arrowMake Homepage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » photos » MR II ATUA BONGO!

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Picha Ya Week ...

Nani Yupo / Alikuwepo

 


 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Miss TZ huyu ANA ANA PE ...
» MAISHA YA BONGO!
» Yanga moto chini
» Mafisadi
» NITAKUFA KWA SABABU YA ...
» Wanaume wasiotosheka ...
» NGAWAIYA AMSHUKIA MOHAM ...

MR II ATUA BONGO!

photos
MR II ATUA BONGO!
Joseph Mbilinyi au Mr. II, ambaye hivi sasa anafanyia shughuli zake nchini Marekani
amerudi home mara moja na leo ametia timu ndani ya ofisi za Global kuwapa 'hi'
'washikaji'. Kutoka kushoto ni Mr Mrisho, Mr. II mwenyewe, Robert Julius na George Alphonce
ambao ni 'graphics designers' na waandishi wa habari za muziki.
[center]



Dear Guest you have enter our site without being Registered. We recommend to register to view more...
"Mgeni wetu unatakiwa Kuregista kupata Udaku Wote..."
 (Votes #: 0)
    (25 August 2008)
Soma Zaidi: 187 | Maoni Yako (4)

Udaku Mwingine

photos
 
  • MR II ATUA BONGO!
  • KIJANA MPOTEVU!
  • Bongo Flava Yatamba kwenye Ringtones Kenya
  • BIG BROTHER YUKO POA!
  • SHAGGY ATUA BONGO
  •    

    #1 Author: Ze Mdau (26 August 2008 05:18)

    Hongera Shigongo kwa kuwafundisha wafanyakazi wako kuvaa vizuri ofisini sasa.

    Naona wameulamba MKANDA NJE hapo.

    Sio kuvaa "Ze Fulanazzzzzz" za Michuzi ofisini.

    Hongera.
     
    fast    

    #2 Author: ooops (26 August 2008 08:11)

    huyu nae du ameshachoka lakini wapi
     
    fast    

    #3 Author: Rudebwoyface (26 August 2008 13:25)

    Mr II watu wanaweza kusema hicho ni kitambi lakini kaka Metaboliki hiyo, rekebisha afya yako.
     
    fast    

    #4 Author: Juma Kitimu (26 August 2008 16:20)

    Hivi huyu si ni yule mtoto wa kambo wa Prof. Mbilinyi? Huko marekani alikoenda ameenda kusoma kutafuta u-profesa kama Baba yake ama? Mr. II fleva inakulotisha, achana nayo kijana...hayo ni mambo ya kitoto!
     
    fast    

    Add comments

    Name:
    E-mail:

    Code:
    Include security image CAPCHA.
    to renew the code
    Enter Code:


    Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

    hit counter

     

    2008 © globalpublisherstz.com