arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 13.09.2007

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» JIDE HOI
» MSHANGAO!
» Rais Kabila aomba wakafungw ...
» HUKUMU YA BABU SEYA!
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» EH MOLA MPOKEE MJA WAKO ...
» TATIANA WA BBA ATUA DAR ...
» Mpakanjia apona!
» Happy at last (Hatimae ...
» HATA WATANZANIA TUKO JU ...
» USIFANYE MAMBO YAFUATAY ...
» DUH! MTIKILA ALIA KUPAN ...

 

WABAMBWA KWENYE TENDO!

ijumaa  
WABAMBWA KWENYE  TENDO!Na Waandishi Maalum
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, kijana mmoja na mpenzi wake ambao majina yao hayakuweza kufahamika mara moja, wakazi wa jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita walibambwa wakifanya mapenzi ndani ya gari.

Tukio hilo lililoshuhudiwa na waandishi wetu, lilitokea Jumamosi iliyopita saa nne usiku, karibu na nyumba ya kufikia wageni, iitwayo Mabibo Lodge iliyopo Mabibo jijini.....................................
    (13 September 2007)
Views: 14622 | Maoni (33) | Soma Zaidi

 

CCM yamkingia kifua Richa Adhia!

ijumaa  
CCM yamkingia kifua Richa Adhia!Na Julius Kihampa
BAADA ya kuwepo kwa mtazamo tofauti juu ya asili ya Miss Tanzania 2007 Richa Adhia, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania wote kwa ujumla ‘kumsapoti’ mrembo huyo badala ya kushutumu juu ya rangi yake.....
    (13 September 2007)
Views: 1044 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Yatima wamliza Hoyce Temu!

ijumaa  
Yatima wamliza Hoyce Temu!Na Joseph Shaluwa
Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu, amelizwa na hali ngumu ya maisha waliyonayo watoto wanaoishi katika mazingira magumu wakiwemo yatima.

Akizungumza na gazeti hili wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, Hoyce alisema kuwa maisha magumu waliyonayo watoto yatima yanamkosesha raha na kumfanya atokwe na machozi kila anapowakumbuka....
    (13 September 2007)
Views: 1257 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Jimama ladatishwa na Dully Sykes

ijumaa  
Jimama ladatishwa na Dully SykesImelda Mtema na Catherine Kassally
Stadi wa Bongo Fleva nchini, Abdul Sykes 'Dully Sykes' kama asipokuwa makini, anaweza kumuuzia penzi lake jimama aliyejulikana kwa jina moja la Kuruthumu ambaye ametenga kitita cha shilingi milioni 10 ili kumpata mwanamuziki huyo....
    (13 September 2007)
Views: 1769 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Aisha Madinda Chali ‘The Ijumaa Sexiest Girl’

ijumaa  
Aisha Madinda Chali ‘The Ijumaa Sexiest Girl’ Na Hamida Hassan.
Mnenguaji wa African Stars Band 'Twanga Pepeta' Aisha Madinda, amekuwa wa tano kuaga Shindano la The Ijumaa Sexiest Girl, baada ya kupata 12.6% ya kura zote zilizopigwa na mashabiki....
    (13 September 2007)
Views: 2055 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Jeff kukaribishwa kwa mbwembwe leo!

ijumaa  
Mshiriki wa Kenya Jeff katika Jumba la BBA, ambaye aliondolewa ndani ya jumba hilo wiki mbili zilizopita, anatarajiwa kukaribishwa kwa ‘pati’ ya nguvu nchini kwao leo....
    (13 September 2007)
Views: 482 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Jini Mahaba linanitesa -9

Mikasa ya kusisimua  
Nilipomuuliza alifanya nini alinijibu kwamba alifanya ndumba za kutaka kumuangamiza hivyo atamuonesha yeye alikuwa nani, nilipomuomba asimfanye chochote alisema huwa hachezewi hata siku moja.

Baada ya kuongea na jini huyo kwa muda aliniaga na kutoweka kwa kupitia ukutani, kulipokucha nilimsimulia mama kila kitu ambapo alishangaa....
    (13 September 2007)
Views: 1046 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

NITAKUFA KWA SABABU YA MKE WANGU 18

hadithi za Shigongo  
Laibon, Tina, bibi Khadija na mtoto mdogo Hope ambaye Laibon alimwokota wakati wa mapigano huko Darfur, wapo ndani ya chumba kidogo chenye kiza na hewa nzito kwenye meli iitwayo St. Petersburg Royal Marine inayoelekea Urusi.

Ingawa lengo la safari yao ni kwenda Marekani, wameamua kupanda tu meli hiyo ili waondoke Mogadishu, hawakutaka kabisa kuendelea kuwa Afrika.....
    (13 September 2007)
Views: 733 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Lazima uwe makini wakati wa kutafuta mke!

Mahaba  
Lazima uwe makini wakati wa kutafuta mke!Nikiacha kumshukuru Mungu wangu kutokana na mema anayonifanyia katika maisha yangu, nitakuwa sina busara, hakika ni wajibu wangu kumshukuru kwa kuwa siku zote amekuwa akinipigania katika maisha yangu.

Natamka haya kwa dhati ya moyo wangu, ahsante baba!....
    (13 September 2007)
Views: 1074 | Maoni (0) | Soma Zaidi
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com