Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
|
 |
 |
|
 |
 mtandaoni....Wamo Tayannah, Wema, Nora, Johari, TID na Ray C Na Mwandishi WetuIkiwa zimebaki siku 2 kumaliza mwaka 2007, mastaa mbalimbali nchini wamedaiwa kupiga picha chafu na kuzisambaza sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye vyombo vya habari makusudi ama kwa kutojua. Habari za uhakika kutoka vyanzo vyetu vya habari, zinaonesha kuwa, mtu wa kwanza kukumbwa na kashfa ya picha chafu alikuwa ni Mwanamuziki mkongwe wa R&B nchini Khalid Khalifan na Miss Tanzania 2006-07 Wema Isack Sepetu ambao walidaiwa kupiga picha zilizowaonesha wakiwa katika mahaba mazito Zanzibar. Hata hivyo, wawili hao walikana kuhusika kwa namna yoyote na picha hizo ambazo zilikuwa zikiuzwa kwa shilingi milioni moja kwa madai kuwa zilikuwa ni picha za kutengeneza. Siku chache tu tangu kuandikwa kwa habari hizo, Wema alikumbwa na kashfa nyingine ya kupiga picha chafu na kuzianika |
|
 |


 |
|
Uhusiano wa kimwili si ushahidi wa kupendwa
|
Mahaba |
|
|
 |
 Ni Ijumaa nyingine tena wapenzi wasomaji wa safu hii maalum. Ni matumaini yangu kuwa nyote mu bukheri wa afya, na mnaendelea na mihangaiko yenu ili kila mkono wa mmoja wenu uweze kwenda kinywani mwake kwa njia za halali. Hii ni Ijumaa ambayo bado wengi wenu mnaendelea kula mabaki ya ya sikukuu ya X-mass, huku mkiwa mnajiandaa kuukaribisha mwaka mpya wa 2008. Ni Ijumaa ambayo kila mmoja wenu anajaribu kutafakari kwa kina alipotoka na anapokwenda, na bila shaka ni wakati ambapo kila mmoja wenu anajaribu kutazama dosari zilizosababisha asifike kule alikotaka kufika kwa mwaka 2007, na kwa hiyo anajipanga vyema ili kuhakikisha kuwa mwaka 2008, malengo yake yanatimia. Lakini ni muhimu kutambua kuwa malengo bila kumtanguliza Mungu mbele kamwe hayafanikiwi. Mungu ndiye Muweza wa yote. Kwa hiyo kila ufanyalo lazima uhakikishe kuwa umemuweka mbele. Ni ujuha kusherehekea sikukuu ya X-mass na Mwaka mpya kwa kumuasi Mungu, huku ukitambua wazi kuwa ni yeye aliyekupa upendeleo wa makusudi wa wewe kuwa hai hadi leo hii. Ni Ijumaa ambayo kwa mara nyingine tunakutana tena katika uwanja wetu huu unaopendwa na watu wengi wazee kwa vijana..... |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|