Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
Huyu dogo siyo mzima
|
udaku |
|
|
 |
 Muhimbili waeleza Na EMMANUEL LENGWA, JIJINI RAMADHANI Mussa, yule dogo anayedaiwa kukutwa akiwa na kichwa cha mtoto katika maeneo ya hospitali ya Taifa Muhimbili hivi karibuni, (pichani) inadaiwa ana matatizo ya akili... |
|
 |
 |
|
HIVI NDIVYO MTOTO SALOME ALIVYOCHINJWA!!!
|
uwazi |
|
|
 |
 Na Makongoro Oging Mauaji ya kikatili ya kuchinjwa kama kuku mtoto pekee kwa wazazi wake, Salome Yohana (3) yameumiza wakazi wengi wa jiji la Dar es Salaam na hata nje ya jiji na vitongoji vyake na wameiomba serikali kuwachukulia hatua kali wote waliohusika na kitendo hicho. Akimsimulia mwandishi wetu jinsi Salome alivyotoweka nyumbani na kukutwa amechinjwa, mama mzazi wa mtoto huyo, Upendo Dustan (27) alisema kuwa siku hiyo ya Ijumaa wiki iliyopita majira ya saa 2.00 usiku aliandaa chakula wakala na mwanaye ambaye baadaye alikwenda kucheza nje na mtoto wa jirani yao. SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI) |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|