Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
|
 |
 |
|
 |
 Na Mwandishi WetuBAADA ya kuitema Klabu ya Yanga, Agosti mwaka huu, aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mserbia Milutin Sredojevic 'Micho' anaviziwa na watani wao wa jadi Simba, imefahamika. Mara baada ya kumalizika kwa Ligi Ndogo ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), Micho aliuaga uongozi wa klabu hiyo kuwa anakwenda Serbia kutibiwa, lakini baadaye aliitema timu hiyo akiwa kwao... |
|
 |
 |
|
Tatiana Richard mambo bado!
|
ijumaa |
|
|
 |
 Kuna mawasiliano mazito. Familia yatoa tamko Mariam Mndeme Ingawa kuna madai kuwa Big Brother Richard Buzueidenhout kamaliza bifu kiana na Mkewe Ricki ambaye alikerwa na kitendo chake cha kujihusisha kimapenzi na Tatiana wa Angola, imedaiwa kuwa bado ana mawasiliano mazito na Muangola huyo Ijumaa limedokezwa..... |
|
 |
 |
|
 |
Digo, muuaji aliyetumiwa na Tina Richard pamoja na mwanae John Gurvey kuwaua watu mbalimbali waliosababisha kampuni yao ya Black American Media Group kukosa mikataba ya matangazo na kuchukuliwa na Broadway Media inayoongozwa na Natalia, amekwenda kanisani kutubu dhambi zake kwenye kitubio lakini padri aliyemsikiliza ambaye alifahamu mauaji yote aliyoyafanya, anatoa siri hiyo kwa hawara yake ambaye naye anazifikisha taarifa hizo polisi hivyo kulazismisha ofisi ya Black American Media ivamiwe na maaskari kwa lengo la kuwakamata Tina na mwanae John ili wahojiwe kwa mauaji ya watu wote waliotajwa.
Wakati taarifa hizo zinawafikia walikuwa ofisini kwa Mkurugenzi wao wa masoko Hellen, ambaye pia hivi sasa anamiliki asilimia nyingi ya hisa katika kampuni hiyo. Alichokifanya ni kuwatorosha kupitia mlango wa nyuma, lakini kabla ya hapo alifungua kabati na kutoa bastola pamoja na hati yake ya kusafiria. Safari yao iliwapeleka moja kwa moja hadi shambani kwa Hellen ambako aliwaingiza kwenye kibanda kidogo chenye shimo refu ndani yake! Wakiamini Hellen alikuwa mkombozi wao, ghafla mambo yanabadilika, anachomoa bastola yake na kuwalenga kisha kuwapa hati yake ya kusafiria waisome, iliandikwa jina la Tecla Jones! Akawakumbusha hapo hapo kuwa yeye ndiye mke wa Adrian Jones waliyemuua na kwamba aliingia kwenye kampuni yao si kupata kazi bali kulipa kisasi na siku ya kutekeleza hilo ilikuwa imefika.
Tina na mwanae hawakuamini walichokuwa wakikiona, wakamkumbuka Tecla Jones na kuukumbuka unyama waliomtendea mume wake. Wakijua Tecla angewaua na kuidumbukiza miili yao kwenye kisima kirefu alichochimba, walianza kumuomba msamaha lakini Tecla hakuwa tayari kufanya hivyo, kilichofuatia baada ya hapo ni milio ya risasi.
Je, nini kitafuata? SONGA NAYO..... |
|
 |
 |
|
Utajuaje kama kweli unampenda
|
Mahaba |
|
|
 |
 Amani ya Bwana Mungu, Yehova Mtakatifu iwe juu yenu nyote wapenzi wasomaji wa safu hii, leo tunaendelea tena na darasa letu la mapenzi. Leo tutakuwa tunaelimishana juu ya kumjua mtu anayekupenda na ambaye hakupendi. Kwani nataka nieleweke kuwa si kila mtu anayekwambia ‘nakupenda’ huwa ana maanisha akisemacho. Wako watu husema nakupenda lakini kumbe ki dhati huwa anakutaka tu na si kukupenda. Je, utajuaje kama hapa unapendwa au hupendwi na wote wametamka neno moja “nakupenda?” Kwa kawaida tumezoea kuwasikia wanaume ndiyo wakiwaeleza wanawake kwamba nakupenda katika kuanzisha mahusiano ya kimahaba. Ingawa wanawake pia wapo wanaojiamini kiasi cha kuthubutu kuwaambia wanaume nakupenda..... |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|