PICHA MABLI MBALI ZA KUKAMATWA KWA BW. MUGAHIMKAMU, KUANZIA CHUMBA CHA HABARI NA KUISHIA KITUO CHA POLISI Majuto mjukuu... Anos (kulia) akiwa chini ya ulinzi wa afisa upelelezi wa jeshi la Polisi akipelekwa kituo cha Polisi Msimbazi. Pichani chini akilia kwa masikitiko baada ya kufikishwa kituoni.
poleni sana hasa wewe shigongo na nawapongeza sana kwa juhudi zote mulizofanya hila mimi natoa comment kwamba mulichokifanya sio kizuri cha kumtoa picha yake na kuandika jina lake wakati ni mtu mdaku wenu wa karibu huyu jamaa sasa munaweza kusababisha madhala makubwa sana kwa jamii kwani watu wanaweza kumpiga na kumchukia kwa vitendo vyake hivyo kwakweli nawaombeni sana mumchunge huyu mtu wenu kwani jamii aipendi udaku wenu sasa munapomuweka hadharani huyu jamaa munamsababishia mazingarira magumu sana kwa jamii yake
Poleni sana ila mulichokifanya kutoa picha adharani ni hatari kwani udaku uliotolewa haufundishi jamii ila unapotosha jamii na watu wanawacheka sana jaribu kuwapa somo aho wahariri wako wanapapukia mambo uho sio upaparazi kazi njema
Jaribu kupima mawazo yenu kama habari ilitoka muda mrefu kwanini hamkufuatilia mpaka mtu awaletee na sio vizuri kumtoa sura yake mnahatarisha maisha yake nanyi pia hamna faida maana habari imepita tugange yajayo ila kuwa makini na kazi yenu naomba mutoe ile sura maana watu wataichukua na kesi itawageuka ni mawazo tu