arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for June 2008 Year

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» NI MKOSI: Orijino Komed ...
» Kondic aja na pacha wa ...
» Yanga yaiteka Libya
» NILIONA KITU CHA AJABU ...
» BAHATI NASIBU YA SLOW J ...
» Mwisho afumwa na demu m ...
» WATANGAZAJI WAPEKECHA P ...

 

HONGERA MWANANGU

photos  
HONGERA MWANANGU Baba mzazi wa Japheti Kaseba, mzee Lazaro Kaseba, akimpongeza mwanaye baada ya kushinda mpambano huo.
    (30 June 2008)
Views: 171 | Maoni (0) |

 

KIJANA UMELINDA HESHIMA

photos  
KIJANA UMELINDA HESHIMA Kufuatia ushindi huo, Mgeni rasmi wa Mh. Abbas Kandoro, alimpongeza na kumpa mkanda bingwa Japhet Kaseba, baada ya kumdunda Ricky Agaya kutoka Phillipines.
    (30 June 2008)
Views: 164 | Maoni (0) |

 

WAREMBO WA KIFILIPINO

photos  
WAREMBO WA KIFILIPINO Kabla ya mpambano uliokuwa ukisubiliwa kati ya Kick Boxer Japhet Kaseba wa nchini na Ricky Agaya kutoka Philipiness, warembo wa Philipines waliyoko nchini walionekana kumsapoti boxer wao.
    (30 June 2008)
Views: 201 | Maoni (0) |

 

(SIMULIZI LA CHUMBANI) NIKIONA SHANGA TU MIE HOI! -18

Mahaba  
(KWA WAKUBWA TU)

ILIPOISHIA IJUMAA...[color=#FF6666]
“Sasa kwa sababu mnakataa mimi kumchagua Leila, basi laleni hapo kitandani niwape mambo wote mridhike kwanza baada ya hapo nitaamua kuwa na nani moja kwa moja, lakini jambo la msingi ni kwamba atayeweza kunipa raha zaidi kuliko mwingine ndiye nitakayekuwa naye!
“Sawa kabisa, hapo umeongea!” Mwamtumu akasema kwa furaha, nafikiri ni kwa sababu anajiamini kuwa anaiweza kazi ya kukata mauno na kutoa miguno ya mahaba.
Hivyo ndivyo wote walivyokubaliana. Aliyekuwa wa kwanza alikuwa ni mama Leila. Kazi ikaanza. Mama Leila akaanza kuninyonya mbo* yangu taratibu kabisa huku wengine wakishuhudia kwa macho yao. Mama Leila alimudu kuninyonya mb** jamani maana alikuwa na uwezo mkubwa sana. Kwakweli nilianza kutamani kumpa hiyo nafasi yeye!.....
    (30 June 2008)
Views: 2521 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

NDONDI ZINA RAHA YAKE BWANA

photos  
NDONDI ZINA RAHA YAKE BWANAUsiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee, kulikuwa na mpambano wa ndondi wa kimataifa wa kugombea mkanda kati ya Kick Boxer, Japhet Kaseba wa Tanzania na Ricky Agaya, kutoka Phillipines ambapo kabla ya mpambano huo mabondia kadhaa walipanda ulingoni kwa ajili ya mapambano ya utangulizi. Katika mapambano ya utangulizi, pambano lililovuta hisia na kuonesha upinzani mkali ni kati ya bondia Rashidi Matumla 'Snake Boy' na Karama Nyilawila ambapo baada ya Snake Boy kutangazwa mshindi, tifu zito kubwa lilizuka na kusababisha meza ya wageni waalikwa kusambaratishwa, pichani kushoto Kaseba akipambana na Mphilipino Agaya.
    (30 June 2008)
Views: 135 | Maoni (0) |

 

MAMA MBAVU ZANGU!!!

photos  
MAMA MBAVU ZANGU!!! Raundi ya pili Mphilipino alipigwa konde zito lililomfikisha chini na kumfanya ashindwe kuendelea na mpambano.
    (30 June 2008)
Views: 137 | Maoni (0) |

 

Y- DASH AOPOA JIKO

photos  
Y- DASH AOPOA JIKO Msanii wa TMK Wanaume Family Y- Dash jana alifunga ndoa na toto la kiarabu lililojulikana kwa jina la Jamila - haya wenye wivu…….!
PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS GPL
    (30 June 2008)
Views: 459 | Maoni (9) |

 

KIGOGO WA SERIKALI AFUMANIWA

ijumaa wikienda  
KIGOGO WA SERIKALI AFUMANIWA Na Mwandishi Wetu
Mhasibu Mkuu wa Ranchi ya Kongwa inayomilikiwa na serikali, mkoani Dodoma, Nesta Kaiza amefumwa akiwa na mke wa shemeji yake (majina yanahifadhiwa), ndani ya chumba namba tano cha nyumba ya kulala wageni ya Sandwitch, iliyopo Manzese Tip Top, Dar es Salaam....
    (30 June 2008)
Views: 4341 | Maoni (12) | Soma Zaidi

 

KASEJA, MISS ILALA

ijumaa wikienda  
KASEJA, MISS ILALANa Mwandishi Wetu
Golikipa anayeaminika kuwa bora zaidi nchini kwa sasa, Juma Kaseja Juma, Alhamisi iliyopita alibambwa ‘live’ akiwa na Miss Ilala namba tatu mwaka 2005, Jacqueline Patrick....
    (30 June 2008)
Views: 775 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Miss Tz kiziwi

ijumaa wikienda  
Miss Tz kiziwi Issa Mnally na Amina Salim
Miss Tanzania 2008, huenda akawa mlemavu endapo majaji wa mashindano ya kumtafuta mnyange wa Kanda ya Kinondoni, watampitisha mrembo Caroline Emmanuel Mwakasoka kwenda fainali za kitaifa na baadaye kushinda....
    (30 June 2008)
Views: 664 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Mastaa wa filamu

ijumaa wikienda  
Catherine Kassally na Mariam Mndeme
Mastaa wanaovuna kwenye ulingo wa filamu nchini, Lucy Komba na Aminatha Suleimana, hivi karibuni walitwangana kavu kavu kwa kile kilichobainika kwamba ni kudhulumiana pesa....
    (30 June 2008)
Views: 202 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mzee Yusuf Hafai

ijumaa wikienda  
Mzee Yusuf Hafai Na Waandishi Wetu
Galacha wa Muziki wa Taarab nchini, Mzee Yusuf anadaiwa kujihusisha na biashara chafu ambayo inampa sifa mbaya isiyofaa katika jamii....
    (30 June 2008)
Views: 1230 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Niliishi kuzimu miaka ishirini-26

Mikasa ya kusisimus  
Zubeda Ruvanga, mwanamke mwenye umri wa miaka 37 hivi sasa, anaendelea kusimulia matukio ya kutisha na unyama wote aliotendewa tangu enzi za utoto wake. Alianza kukumbwa na mitihani ya kimaisha wakati akiwa darasa la tatu kwenye Shule ya Msingi Mwandiga, Kigoma. Uwezo wake mkubwa wa kunasa masomo ndiyo uliomsababishia matukio yote. Wiki iliyopita, aliishia pale kikundi cha wachawi wakiongozwa na Iminsi Ragugwa walipomteka na kumpeleka kuzimu ampako wanamlazimisha awe mchawi vinginevyo atageuzwa msukule. Endelea kusoma ujue makubwa zaidi yaliyomkuta…
    (30 June 2008)
Views: 357 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Acha kuzubaa, wewe siyo kimeo, ongeza madikodiko!

ijumaa wikienda  
Acha kuzubaa, wewe siyo kimeo, ongeza madikodiko! Hakika Mungu ni mkubwa sana, maneno hayo tu, yanatosha kumpa sifa Muumba wa viumbe vyote, vilivyomo mbinguni na ardhini. Sina haja ya kuongea maneno mengi, kwani kila mtu anaelewa sifa sahihi za Mola mpaji wa kila kitu.

Sitaki uwe kimeo, ndiyo maana ya kukuandikia mada hii ili uongeze madikodiko. Nataka uwe imara ili mwisho wa siku ujue jinsi ya kumpa tulizo la kweli mumeo. Siyo kuachwa kila mara, mwanamke wa kweli huwa hatelekezwi wala haachwi...
    (30 June 2008)
Views: 374 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

(Ni mdogo mno kufa) - 37

ijumaa wikienda  
Tecla, sekretari wa Gilbert, anamtaka bosi wake kwa udi na uvumba! Alikwenda mpaka kwa mganga huko Kigamboni na kupewa dawa ambayo amemtilia kwenye chai. Mganga huyo, pia alifanya tendo la ndoa wakati wa kumuwekea dawa mwilini! Hatimaye amefikia uamuzi wa kwenda na Gilbert kwenye hoteli ya Kilimanjaro ambako Tecla amelewa kupindukia na Gilbert kulazimika kumpeleka nyumbani kwake kwanza ndio aelekee kwake!

Hilo amelifanya na kumfikisha Tecla nyumbani kwake, cha kushangaza mpaka saa nne asubuhi siku iliyofuata Gilbert alikuwa hajaonekana nyumbani kwake, si yeye tu bali pia Tecla ambaye ni sekretari na ofisi iko nyumbani. Gilbert ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, mke wake ni mgonjwa taaban baada ya kupigwa risasi kichwani jijini Nairobi alikokwenda kumkomboa mume na mtoto wake, hivi sasa mkewe hana fahamu, maisha yake yamehamia kitandani lakini Gilbert hayupo tayari kumsaliti.
Je, nini kitaendelea? SONGA NAYO…
    (30 June 2008)
Views: 445 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 32 33 34  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com