arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 12.09.2007

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» Aina 10 ya vyakula vinavyoo ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» Tatiana Richard mambo b ...
» WAREMBO WA ‘KISWAHILI’ ...
» Back from hell 8
» Nilimuua mume wangu nio ...
» RASHID KAWAWA
» WANA APOLO ROHO JUU
» JERRY MURO MATATANI!

 

HILI NI SOO

Amani  
HILI NI SOONa Christopher Lissa
Hili ni soo! Raia wawili wa Visiwa vya Comoro, Abascar Malide (40) na Ibrahim Assioundru (35), jana (Jumatano) walifikishwa katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar-es-Salaam kwa tuhuma za kukutwa na dawa hatari za kulevya aina ya bangi, zenye thamani ya shilingi milioni 25.....
    (12 September 2007)
Views: 1873 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Dar yanuka ngono

Amani  
Dar yanuka ngonoNa Waandishi Wetu
Katika kile kilichodaiwa kuwa ni mishemishe za vunja jungu kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, jiji la Dar es Salaam sasa linanuka ngono kutokana na kuongezeka mara dufu kwa biashara ya ukahaba....
    (12 September 2007)
Views: 3033 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Uchaguzi CCM

Amani  
Na Adolf Balingilaki
Uchaguzi wa wajumbe na viongozi wa mikoa ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), umempa wakati mgumu Rais Jakaya Kikwete wachunguzi wa mambo ya kisiasa nchini wamesema....
    (12 September 2007)
Views: 400 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mume ajifyeka Nyeti

Amani  
Filipo amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Mpanda mkoani Rukwa akitibiwa baada ya kujikata sehemu za siri na kuziondoa kabisa Septemba 2, mwaka huu wa 2007 katika kijiji cha Inyonga na kumsababishia kutokwa na damu nyingi na maumivu makali....
    (12 September 2007)
Views: 607 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

SHENAZI:

Amani  
SHENAZI:Mnenguaji na mfundaji maarufu aliyezimika ghalfa, wapenzi wa taarabu ni vilio tupu.
Kwa yeyote ambaye ni mdau wa muziki hasa ule wa mwambao, nazungumzia muziki wa taarab jina la Shenazi Salum sio geni masikioni mwake....
    (12 September 2007)
Views: 1700 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mambo 3 ya msingi kwa wapenzi walioshibana!

Mahaba  
Mambo 3 ya msingi kwa wapenzi walioshibana!Mpenzi msomaji, kila aliye na mpenzi anatamani sana uhusiano wao udumu kwa muda mrefu na ikiwezekana aweze kutimiza ndoto zake mke ama mume.
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba, si rahisi sana kulitunza penzi lenu kama hutakuwa makini kwani siku hizi kumekuwepo na vishawishi vingi kiasi kwamba kila siku tunashuhudia wapenzi wamekuwa wakiachana....
    (12 September 2007)
Views: 1439 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

THE FAKE PASTORS - Wachungaji waongo (21)

hadithi za Shigongo  
Mchungaji Patrick ameachana na Jack, mtoto wa mzee wa kanisa na hivi sasa yuko na mke wa muumini aitwaye mama Kisambale.
Mwanamke huyu alikwenda ofisini kwa mchungaji kuelezea matatizo yake ya kutopata mtoto kwa miaka yote kumi aliyoishi kwenye ndoa yake jambo lililopelekea familia ya mume wake waanze kumnyanyapaa na kumkosesha raha ya maisha.....
    (12 September 2007)
Views: 842 | Maoni (0) | Soma Zaidi
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com