Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
|
 |
 |
|
WAREMBO WALIPOTEMBELEA VIJIBWENI LEO!
|
photos |
|
|
 |
|
|
 |

 |
|
 |
Mtandao wako huu uupendao umeandaa taji la miss globalpublisherstz.com na kitita cha shilingi 500,000 za Kitanzania kwa mrembo atakayechaguliwa kuwa mwenye mvuto wa sura kuliko washiriki wengine wa VODACOM MISS TANZANIA 20008. Atakae mchagua mrembo huyo ni wewe mwenye mtandao huu, unachotakiwa kufanya ni kupiga KURA YAKO kwa ‘ku-klik’ kwenye jina la mrembo wako (ORODHA YA MAJINA YAO IKO HAPO KULIA) kisha bonyeza neno VOTE lililopo chini ya logo ya VODACOM na tayari utakuwa umeshampigia kura mrembo anayekuvutia. Kuangalia nani anaongoza hadi sasa, bonyeza RESULTS. Piga kura yako kadri utakavyoweza, picha zaidi za warembo hawa zipo kwenye ‘gallery’ ya BONGO CELEBRITIES upande wa kushoto au mwishoni mwa ukurasa huu.System ya upigaji kura hairuhusu kupiga kura zaidi ya moja kwa wakati mmoja. Ili kupiga kura nyingi, tumia kompyuta nyingine au piga siku nyingine au baada ya kuzima kompyuta yako kwa muda au ‘clear history’. Pia temebelea mtandao rasmi wa WWW.MISS-TANZANIA.COMna mtandao wa wadhamini wakuu WWW.VODACOM.CO.TZ Kumbuka: Zimebaki siku mbili tu! *****************************************************************************  FLORA MVUNGI - NO 19  FLORENCE JOSEPHAT - NO 20  GLORIA MASANGWA - NO 5  IRENE SALALA - NO 6  JOHARI ABUBAKAR - NO 11  ANGELA LUBALLA - NO 26  ANNETH JOHN - NO 23  BEATRICE DENGENESA - NO 15  BLANKA EMMANUEL - 3  CECILIA GEORGE - 28  DEVOTA DESDERY - NO 17  DORIS GODFREY - NO 17  ELIZABERTH GUPTA - NO 21  FAY ANTONY - NO 9  AMATA CRISPIN - NO 8  PENDO LAIZER - NO 13  LILIAN SHAYO - NO.24  MARIAM HAJIBU - NO 12  NADYA AHMED - NO 27  NASREEM KARIM - NO 22  NELLY KAMWELE - NO 1  REGINA JULIUS - NO 4  RONA SWAI - NO 2  SYLVIA MASHUDA - NO 14  TAHYA BADRU - NO 16  TUSEKILE MWAKIBINGA - NO 10  ELIZABERTH GUPTA - NO 3  RICHA ADHIA - MKUFUNZI NA MISS TANZANIA 2007 |
|
 |

 |
|
 |
T ayari Aileen na Rei wameingia nchini Ufilipino ambako maisha yao yanabadilika kabisa, Rei hakuwahi kufahamu kwamba Aileen alikuwa mtoto wa tajiri Francisco Morientes na kwamba jina lake halisi aliitwa Monee. Baba yake mzazi anafariki, Aileen anarithi utajiri wote ambao mzee huyo aliutafuta nusu ya maisha yake, kwa kitendo hicho tu tayari Aileen amekuwa mwanamke tajiri kuliko mwingine yeyote nchini Ufilipino.
Maisha yao yamebadilika kabisa, wanaishi kitajiri kwenye jumba la mzee Morientes lililopo nje kidogo ya jiji la Manila. Kwa Rei, mama na binamu yake Regina waliokulia Umasaini, wakiishi pamoja na mifugo na kulala chini, kinachowatokea ni ndoto lakini wamelazimika kukubaliana na ukweli. Mama yake Rei na Regina wanashindwa kabisa kuamini kwamba Aileen alishawasamehe kwa kitendo cha kikatili cha kumfanyia tohara kama sharti la kuolewa na ndugu yao, wanalazimika kumwomba msamaha tena lakini yeye anawaondoa shaka na kuwataka wasahau yaliyopita.
Jamii ya Wafilipino wanashindwa kumkubali Rei moja kwa moja, wakidai haikuwa halali kwa Aileen kuwaacha wanaume wote wa Kifilipino kwenda kuolewa na Mmasai, hii inafanya anyanyapaliwe kila mahali alikopita. Baadaye Aileen aligundua njia ya kulimaliza tatizo hilo, akachukua fedha nyingi na kuzitoa kwa jamii lakini yeye hakuonekana, aliyefanya hivyo alikuwa Rei, ghafla Wafilipino wakaanza kumkubali kwa jinsi alivyowasaidia, tabia ya kunyanyapaliwa mtaani ikaisha, si kwake tu bali pia kwa mama na dada yake.
Wakati mambo yakiendelea kuwa mazuri, Rei amekwishazoea maisha ya Ufilipino ambako aliheshimiwa na kila mtu, akiishi maisha ya kifahari na kuendesha magari ya thamani kubwa, ghafla mke wake akaja na wazo kwamba alitaka kurejea Afrika, mahali ambako siku zote alipachukulia ndio nyumbani kwake, uamuzi huu unamshtua Rei na kumfanya aulize maswali mengi. Je, nini kitaendelea? Watarejea Afrika? SONGA NAYO…
|
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

|