arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 30.09.2007

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» Phiri ahofia pointi sit ...
» MESEJI ZA KUTISHA KUMUU ...
» Newala wazuia msafara w ...
» Binti mnyonya damu za w ...
» ASHA ANASHEREKEA MWAKA ...
» JAMANI NIUNGISHENI SURU ...
» Jezi ya Henry yazua taf ...

 

Irene uwoya anadatisha

ijumaa wikienda  
Irene uwoya anadatishaNa Hamida Hassan
Miss Tanzania namba tano, mwaka 2006, Irene Uwoya, ameonekana kuwadatisha wanaume wengi wakware kutokana na umbo lake lenye mvuto wa aina yake. Wanaume hao ambao wamekuwa wakilipigia simu gazeti hili kwa muda mrefu, walisema kuwa mbali ya kudatishwa na umbo, pia sura ya mrembo huyo ni alama nyingine ‘inayowakong’oli’ kupita kiasi.
    (30 September 2007)
Views: 4083 | Maoni (12) | Soma Zaidi

 

Kapuya, Mudhihir Why?

ijumaa wikienda  
Kapuya, Mudhihir Why?Fatma Amri na Rehema Sapali
P amoja na dua za kuwatakia heri Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Juma Kapuya na Mbunge wa Mchinga (CCM), Mudhihir Mudhihir kuendelea kumiminika, fikra za Watanzania bado zinauliza kwanini (why), juu ya ajali zilizowakumba viongozi hao...
    (30 September 2007)
Views: 969 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Wema Sepetu

ijumaa wikienda  
Wema SepetuNa Issa Mnally
Sherehe ya kutimiza umri wa miaka 19 ya Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu, ilikuwa kufuru, kutokana na kutawaliwa na vituko kemu kemu, wakati wa kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani...
    (30 September 2007)
Views: 4830 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

Ze Comedy waua!

ijumaa wikienda  
Na Richard Bukos
Kundi la vichekesho la Ze Comedy, mwishoni mwa wiki iliyopita liliua sherehe ya uzinduzi wa mfuko wa Uadilifu, Uwajibikaji na Uwazi, zilizofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar- es Salaam.

Ze Comedy ambalo huonesha vichekesho vyao kupitia Luninga ya EATV, liliua uzinduzi huo muda mfupi baada ya kupanda jukwaani kutokana na kusababisha vurugu kubwa iliyohatarisha maisha ya watu......
    (30 September 2007)
Views: 2014 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Njia makini za kukabiliana na upweke

Mahaba  
Njia makini za kukabiliana na upwekeNajisikia furaha sana moyoni mwangu, furaha hiyo inatokana na uzima niliojaliwa na Mungu. Karibuni tujifunze jinsi ya kuwa bora zaidi katika uhusiano wetu na wachumba ama ndoa zetu. Kila kitu kinawezekana tukikubali kujifunza.
Kama kuna kitu kinachouma zaidi katika uhusiano ni kuachwa, hasa kama ulikuwa una mapenzi mazito juu ya mwandani wako........
    (30 September 2007)
Views: 1063 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

For my wife, i will die! (Nitakufa kwa ajili ya mke wangu 23

hadithi za Shigongo  
Laibon alikuwa na akili nyingi kuliko kawaida, alichokifanya alipokuwa nyumbani kwa rafiki yake Milkov katika Jiji la Moscow, Urusi ni kujifunza kuogelea baharini! Hakuwa na haja na mashindano wala umaarufu, alifanya hivyo akiwa na lengo la siku moja kuzamia hadi kwenye Meli ya St. Petersbugy, akiamini kama asingefanikiwa kuwaona ndugu zake, basi utajiri wa madini ungekuwa halali yake.........
    (30 September 2007)
Views: 1013 | Maoni (4) | Soma Zaidi
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com