Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
|
 |
 |
|
 |
Mzee Lufungulo anafariki dunia akiwa gerezani, kabla ya kifo chake anawasimulia watoto wake Saimon, John na Prosper ukweli juu ya kilichotokea mpaka yeye na familia yake wakajikuta wakipakaziwa kesi ya ubakaji na kutupwa gerezani kwa kifungo cha maisha ili wafie huko. Amewaeleza kila kitu juu ya Sebastian Masaniwa, ambaye hivi sasa ni Waziri wa Biashara, walisoma pamoja na kuingia katika ugomvi wa mwanamke ambaye baadaye alikuja kuwa mama yao na Prosper, mwanamke huyo hivi sasa ni marehemu, alianguka chini na kufa siku mume na watoto wake walipokamatwa na kutupwa mahabusu.
Baada ya kifo chake, watoto wake watatu wanaendelea na maisha gerezani, Prosper akipanga kitu kimoja tu kichwani mwake, kutoka gerezani kwenda kulipa kisasi kama baba yake alivyowaagiza. Katika kujiandaa na hilo na pia kupambana na manyanyaso ya gerezani, amempata rafiki aitwaye Warioba na kujiunga naye katika mazoezi ya kunyanyua vitu vizito, anataka kuwa mkakamavu.
Miezi michache baadaye alikuwa amebadilika maumbile, misuli yake ilikuwa imekua na kukomaa, kwa Kiswahili cha sasa vijana wangeweza kumwita Baunsa. Akiwa hajui uwezo aliokuwa nao kwa wakati huo, Mnyampara Sugu anamfuata tena kama ilivyokuwa hapo awali na kumwomba mapenzi kinyume na maumbile, hapo ndipo Prosper akiwa na hasira nyingi akaamua kuonyesha uwezo aliokuwa nao kwa kumpa kipigo cha mbwa mwizi mtu aliyekuwa anaogopwa na gereza zima.
Taarifa zilipofikishwa kwa Mkuu wa Gereza, iliamriwa mara moja Prosper ahamishwe gereza kupelekwa Butimba Mwanza, jambo ambalo kijana huyo hakukubaliana nalo kabisa akidai hakuwa tayari kutenganishwa na ndugu zake mpaka kifo, aliyasema maneno hayo mbele ya Mkuu wa Gereza na maaskari wengine wakisikia. Je, nini kitaendelea? SONGA NAYO… |
|
 |
 |
|
 |
 MY GOD! Sodom and Gomorrah in Dar!! • Girl shows her booty on stage • Salama caught doing her ‘taboos’ By Christopher Lissa & Richard Bukos It was a night when hell broke loose and Satan ruled supreme at last weekend’s Ugandan Night Concert. It was Sodom and Gomorrah to boot and revelers either could not tell whether they were in Dar es Salaam or another city in another planet of devils. But, yes, it was the special concert which gathered together a large number of artists and their friends from all over East Africa. ..... |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|