Na Catherine Kassally Muigizaji machachari wa kipindi cha Ze Comedy kinachorushwa kupitia Televisheni ya EATV, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji, huenda asirudi tena katika kipindi hicho kufuatia afya yake kuwa ya mgogoro baada ya kupata ajali.....
Dotto Mwaibale na Issa Mnally Mrembo mmoja ambaye hakufahamika jina lake hivi karibuni alijifungua mtoto wa kiume na kwenda kumtupa kwenye dampo la takataka lililopo Vigungunguti jijini Dar es Salaam, huku akiwa amemfunga kwenye mfuko wa plastiki maarufu kama Rambo....
Christopher Lisa na Mariam Mndeme Askari mmoja wa Jiji la Dar es Salaam ambaye jina lake halikuweza kufahamika, jana alipata kipigo kikali kutoka kwa mfanyabiashara ndogo ndogo ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja kiasa cha kuchaniwa magwanda yake...
Na Mwandishi Wetu Katika hali inayodhihirisha kuwa baadhi ya watu hawazingatii maadili ya kitanzania, binti mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Zawadi alinaswa akicheza akiwa mtupu ‘kusasambua’ mchana kweupe....
Baada ya kuachana na Jack, mtoto wa mzee wa Kanisa Patrick anaanza uhusiano wa kimapenzi na mke wa muumini aitwaye mama Kasambale, ambaye amehama kabisa nyumbani kwake na kuanza kuishi na Patrick kwa siri huku mume wake akimtafuta.....
Ndugu wasomaji, wiki iliyopita muliona jinsi kijana Mau alivyopuliziwa upepo na yule jini aliyejifanya msamaria kwake na kupoteza fahamu. Alipozinduka alijikuta akiwa ndani ya gari maeneo ya VETA Chang’ombe jijini Dar es Salaam ambapo dereva aliendesha gari hadi kwenye Benki ya City iliyopo mita chache kushoto kutoka kijiji cha Makumbusho, wakiwa hapo mpenzi wake Husna aliteremka na kuingia katika benki hiyo.....
Assalam alaikum mpenzi msomaji wangu. Ni wiki nyingine tena tunakutana kupitia safu hii maridhawa ya uwanja wa mapenzi, safu ambayo pamoja na mambo mengine nakuletea mada mbalimbali zinazogusa maisha yetu ya kimapenzi.
Wiki hii nitakuhabarisha juu ya mambo ambayo ukimfanyia mpenzi wako ni dhihiri utamdatisha na hatotamani kukuacha wala kuwa mbali na wewe.
Kimsingi kama utashindwa kuyafanyia kazi haya nitakayoyaeleza leo, unaweza kusababisha nyufa katika penzi lenu.....