arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Amani » Maimatha, Ben

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» MSHANGAO!
» Rais Kabila aomba wakafungw ...
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» Uzushi?
» My black chapter -3
» Nitampate mwanaume wa k ...
» KESI YA AKINA MRAMBA NA ...
» RICHARD ATOA SH. 1,000, ...
» Yanga usiguse
» Mbinu za kumrudisha mw ...

Maimatha, Ben

Amani

Maimatha, BenMai na Benny walibambwa na kamera yetu Septemba 23 mwaka huu wakiwa wamekumbatiana kimahaba ndani ya ukumbi huo, jambo lililowafanya baadhi ya watu waliokuwa wakiwatazama kuhisi kuwa, huenda wawili hao wana uhusiano wa kimapenzi.

Ilidaiwa kuwa, watangazaji hao walifika pamoja ukumbini hapo kwa kutumia gari dogo aina ya baluni majira ya jioni na kwenda kuketi meza moja kabla ya kuagiza vivywaji na kuanza kubadilishana mawazo.

“Walifika pamoja wakakaa meza moja lakini kadiri muda ulivyozidi ndivyo walivyozidi kuonesha vioja, kuna wakati walikumbatiana na kubusiana,” alisema mtoa habari wetu ambaye aliomba hifadhi ya jina lake.

Maimatha, BenAliongeza kuwa, baada ya kujiachia kwa bashasha za wazi watangazaji hao waliongozana tena hadi kwenye gari lao walilokuwa wameliegesha kando ya ukumbi huo ambako waliendelea kukumbatiana kama picha ya ukurasa wa mbele inavyoonesha.

Tukio hilo limetokea siku chache baada ya kuwepo kwa madai kuwa Maimatha alikuwa ametoswa na mchumba wake ‘Paff Daddy’ baada ya kutokea kutoelewana baina yao, hata hivyo habari hiyo ilikanushwa baadaye na wachumba hao.

Kufuatia tukio hilo, baadhi ya watu waliowashuhudiwa walinong’ona kwamba huenda mtangazaji huyo wa kike anatafuta mrithi wa penzi la mchumba wake aliyedaiwa kumpa kisogo.

Hata hivyo mwandishi wetu alipomtafuta Maimatha ili kujua kilicho nyuma ya pazia baina yake na Benny alisema, "Eh, sema Mai jina langu, Didy Mume wangu na Afro Beat kipindi changu,kinakushangaza nini kuona mimi na Benny tumekumbatiana, mume wangu hana mashaka naye wewe macho yanakutoka vipi?

“Kwani kuna mtu hamjui Beny kama ni mfanyakazi mwenzangu, tatizo liko wapi ina maana siruhusiwi kufanya mambo yangu binafsi,” alisema Mai kwa nyodo.

Naye Benny alipoulizwa juu ya hilo alisema kuwa anamheshimu Mai kama dada na mfanyakazi mwenzie na kwamba hayuko tayari kumvunjia heshima yeye pamoja na mume wake anayemchukulia kama mtu wake wa karibu.

“Kukumbatiana ni ishara ya kufurahi tu, siku hiyo tulikuwa na furaha, michongo (mipango) yetu ilifanikiwa tukakamata pesa za kutosha,” alisema Benny huku akimtaka mwandishi wa habari hizi kutomchonganisha na marafiki zake muhimu.


 (Votes #: 4)
    (26 September 2007)
Soma Zaidi: 2775 | Maoni Yako (23)

Udaku Mwingine

Amani
 
  • MAIMATHA AACHIKA
  • Benny Kinyaiya awa chinga
  • Benny Kinyaiya aopoa
  • Benny Kinyaiya awa mhudumu wa hotel
  • Kazi ya baa yamuweka matatani Benny Kinyaiya
  •    

    #1 Author: mlengamillo (26 September 2007 21:00)

    SIO MBAYA INRUHUSIWA HATA WAO KUWA WAPENZI
     
    fast    

    #2 Author: Anonymous (27 September 2007 06:56)

    Wache wakumbatiane hao maana naona kama wana jinsia moja. Mikorogo imewajaa hujui nani kaka nani dada. Wasituumize vichwa
     
    fast    

    #3 Author: bahati francis (27 September 2007 08:13)

    jinsia moja............they are all the same au tuseme wansagana? aaah kujichetua tu!!!!!!!!!!!!!!!

    lakini ben si unafahamu friendship is sharing? si mbaya kivile
     
    fast    

    #4 Author: Angelah (27 September 2007 08:32)

    Tunataka ukweli,Au ndio kisa cha kuachika na mume wake?lakini nasikia beny si riziki
     
    fast    

    #5 Author: tatu (27 September 2007 09:19)

    Mhm! ila MAI na BEn punguzeni hiyo mikorogo yani mnatisha jamani loh!alafu wewe Mai mimekapu unaizidisha bana kawa wa2 hawakwambii hawakupendi punguza kidogo alafu unajua uso umeshakomaa kwa sababu hayo mamekapu yanakomaza uso.

    samahani kama nitakuwa nimewaudhi ila basi bana.

    Tatu kitenge
    winked angry [s][/s]
     
    fast    

    #6 Author: meyl (27 September 2007 10:07)

    hey wats up nyie kweli vimeo mihogo isiyofaa kwa futari mnachekesha wala hata hamtuumizi vichwa watu kama nyie Mmh! watu wenyewe jinsia moja hata kama tukiwakuta nawakumbatia wanacheza mchezo wa kitoto tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
     
    fast    

    #7 Author: Samora (27 September 2007 15:45)

    eehhh wabongo!!! hamna ata ndogo, watu kukumbatiana kuna nini la ajabu, mbona mama ua baba na wanae wanakumbatia lakini siwaoni kwenye front page zenu?
     
    fast    

    #8 Author: Aman (18 October 2007 13:50)

    Mna shangaa nini wakati hao wote ni wake za watu,ndio maana mume wao hashtuki.
     
    fast    

    #9 Author: kuku (20 October 2007 07:01)

    hivi nikweli jamani huyo beny ni mtoto wa wa2? hebu tupasheni udaku huo kwa makini, maana mie huwa na wasiwasi sana jualivyo. halafu mikorogo kwanini whay? mwanaume hatakiwi kuwa hivyo atarrrrrri, na huyo mama mtu mzima asiojijua kwenda kujichatua na hicho kitoto kidogo tena cha watu, hana haya, kajipaka mikorogo anatisha, kawa kama maiti iliyofufuka kaburini hayo marangi anayojiongezea usoni, kwakweli huyo dada anatisha, hapendezi kama wanamdanganya kuwa anapendeza hawampendi. kweli mtu kawa namna ile? yule akipata ajali bahati mbaya ndio hivyo tena. kama niwaarabu ameshatofautiana nao kamaniwahindi hafanani nao, kamaniwanzungu pia tafauti kubwa sana. sasa sijui yeye anataka aweje hapaduniani? zaidi ya shetani, kwakeli wewe dada unatisha wala huwa haupendezi, wanaokusifia wanakudanganya, unaonekana kinyago. hata mumeo kama hakuambi bibi anakusanif anachopenda kwako ni huo usupasta wenu wakibongo. lakini wehupendezi, waige wenzako wengi tu wanatangaza wako nature wanapendeza, hata kama wanajipamba kiasi cha kuridhisha, mwanamke yoyote unaemuona duaniani anapenda kujipamba apendeze, ilaunajiangalia kwanza ntatoka vp. sio unaga tu mnajibadilisha mpaka mnatisha. waswahili bana. micheal jackson mnamsema weeee usiko na mchana, kumbe nanyinyi mnapenda kuwa wanzungu? matokeo yake huwi mzungu, unakuwa mzimu.
     
    fast    

    #10 Author: winie (20 October 2007 10:16)

    waacheni kwani wao ni jinsia moja huyo beny nikama mwenzake tu, mimi sioni kama kuna utofauti .
     
    fast    

    #11 Author: mnyamwezi (20 October 2007 18:15)

    hapo ni sawa na Belinda[BEN] kumkumbatia shoga yake Maimartha. hivyo waandishi msiwe na wasiwasi, unajua wote hao wawili wameachwa na mabwana zao sasa wanajaribu kuliwazana; ila ushauri wa bure kwao kama kweli wanataka kupata mabwana wa kudumu nao inabidi waache kutumia mikorogo.
     
    fast    

    #12 Author: afsaliiii (1 November 2007 11:45)

    kwakweli wanatisha misura kama wafuuuu mmh wanatuchefua wengine kwa saana tu hivi majumbani kwao hawana vioo vya kujitizama?kama huyo mai ndooo kabisaa kwani hakufanyiwa kitchenpart akapewa japo kadressing table kenye kiooo?maana yaelekea huwa hajitizami.napenda kumuulizwa swali samahani kama ntakuwa nakosea mai jee hata kwa bibi umepapaka mkorogo ivooooo?maana mmh nnawasiwasi pakoje huko mmh?
     
    fast    

    #13 Author: Kithuku (23 November 2007 17:38)

    Huyo Benny anajulikana siku nyingi ni choko
     
    fast    

    #14 Author: Mwanawane (17 December 2007 16:02)

    Whao! ben is so cute! So pretty!
     
    fast    

    #15 Author: leila (24 January 2008 14:36)

    ben punguza mkorogo lol
     
    fast    

    #16 Author: Albert (21 February 2008 11:57)

    Vipi kijana huyo ni Mchicha mwiba? God Lord Bless him
     
    fast    

    #17 Author: anny (23 February 2008 16:57)

    ha ha huh!!!! yaani wee acha tuu!! nimesoma maoni ya wenzangu yaani nimecheka mpk basiii na mimi nawaunga mkono kwa kweli huyo ben,, belinda!!!! na huo mai eti ni VITUKO DUNIANI!!! POLE YAO!!!!WANATISHA ILE MBAYA!!! LOH!!!!!!
     
    fast    

    #18 Author: Faustin (15 April 2008 12:11)

    Acheni unafiki na uzandiki. Mbona mnakuwa na tabia mbaya mtu akipendeza kama Ben mnaanza shoga. Nani ana ushahidi? Acheni hizo wabongo.
     
    fast    

    #19 Author: msemakweli (15 May 2008 12:24)

    nawaunga mkono hao wenzangu wote,
    Harafu nashangaa Kusikia Mai anasema eti Paff mume wake wakati hiyo pete ya uchumba kavishwa juzi tu na si kwamba anampenda bali Paff anapenda huo usupastaa wake basi kwani anamwanamke huko mabibo tunamjua so asijishaue huyo mai.
     
    fast    

    #20 Author: eliza (23 July 2008 09:54)

    napenda sana tena sana kujiremba na kutumia vipodozi lakini mwenzetu mai unatisha utafikiri sanamu bwana.hivi ukijigonga kwa bahati mbaya usoni inakuwaje.punguza bwana b simple.
     
    fast    

    #21 Author: musa kidichi (14 August 2008 12:21)

    kha ndio hapo mimi nashangaa yani wabongo bado wana kasumba anaevaa hereni,kujichubua ndio choko,hivi mkiwaona hao machoko walivyo nadhani msingekuwa mnaongea kama anavyosema Faustin,wabongo tumezoea kujaji sana mtu kwa mavazi na muonekano,ndio kasumba inayotufanya tubaki nyuma kila siku kwa kuhisi pasipo kuwa na uhakika ka kweli,ongeeni kwa vielelezo eg elton john tunajua ni shoga inajulikana kuliko kumjaji mtu alaaha acheni hizo!
     
    fast    

    #22 Author: frank (22 April 2009 10:05)

    hiyo nifikra potofu kujichubua ni maamuzi ya mtu binafsi ambayo hayawezi kuinguliwa na mtu yoyote.

    fikra potofu za watu wasio elimika

    imani potofu
     
    fast    

    #23 Author: moni (25 September 2009 06:04)

    mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee? mai utafikilia anapigwa na fimbo za moto
     
    fast    

    Add comments

    Name:
    E-mail:

    Code:
    Include security image CAPCHA.
    to renew the code
    Enter Code:

     

    Kura Yako / Poll

    Habari Katika Picha


    Gazeti la Uwazi


    Nani Yupo / Alikuwepo


    Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

     hit counter

    counters

    2008 © globalpublisherstz.com