Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
|
 |
 |
|
 |
 Mbunge wa Kinondoni Iddi Azan akisalimiana na mwandaaji wa Bonanza la Waandishi wa Habari Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka kabla ya kuanza kwa mchezo wa kuvuta kamba kati ya waandishi kike na Mamisi Utalii leo katika viwanja vya Leaders  Warembo wa Miss Utalii 2008 wakivuta kamba kushindana na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika shindano la kuvuta kamba katika Bonanza la Wanahabari, Ma-mis hao walishinda raundi zote mbili  Pamboja na Mkurugenzi wa Aset kuwapiga tafu waadhishi wa habari wa kike katika mchezo wa kuvuta kamba haikusaidia kitu, kwani walishindwa!  Ma-misi Utalii wakishangilia kwa furaha mara baada ya kuwashinda wandishi wa habari wa kike wa vyombo mbalimbali katika mchezo wa kuvuta kamba. Media Bonanza hufanyika kila mwaka na huwakutanisha waandishi wa habari wote nchini. PICHA: Issa Mnally GPL |
|
 |
 |
|
P- SQUARE WALIVYOWASHA MOTO DAR!
|
photos |
|
|
 |
|
|
 |
 |
|
 |
VUNJA JUNGU DAR, BALAA Mdau maarufu wa bendi ya Akudo Impact Pius Luta maarufu kama Mzee wa Pamba akiyarudi na mashabiki waliofika katika Ukumbi wa Vatican City jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo katika onesho la maalum la vunja jungu. PICHA : RICHARD BUKOS NA CHRISTOPHER LISSA / GPL |
|
 |

 |
|
 |
Kutoka utumwa wa ngono hadi kuwa nguli wa masuala ya Mitindo nchini Uingereza, haikuwa kazi ndogo. Dina amepita kwenye milima mingi lakini hatimaye akafanikiwa maishani, pato lake la kwanza baada ya kuingia mkataba na kampuni iliyomwibua ya England Modelling Agency (EMA) ilikuwa ni paundi milioni mbili, zaidi ya shilingi milioni mianne za Kitanzania. Kitu cha kwanza alichokifanya baada ya kupata mkabata huo, ni kuamua kusafiri kwenda Afrika Kusini kwenye mji wa Johannesburg alikokuwa akiishi kabla ya kwenda Uingereza. Anataka kwenda kutoa shukrani zake lakini pia kumtafuta John Kamau, mpenzi wake waliyepotezana muda mrefu.
Nje ya uwanja wa ndege, anakutana na Madame Modesta, mwanamke aliyeishi naye ndani akimtesa na kumfanya mtumwa wa ngono akiwa amefungwa minyororo! Hasira zinampanda Dina na kujikuta akitamani hata kumpiga risasi. Baadaye wanaongea na kusameheana, ndipo mwanamke huyo huyo akampa siri ya mahali John Kamau alipo, kwamba yupo kwenye gereza la Posmo katika Jiji la Capetown.
Dina anasafiri hadi kufika mbele ya gereza hilo lakini wakati anatembea kwa miguu kuelekea sehemu ya kuingilia, maaskari walijitokeza na kumweka chini ya ulinzi wakimwambia anashtakiwa kwa kosa la mauaji! Kichwani mwake hana kumbukumbu kabisa kama amewahi kuua akiwa nchini humo, amekosa kitu cha kujibu. Je, nini kitaendelea? SONGA NAYO… |
|
 |

 |
|
VIATU VYA CHACHA WANGWE VITANIKAA !
|
photos |
|
|
 |
Job Chacha (katikati) ambaye ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania akiongea na Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam leo juu ya azma yake ya kuwania kiti cha ubunge Jimbo la Tarime kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Kiti hicho kiko wazi kufuatia kifo cha aliyekuwa akikikalia marehemu Chacha Wangwe,kushoto kwake ni Afisa wa Idara MAELEZO Sise Mwirabi na kulia ni mpambe wake. LAZIMA MTU AFE PALE DDC! Mkurugenzi wa Kampuni ya Dynamite Promotions INC Shomari Kimbau (Katikati) akiwa tambulisha mabondia Ramadhani Miyeyusho (kushoto) na Selemani Said ‘tall’ ambao watatwangana Agosti 30 mwaka huu ndani ya ukumbi wa DDC Mlimani Jijini Dar es Salaam kuwania ubingwa wa Tanzania ‘Welterweight Title’ BONGO TAABU HATA KWA MAGARI Kufuatia ubovu wa miundombinu hususan ya kupitishia maji taka, leo mchana kamera yetu iliyanasa magari yakipita kwa taabu katika Barabara ya Uhuru Jijini Dar es Salaam kutokana na mvua za rasharasha zilizoanza kunyesha. PICHA :CHRISTOPHER LISSA NA RICHARD BUKOS / GPL |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|