Na Makongoro Oging Mwanafunzi ‘denti’ mmoja wa shule moja ya sekondari iliyopo jijini Dar es Salaam (jina lake na la shule vimehifadhiwa), amepiga picha za utupu na kuzisambaza mitaani kwa kile kinachodaiwa kusaka wanaume ‘mabuzi’......
Na Mwandishi Wetu Mambo yanazidi kupamba moto ndani ya Jumba la BBA, wiki hii Max, Richard na Tatiana wamechaguliwa kupigiwa kula zakutoka. Hivi ndivyo walivyoteuana:-
Richard alimchagua Max na Lerato ambapo alisema kuwa, alimteua Max kwa sababu alikuwa na hisia kwamba alimsaliti Meryl na hajui thamani ya urafiki huku akimpendekeza Lerato kwa kuwa alishindwa kumtazama usoni tangu Meryl atolewe....
Na Mwandishi Wetu Wanamuziki mahiri wa Bendi ya African Revolutions ‘Twanga Chipolopolo’ Ramadhan Masanja, ‘Banza Stone’ na Ally Choki wa African Stars ‘Twanga Pepeta International’ wamemfanyia kitu mbaya Mkurugenzi wa bendi hizo Asha Baraka.
Wakati Banza amemfanyia kitu mbaya kwa kumwacha solemba Asha, Ally Choki anadaiwa kutoonesha dalili za kusaini mkataba mwingine wa kuitumikia bendi hiyo....
Hii ni hadithi yangu mpya itakayoendelea baada ya The Hidden Truth kwisha. Katika hadithi hii kijana Prosper Lufungulo amewaua walinzi wa kaburi la marehemu Sebastian Masaniwa, aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini. Amelivunja kaburi na kuingia ndani yake ambako kwa kutumia koleo anautupa udongo nje mpaka kufikia mabaki ya mwili wa kiongozi huyo nayo kuanza kuyatupa nje.....
Chakula kilichotumwa mahabusu na Dk. Ishengoma akimtumia mteja wa dawa za kulevya Chacha kwa lengo la kumuua Nyakutengwa, kinaishia kumuua rafiki yake mpendwa Thobias. Baadaye mke wa Nyakutengwa, Samantha ambaye anadaiwa ndiye aliyemtuma kijana huyo kupeleka chakula anakamatwa na kuhojiwa kwa mauaji. Je, nini kitaendelea? SONGA NAYO...