FRANKLII Roberto Lashley (31), maarufu kama Bobby Lashley ni Mmarekani mweusi aliyefuzu kwenye ulimwengu wa mieleka, ambapo kwa sasa ni mwanachama wa chama cha mieleka duniani (WWE) akiwa chini ya lebo ya RAW....
Sifa zote njema anastahili Mungu muweza wa yote, ameamua mimi na wewe tuwepo mpaka nukta hii, hilo tu latosha kutufanya sisi tunyenyekee kwake na kumuhimidi.
Lazima tumnyenyekee, anafanya mengi kila kukicha kwa ajili yetu, kila sekunde au dakika unayopita, tambua miujiza yake imechukua nafasi kubwa mno, ninahakika huwezi kupinga, vinginevyo utakufuru....
Dk. Ringo hakuwa tayari kuona rafiki yake kipenzi Othman anafia jela! Hilo lingewezekana kama asingemfuatilia na kuhakikisha anatoka! Alichokifanya ni kwenda moja kwa moja kwa Mkuu wa Kituo mzee Mwakatego ambapo walipanga jinsi ya kumtorosha Dk. Othman! Kila kitu kilienda sawa, wakapanga kutafuta maiti katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa bahati nzuri kulitokea ajali ambapo Dk....
Issa Mnally na Hamida Hassan Malkia wa kunengua miondoko ya Taarab na Mduara nchini, Shenazi Salum ni miongoni mwa watu 27, waliokufa kwenye ajali ya basi, iliyotokea juzi kwenye Kijiji cha Majenje, Mbarali, Mbeya.
Kwa mujibu wa mdogo wa mwanamuziki huyo aitwaye Hanifa Salum, Shenazi alifariki dunia, muda mfupi baada ya kutokea ajali hiyo, iliyohusisha magari matatu....
Na Mwandishi Wetu Penzi la Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu, limedaiwa kuwagombanisha ‘mastaa’ wa maigizo nchini ambao walikuwa marafiki chanda na pete, Steven Charles Kanumba na Mohammed Mwikongi ‘Frank’....
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya MultChoice hapa nchini, Lucy Kihwele, ameiambia Abby Cool & MC George Over The Weekend kwamba kupitia mtandao wa DSTV kazi za wasanii na matukio mbalimbali ya burudani hapa Bongo yatakuwa yakirushwa nje ya nchi na kuonekana karibu ulimwengu mzima, inaletwa kwenu na Catherine Kassally....
Wewe unaishije? Unashirikiana na wenzako au kila kitu unafanya kivyakovyako? Unashiriki katika nyumba za Ibada? Haya ni baadhi ya maswali ambayo kama unataka kufanikiwa lazima ujiulize kila wakati! Sio kujiuliza tu, bali kupata majibu ya kuridhisha na kuyafanyia kazi....
Kwa msaada wa kijana Mtanzania aitwaye Mohamed, Laibon, Tina, bibi Khadija na mtoto mdogo aliyemwokota Hope, wanafanikiwa kuingia ndani ya meli kubwa iitwayo St. Petersburg Royal Marine kwenye bandari ya Mogadishu. Meli hiyo inaelekea Urusi, ingawa Laibon na timu yake wanaelekea Marekani, hawana jinsi kwani wanachotaka ni kuondoka Afrika....