa tu, bali alivuka milima na mabonde mpaka akafanikiwa kushiriki fainali kubwa za kumtafuta Miss Tanzania wa 2003......
Na Catherine Kassally Njemba moja yenye asili ya Asia (Mdosi) ambaye alijulikana kwa jina moja la Sharif, alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuzidiwa na kilevi, hali iliyosababisha auchape usingizi barabarani akiwa hoi (nyapinyapi)....
Na Hamida Hassan Msanii wa maigizo, Blandina Chagula a.k.a Johari naye ameaga Shindano la The Ijumaa Sexiest Girl, baada ya kupata 11.6% ya kura zote zilizopigwa na wasomaji wetu kupitia mtandao unaoendesha shindano hilo....
Na Issa Mnally Kesho usiku, wakazi wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam, wanatarajia kumpata mrembo wao wa Utalii Kanda ya Magharibi baada ya warembo kumi wanaowania taji hilo kupanda jukwaani kumenyana vikali....
Baada ya kuhangaika sana nchini Sudan ambako walijikuta katika vita vya Darfur, hatimaye Laibon na Tina pamoja na watu wengine wawili walioungana nao; bibi Khadija na mtoto mdogo Hope wanawasili Mogadishu na kuiona bahari mbele yao, wanaamini ni kwa kutumia maji hayo watafika Marekani. Je, watafanikiwa? SONGA NAYO ....
Kwa wasomaji wapya, kijana Nassor mkazi wa Mbagala jijin Dar es Salaam anasumbuliwa na jini mahaba wa Kihindi aitwaye Maimuna kwa muda mrefu sasa. Wiki iliyopita tuliona wapenzi hao walivyokwenda ujinini ambapo Maimuna alimwambia Nassor kwamba anaishi chini ya bahari na duniani yeye na majini wenzake huja kufanya shughuli maalum....
Wakati fulani huwa najiuliza, kwanini mapenzi yakawepo? Kwanini kila mtu anazungumzia juu ya mapenzi? Kwanini watu wanajiua kwa ajili ya mapenzi? Kwanini wengine huamua kuwa walevi baada ya kuachwa na wapenzi wao? Kimsingi huwa napata majibu mengi sana, lakini jibu la msingi zaidi ni kwamba maisha yetu ni mapenzi!....
Na Mwandishi Wetu Kweli dunia sasa imekwisha!Usemi huo umedhihirishwa katika mji mmoja wenye watu wapatao milioni 1.1 wa Adelaide uliopo kusini mwa Australia ambapo ilidaiwa kuwa wananchi walidiriki kuandamana wakiwa kama walivyozaliwa.
Vyanzo vyetu vya habari vilidai kuwa, watu hao wakiwemo wanawake, wanaume na watoto wa rika mbalimbali walifikia hatua ya kuandamama wakiwa watupu eti ili kuishinikiza serikali yao kupunguza kodi ya vitu mbalimbali katika bajeti yao.....