arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for November 2007 Year

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» The Assassinati -68
» Mheshimiwa akatikiwa ki ...
» NI HATARI TUPU!
» POTRAIT YA OLYMPIC
» Mtoto wa mchungaji
» Rudisha moyo wa mumeo!
» Yanga SC usibipu

 

Micho Kocha Mkuu Si

champion ijumaa  
Micho Kocha Mkuu SiNa Mwandishi Wetu
BAADA ya kuitema Klabu ya Yanga, Agosti mwaka huu, aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mserbia Milutin Sredojevic 'Micho' anaviziwa na watani wao wa jadi Simba, imefahamika.
Mara baada ya kumalizika kwa Ligi Ndogo ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), Micho aliuaga uongozi wa klabu hiyo kuwa anakwenda Serbia kutibiwa, lakini baadaye aliitema timu hiyo akiwa kwao...
    (30 November 2007)
Views: 446 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Tanzania yapanda Viwango FIFA

champion ijumaa  
Na Adolph Balingilaki
SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF), limesema Tanzania imepanda nafasi tatu juu katika viwango vya Shirikisho la Soka duniani (FIFA).

Akizungumza na Championi ofisini kwake Karume jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa TFF, Frederick Mwakalebela alisema kuwa kiwango hicho kimepanda baada ya kuifunga Timu ya Taifa ya Zambia (Chipolopolo) katika mechi ya kimataifa ya kirafiki...
    (30 November 2007)
Views: 514 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Afya wachezaji Yanga zinatisha-Kocha.

champion ijumaa  
Na Chausiku Omary
KOCHA Mkuu wa Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Kondic Dusan amesema kuwa zoezi la kupima afya za wachezaji limemfumbua macho kwa kuweza kubaini matatizo makubwa...
    (30 November 2007)
Views: 325 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Mukenya kurudi Yanga ni ndoto

champion ijumaa  
Mukenya kurudi Yanga ni ndotoNA Fatma Amri
KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Jamhuri Kihwelu 'Julio' amesema mchezaji, Edwin Mukenya kurudi Yanga itakuwa ni ndoto kwa kuwa ana mapenzi binafsi na timu hiyo ya mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam...
    (30 November 2007)
Views: 255 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Wasanii kuwasha moto CCM Kirumba kesho

champion ijumaa  
Na Mwandishi Wetu
Wasanii kuwasha moto CCM Kirumba keshoKESHO si ndiyo Desemba mosi? Ndiyo, CCM Kirumba hakutakamatika, kuna nini? Wanamuziki wa Kizazi kipya wenye asili ya Mwanza wakishirikiana na mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha wanatarajiwa kuwasha moto...
    (30 November 2007)
Views: 405 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

My ghosts(mizimu yangu - 7)

hadithi za Shigongo  
Kijana mtanashati, Osward mwenye mafanikio makubwa na mcha Mungu, anakutana na msichana mrembo aitwaye Jennifer. Siku zote amekuwa na msimamo mkali juu ya uhusiano na wasichana kimapenzi, hiyo ndiyo ilikuwa sifa yake kubwa lakini baada ya kukutana na Jennifer kwenye taa za Morocco, msimamo wake uliyumba akajikuta katika mapenzi mazito na msichana huyo mwenye mvuto mfanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi iitwayo Outreach...
    (30 November 2007)
Views: 15 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

My ghosts(mizimu yangu - 7)

hadithi za Shigongo  
Kijana mtanashati, Osward mwenye mafanikio makubwa na mcha Mungu, anakutana na msichana mrembo aitwaye Jennifer. Siku zote amekuwa na msimamo mkali juu ya uhusiano na wasichana kimapenzi, hiyo ndiyo ilikuwa sifa yake kubwa lakini baada ya kukutana na Jennifer kwenye taa za Morocco, msimamo wake uliyumba akajikuta katika mapenzi mazito na msichana huyo mwenye mvuto mfanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi iitwayo Outreach...
    (30 November 2007)
Views: 739 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

John Woka:Fundi umeme aliyelewa muziki wa kizazi kipya

champion ijumaa  
John Woka:Fundi umeme aliyelewa muziki wa kizazi kipyaNi ukweli ambao haupingiki kuwa muziki ni moja kati ya ajira ambazo zimewatoa vijana wengi kimaisha. Kwa maana hiyo kazi hii inayobeba jina la sanaa, ni bora ikaheshimiwa na pengine kuwekewa misingi imara na serikali yetu, ili wafanyakazi wake wafikie malengo yanayotarajiwa.

Unaposimama mbele ya hadhara katika uga wa nchi yetu na ukataja neno muziki achilia mbali wa kizazi kipya au Bongo fleva utakuwa umetaja mfereji wa wazi kabisa wa pesa miongoni mwa watanzani walio wengi...
    (30 November 2007)
Views: 459 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Injini ya Twiga Stars iliyokarabatiwa Sweden

champion ijumaa  
Injini ya Twiga Stars iliyokarabatiwa SwedenUNAPOZUNGUMZIA soka la wanawake hapa nchini, huwezi kuliacha jina la mchezaji Ester Chabruma ambaye mashabiki wa soka walimpachika jina la Lunyamila kutokana na kukifananisha kipaji chake na aliyekuwa mchezaji wa Yanga Edibilly Jonas Lunyamila...
    (30 November 2007)
Views: 494 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Kuhonga katika mapenzi, kunaleta maana?

Mahaba  
Kuhonga katika mapenzi, kunaleta maana?Mungu aliyeumba mbingu na ardhi, ndiye aliyenipa ubavu wa kuitumia safu hii kama uwanja wa kutoa elimu kwa wengi. Ahsante Bwana, wewe ndiye kila kitu maishani mwangu...
    (30 November 2007)
Views: 507 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

MPAKANJIA APASUA JIPU

ijumaa  
MPAKANJIA APASUA JIPUHawa Mkombozi na Imelda Mtema

Mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Mohamed Mpakanjia ‘Medy’ hivi karibuni amepasua jipu baada ya kusikia habari kuwa aliyekuwa mkewe, marehemu Amina Chifupa, amewekwa msukule katika shamba moja lililopo Kibaha, mkoani Pwani.....
    (30 November 2007)
Views: 2683 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

K-LYIN ADATISHWA NA PENZI LA MR BLUE!

ijumaa  
Imelda Mtema na Violet Mushi

Mwanamuziki wa Bongo Fleva ambaye aliwahi kuwa Miss Tanzania 1999, Jacqueline Ntuyabaliwe ‘K-Lyin, hivi sasa amedatishwa na penzi la mwanamuziki mwenzie Kheri Samir maarufu kama Mr Blue.

K-Lyn anaonekana kudata na penzi la bwana mdogo huyo ndani ya video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Nipe mkono (Miamore) ambao amemshirikisha mwanamuziki huyo.....
    (30 November 2007)
Views: 24 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Tatiana Richard mambo bado!

ijumaa  
Tatiana Richard mambo bado!Kuna mawasiliano mazito.
Familia yatoa tamko

Mariam Mndeme

Ingawa kuna madai kuwa Big Brother Richard Buzueidenhout kamaliza bifu kiana na Mkewe Ricki ambaye alikerwa na kitendo chake cha kujihusisha kimapenzi na Tatiana wa Angola, imedaiwa kuwa bado ana mawasiliano mazito na Muangola huyo Ijumaa limedokezwa.....
    (30 November 2007)
Views: 992 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

(Nitakufa kwa ajili ya mke wangu - 42)

hadithi za Shigongo  
Digo, muuaji aliyetumiwa na Tina Richard pamoja na mwanae John Gurvey kuwaua watu mbalimbali waliosababisha kampuni yao ya Black American Media Group kukosa mikataba ya matangazo na kuchukuliwa na Broadway Media inayoongozwa na Natalia, amekwenda kanisani kutubu dhambi zake kwenye kitubio lakini padri aliyemsikiliza ambaye alifahamu mauaji yote aliyoyafanya, anatoa siri hiyo kwa hawara yake ambaye naye anazifikisha taarifa hizo polisi hivyo kulazismisha ofisi ya Black American Media ivamiwe na maaskari kwa lengo la kuwakamata Tina na mwanae John ili wahojiwe kwa mauaji ya watu wote waliotajwa.

Wakati taarifa hizo zinawafikia walikuwa ofisini kwa Mkurugenzi wao wa masoko Hellen, ambaye pia hivi sasa anamiliki asilimia nyingi ya hisa katika kampuni hiyo. Alichokifanya ni kuwatorosha kupitia mlango wa nyuma, lakini kabla ya hapo alifungua kabati na kutoa bastola pamoja na hati yake ya kusafiria. Safari yao iliwapeleka moja kwa moja hadi shambani kwa Hellen ambako aliwaingiza kwenye kibanda kidogo chenye shimo refu ndani yake!
Wakiamini Hellen alikuwa mkombozi wao, ghafla mambo yanabadilika, anachomoa bastola yake na kuwalenga kisha kuwapa hati yake ya kusafiria waisome, iliandikwa jina la Tecla Jones! Akawakumbusha hapo hapo kuwa yeye ndiye mke wa Adrian Jones waliyemuua na kwamba aliingia kwenye kampuni yao si kupata kazi bali kulipa kisasi na siku ya kutekeleza hilo ilikuwa imefika.

Tina na mwanae hawakuamini walichokuwa wakikiona, wakamkumbuka Tecla Jones na kuukumbuka unyama waliomtendea mume wake. Wakijua Tecla angewaua na kuidumbukiza miili yao kwenye kisima kirefu alichochimba, walianza kumuomba msamaha lakini Tecla hakuwa tayari kufanya hivyo, kilichofuatia baada ya hapo ni milio ya risasi.

Je, nini kitafuata? SONGA NAYO.....
    (30 November 2007)
Views: 513 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Utajuaje kama kweli unampenda

Mahaba  
Utajuaje kama kweli unampendaAmani ya Bwana Mungu, Yehova Mtakatifu iwe juu yenu nyote wapenzi wasomaji wa safu hii, leo tunaendelea tena na darasa letu la mapenzi. Leo tutakuwa tunaelimishana juu ya kumjua mtu anayekupenda na ambaye hakupendi.

Kwani nataka nieleweke kuwa si kila mtu anayekwambia ‘nakupenda’ huwa ana maanisha akisemacho. Wako watu husema nakupenda lakini kumbe ki dhati huwa anakutaka tu na si kukupenda.

Je, utajuaje kama hapa unapendwa au hupendwi na wote wametamka neno moja “nakupenda?”
Kwa kawaida tumezoea kuwasikia wanaume ndiyo wakiwaeleza wanawake kwamba nakupenda katika kuanzisha mahusiano ya kimahaba. Ingawa wanawake pia wapo wanaojiamini kiasi cha kuthubutu kuwaambia wanaume nakupenda.....
    (30 November 2007)
Views: 417 | Maoni (2) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 23 24 25  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com