arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 24.09.2007

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» Maximo, Meneja Stars wa ...
» VUNJA MBAVU!
» 'ZA MWIZI NI 40' MWIZI ...
» Niligeuka mwanamke, nik ...
» Mbaroni kwa kunyonya da ...
» Shoga usiendekeze mdeko ...
» Yanga yapewa mbinu toka ...

 

Binti atolewa vitu tumboni

uwazi  
Na Dotto Mwaibale
Binti mmoja ambaye ni mwalimu wa Shule ya Msingi Mkuranga iliyopo Mkoani Pwani, Bi. Leah Saisai Aminiel amenusurika kufa baada ya Daktari aliyekuwa akimfanyia operesheni ya kujifungua kudaiwa kusahau vipande vya bandeji tumboni.....
    (24 September 2007)
Views: 806 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

‘Wanafunzi acheni tamaa’

uwazi  
‘Wanafunzi acheni tamaa’Na Makongoro Oging’
Wanafunzi nchini wametakiwa kuacha tamaa ya pesa, badala yake wajitahidi katika masomo ili kuepuka na maambukizi ya magojwa ya zinaa ukiwemo Ukimwi......
    (24 September 2007)
Views: 664 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Utajuaje kama anakupenda?

Mahaba  
Utajuaje kama anakupenda?Nina imani wasomaji wangu wote ni wazima wa afya njema na mnaendelea vizuri kabisa na majukumu ya kila siku, hususan ya kusukuma gurudumu la maisha ambalo bila shaka ni gumu kusukumika!

Kwanza nichukue fursa hii kumshukuru Mungu wangu wa mbinguni, kwa uaminifu wake mpaka kufikia hapa nilipo. Ninaamini hata wewe unayesoma makala haya, yapo mambo mengi ambayo Mungu amekutendea na una wajibu wa kumshukuru! Tamka kimoyomoyo 'Ahsante Mungu!' kabla ya kuendelea na mada yetu ya leo.....
    (24 September 2007)
Views: 1283 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mwisho wa siku amani yetu lazima ibaki! Fanyeni yote, mtuachie amani yetu

Pasua Jipu  
Juzi nilikuwa napita maeneo ya Magomeni nikiwa ndani ya gari ghafla gari iliyokuwa mbele yangu ilipasuka tairi na kitoa mlio mkubwa ajabu! Nilichokishuhudia ni watu wote waliokuwa jirani na eneo hilo kushtuka, wengine mabega yakapanda juu kidogo, wengine vichwa vikaenda pembeni na baadhi wakataka kukimbia, mimi mwenyewe nisiwaseme wenzangu tu, nilitaka kuachia usukani wa gari kwa hofu na mapigo yangu ya moyo yakabadilika! Kifupi niliogopa, baadaye nilipogundua kuwa ni tairi la gari ndilo lililopasuka nilijiona muoga!......
    (24 September 2007)
Views: 3883 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

My Dear Cleopatra Mpenzi wangu Cleopatra (17)

hadithi za Shigongo  
Dan aliondoka Sagun akiwa amevunjika moyo kabisa, alijisikia mwenye bahati mbaya kuliko mtu mwingine yeyote. Isingewezekana hata kidogo mwanamke wa kwenye ndoto zake awe ameolewa na mwanaume mwingine, hakika hakuweza kuyazuia machozi kiasi kwamba dereva aliyekuwa naye ndani ya gari alilazimika kumuuliza kama alikuwa ana msiba na Dan akamsimulia kila kitu.....
    (24 September 2007)
Views: 730 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Simba kama Yanga

champion  
Simba kama Yanga Na Julius Kihampa, Tanga
HUU ni mwaka wa kufa vigogo, kama huamini waulize Yanga kwamba juzi walifanywa nini na Ashanti United, usiporizika basi bisha hodi Msimbazi, Simba watakueleza ukweli walivyotendwa na Coastal Union katika Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.....
    (24 September 2007)
Views: 669 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Ashanti: Ushindi wa Yanga ni magazetini

champion  
Na Adolph Balingilaki, DSM
TIMU ya Ashanti United ‘Wauza Mitumba wa Ilala’ imesema ushindi wa Klabu ya Yanga ni kupitia vyombo vya habari hususan ni magazetini na siyo uwanjani.....
    (24 September 2007)
Views: 360 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga: Ashanti ni kiboko

champion  
Yanga: Ashanti ni kibokoNa Immaculate Masanja, DSM
BAADA ya timu Yanga ( pichani) kupokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa watoto wa mjini, Ashanti United, uongozi wa Wanajangwani hao umekiri kuzidiwa uwezo katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro....
    (24 September 2007)
Views: 660 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga ndani ya ndoto mpya 2007 - 2008

champion  
Yanga ndani ya ndoto mpya 2007 - 2008PAZIA la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara lilifunguliwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika viwanja mbalimbali nchini. Kuanza kwa kinyang’anyiro hicho ni ishara kuwa, wakati wa wachezaji, makocha na waamuzi kuonesha makali yao umewadia.....
    (24 September 2007)
Views: 831 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

TFF hatutaki migogoro msimu huu wa Ligi Kuu

champion  
Na Elvan Stambuli
SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF), wiki iliyopita lilitangaza hadharani mkataba walioingia na wadhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom.

Ni vema kuwakumbusha viongozi wa TFF kwamba wawe wazi kwa kila hatua wanapofanya mambo yao ya kuendesha Ligi Kuu, kwa kuwa wamekalia viti hivyo kwa manufaa ya umma wa Watanzania....
    (24 September 2007)
Views: 385 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Simba ndani ya mchakato wa Ligi Kuu na Klabu Bingwa

champion  
Simba ndani ya mchakato wa Ligi Kuu na Klabu Bingwa Na Julius Kihampa
UKIUCHUNGUZA kwa kina usajili wa timu zote zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu, utagundua kuwa, katika kila kikosi kuna wachezaji wengi ambao ni mara yao ya kwanza kutia mguu katika michuano hiyo....
    (24 September 2007)
Views: 629 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Wezi wananizuia kuingia sokoni mapema

champion  
Wezi wananizuia kuingia sokoni mapemaNa Imelda Mtema
UPO usemi wa wahenga usemao ivumayo haidumu, ndivyo ilivyo kwa warembo wengi wa Tanzania, kwa kuwa majina yao huvuma wakati wakiwa na kofia ya tasnia hiyo, wanapoikabidhi kwa warithi wao huo ndio unakuwa mwisho wa kuwa ‘matawi ya juu’......
    (24 September 2007)
Views: 1105 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mitungi yamtoa nishai Katibu TAFCA

champion  
KATIBU Mkuu wa Chama cha Makocha Tanzania (TAFCA), Eugen Mwasamaki ametoa kali ya mwezi wa Ramadhan baada ya kutinga ofisini akiwa amelewa.

Tukio hilo lisilo la kistaharabu kwa kiongozi wa soka kama huyo, lilitokea Alhamisi ya wiki iliyopita katika ofisi za Shirisisho la Soka Tanzania (TFF) zilizopo Karume jijini Dar es Salaam.....
    (24 September 2007)
Views: 408 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Richard ashindwa kujinasua kwa Tatiana

champion  
Richard ashindwa kujinasua kwa TatianaMSHIRIKI wa Tanzania katika shindano la Big Brother Afrika (BBA), Richard ameshindwa kujinasua katika mikono ya kimwana wa Angola, Tatiana.
Tatiana amekuwa bega kwa bega na Richard huku akijaribu kutafuta njia ya kumhadaa akubali kumpa penzi.....
    (24 September 2007)
Views: 1551 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Fanya mazoezi kuondoa wasiwasi kabla ya ndoa

Mahaba  
Fanya mazoezi kuondoa wasiwasi kabla ya ndoaHii ni wiki ya pili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, swaumu inaendelea, pamoja na hivyo, nakuomba unipe nukta chache ili tuwezekuzungumza mapenzi. Love and Marriage ndiyo uga unaotuunganisha.

Matoleo mawili yaliyopita, nikiwa na maana ya Championi Jumatatu na Ijumaa nilikuwa nikidadavua mada ihusuyo namna ya kudumisha penzi la siri.....
    (24 September 2007)
Views: 986 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com