
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama moja ya bidhaa katika banda la Kampuni ya Arab Authority for Agricultural Investment and Development (AAAID) kutoka Dubai baada ya kufungua Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara, barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Julai 1, 2008. Kulia ni Kiongozi wa Maonyesho katika banda hilo, Ahmed Shaker na kuchoto ni Msaidizi wake, Thani Zayid Alghelani. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dear Guest you have enter our site without being Registered. We recommend to register to view more...
"Mgeni wetu unatakiwa Kuregista kupata Udaku Wote..."