arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for May 2008 Year

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» MISS GLOBAL PUBLISHERS ...
» NITAFIA LUXURY-PUB- LIL ...
» NIMESHAKUWA STAA LAZIMA ...
» Simba yaunguruma
» Krismasi laana tupu!
» Mafisadi wapeta
» JE, NI WAKATI GANI HASA ...

 

MC UPANDE WA KUSHOTO!

photos  
MC UPANDE WA KUSHOTO!Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM, Dina Marious, ndiye aliyekuwa MC upande wa kushoto katika sherehe za Vinara Awards 2008.
    (31 May 2008)
Views: 196 | Maoni (2) |

 

MC UPANDE WA KULIA

photos  
MC UPANDE WA KULIAMtangzaji wa kipindi cha Bongo Movies cha Channel Ten, Joyce Kirya ndiye alikuwa MC upande wa kulia wa Vinara Awards 2008. Joyce pia ni mtangazaji wa Clouds FM.
    (31 May 2008)
Views: 109 | Maoni (0) |

 

NA MIMI JE?

photos  
NA MIMI JE?Mwigizaji maarufu wa filamu nchini, sandra, naye alikuwa miongoni mwa wasanii walioambulia patupu usiku wa kuamkia leo.
    (31 May 2008)
Views: 182 | Maoni (3) |

 

MISS TANZANIA!

photos  
MISS TANZANIA!Mwigizaji wa filamu ya Fake Pastors, Miss Lisa Jensen, naye alikuwepo kushuhudia mwigizaji mwenzie wa sinema hiyo Emmanuel Muyamba akitwaa tuzo ya mwigizaji msaidizi bora.
    (31 May 2008)
Views: 154 | Maoni (0) |

 

HALOO, SIJAPATA TUZO!

photos  
HALOO, SIJAPATA TUZO!Mwigizaji nyota wa sinema za Fungu la Kukosa, Riyama Ally akiongea kwa simu, yeye hakubahatika kupata tuzo yoyote.
    (31 May 2008)
Views: 121 | Maoni (0) |

 

MJOMBAA!!

photos  
MJOMBAA!!Mrisho Mpoto 'Mjomba' (shoto) akiwa na 'mpenzi' wake pale Diamond Jubilee katika sherehe za Vinara Awards 2008 usiku wa kuamkia leo.
    (31 May 2008)
Views: 138 | Maoni (0) |

 

RICHARD NA MKEWE!

photos  
RICHARD NA MKEWE!Richard, mshindi wa BBA II mwaka jana, akiwa na mkewe wakifuatilia utoaji tuzo kwa waigizaji wa bongo usiku wa kuamkia leo.
    (31 May 2008)
Views: 179 | Maoni (0) |

 

SIJUI NA SISI TUTAPATA?

photos  
SIJUI NA SISI TUTAPATA?Waigizaji Single Mtambalike 'Richie' (shoto) akiwa na mwenzake Haji Adam wakati utoaji tuzo ukiendelea jana Diamond.
    (31 May 2008)
Views: 86 | Maoni (0) |

 

LEO SIKU YETU!

photos  
LEO SIKU YETU!Ray Kigosi (aliyesimama) akisalimiana na msanii mwenzake Mrisho Mpoto 'Mjomba' wakati wa sherehe za Vinara Awards.
    (31 May 2008)
Views: 97 | Maoni (0) |

 

BURUDANI

photos  
BURUDANIWasanii wa THT wakitumbuiza kwenye sherehe za Vinara Awards Diamond Jubilee usiku wa kuamkia le.
    (31 May 2008)
Views: 181 | Maoni (0) |

 

Zombe ang’aka kortini

Vichekesho na Udaku  
Halima Mlacha
(HABARILEO 31/5/2008)
Zombe ang’aka kortiniKamishna Msaidizi wa Polisi Abdallah Zombe, ambaye pamoja na polisi wengine 12 wanakabiliwa na kesi ya mauaji, jana alikuwa mbogo mahakamani baada ya kesi hiyo kuahirishwa....[b]
    (31 May 2008)
Views: 233 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Pati ya Ma-DJ uchafu mtupu!

risasi jumamosi  
Pati ya Ma-DJ uchafu mtupu!Na Waandishi Wetu
Pati ya wachezesha muziki (Ma-DJ) maarufu jijini Dar es salaam iliyofanyika hivi karibuni ilitaliwa na mambo ya uchafu baada ya wengi wao kufanya mambo yasiyofaa...
    (31 May 2008)
Views: 1470 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Manji awabeba Ze Comedy

risasi jumamosi  
Manji awabeba Ze ComedyChristopher Lissa na Hamida Hassani
Mfanyabiashara maarufu nchini, Yusufu Manji amewabeba baada ya kukubali kuwa mlezi wa Kundi la Vichekesho la Ze Comedy ambalo kuanzia jana wametangaza rasmi kujiunga na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)...

    (31 May 2008)
Views: 1077 | Maoni (7) | Soma Zaidi

 

I am back from hell -78

hadithi za Shigongo  
Prosper amerejea tena Uingereza kwa ajili ya Kliniki ya macho yake lakini kichwani mwake ana ajenda ambayo hata mke wake haijui, ya kwenda kuwasaka wabaya wake Seche na Ashura. Baada ya Kliniki na kuhakikishiwa kwamba macho yake yalikuwa yakiendelea vizuri, akiona kwa kutumia miwani yenye kamera ndogo iliyotupa taswira kwenye Retina ya bandia iliyopandikwa ndani ya jicho lake ambayo ilisafirisha mawimbi hayo kupitia mshipa wa Optic mpaka kwenye ubongo na kumfanya Prosper aone.

Ameamua kukamilisha kazi yake ya pili, anatoka hotelini akiwa amemdanganya mtoto wao Lusajo kwamba anakwenda kununua dawa, nje ya hoteli anakodisha teksi na kumwomba dereva ampelekee maeneo ya East London nyumba namba 165! Dereva anafanya hivyo na kumshusha nje ya lango la nyumba hiyo nay eye kuondoka zake kurudi hotelini.

Prosper anaingia hadi ndani na kuwaweka Ashura na Seche chini ya ulinzi akiwa na visu vyake viwili mikononi tayari kumdhuru yeyote ambaye angeleta ubishi, baadaye Ashura anampiga teke kichwani na miwani kuondoka, kuona kwa Prosper kunakoma! Hapo hapo anawekwa chini ya ulinzi na yeye ndiye anageuka mtu wa kuwaomba wasimuue. Je, nini kitaendelea? Prosper atauawa na ni nani atajua mahali alipofia? SONGA NAYO…
    (31 May 2008)
Views: 379 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mapenzi ni raha si karaha

Mahaba  
Mapenzi ni  raha si karahaJina la kolamu ni Uwanja wa Huba na siku ni Jumamosi, nipo hapa kwa ajili yako wewe msomaji wangu kukupa mbinu za kuwa mpya katika uhusiano wako ili uweze kuwa na fikra mpya juu ya mambo ya uhusiano na mapenzi. Imani yangu ni kwamba utakuwa mzima wa afya njema na upo tayari kabisa kufuatilia mtiririko wa mada yetu ya leo...
    (31 May 2008)
Views: 393 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 35 36 37  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com