ITC ya Kabanda, Lukunku zawasili kuongoza mauaji kesho, Mwalala arejeshwa kundini, Tegete atemwa Christina Mafuru
WAKATI kesho Ligi Kuu ya Vodacom inatarajiwa kuanza kutimua vumbi, Klabu ya Yanga imeanza kutoa vitisho kwa timu watakazokutana nazo msimu huu kuwa kikosi chao ni moto........
KAMA ilivyo ada ya Face 2 Face, kutuliza ‘mtima’ wa wasomaji wetu, Mwandishi FATMA AMRI wiki hii amejibu maombi ya wadau wetu waliyoomba kujua machache kutoka kwa Mrembo wa Vodacom, Miss Popularity 2007, Helga Gabriel Tarimo ambaye pia ni Mlimbwende wa Shinyanga na Kanda ya Ziwa.....
Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani leo ni siku ya tisa, twende sambamba ndugu yangu katika kipindi hiki cha ibada kuu kwa Waislamu, tuombeane kwa Maulana ili kumaliza salama siku 29 ama 30 za swaumu.
Bado tunaendelea na mada yetu ya Nguzo nne madhubuti katika kudumisha penzi la siri, tunalazimika kukumbushana hili, kwakuwa staili hii ya mapenzi ipo, kama siyo wewe basi pengine rafiki ama jirani yako.....
Ni wiki nyingine tunakutana ndani ya kona yetu maridhawa ya Dondoo za mwanamke, bila shaka hamjambo mungu anasaidia, kwa upande wangu mimi ni mzima namshukuru muweza wa yote.
Leo nitawaletea mada nyepesi lakini inaweza kuwa ngumu kuifuata, msijali sana kwa wale wanaompenda waume zao hakika mtapenda wawe smati ili mwisho wa siku mjivunie kuwa na wanaume wazuri na mwenye kuvutia pindi anapokuwa mbele ya jamii.
Mada ya leo tutazungumzia kitu cha kutumia pale mume wako anapokuwa na harufu katika miguu yake na sehemu mbalimbali za mwili, wanaume wengi wamekuwa na ‘vijiharufu’ harufu fulani vya mwili, hayo yote yanatokana na maumbile ya mwanaume mwenyewe na haipendezi kumnyanyapaa mwenzako eti kwasababu ana harufu ya kwapa au ya miguu nk...
Dk. Othman alifanikiwa kutoroka polisi, kwa msaada wa Dk. Ringo. Mipango ikafanyika safari ya Uingereza ikakamilika, ingawa walipata matatizo walipokuwa safarini kuelekea Uwanja wa Ndege lakini Dk. Othman alifika salama Uingereza ambapo alipokelewa na Dk. Immanuel, rafiki mkubwa wa Dk. Ringo.....
Kila mwaka ndani na nje ya Bongo, vinaibuka vichwa vipya katika sanaa ya muziki na kufanya maajabu huku vikiwaacha mashabiki wakijiuliza ni wapi walipokuwa. Je, kabla ya hapo waliwahi kuingia studio siku za nyuma? Na maswali mengine kibao ya dizaini hiyo....
Na Mwandishi Wetu Kifo cha mnenguaji maarufu wa nyimbo za miduara na mipasho nchini, Shenazi Salum kilichotokea hivi karibuni kwa ajali ya basi la SABCO, kilitawaliwa na vitendo vya kinyama, Ijumaa limegundua.....