arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Amani » JOHARI: Mwili wake umepoteza uzito sana! ANAUMWA?

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Uchafu, usagaji!
» MEDIA DAY ILIVYOFUNIKA
» Mukenya chambo ya Henry ...
» Ndoo mbili zasumbua pol ...
» DU!!! HAPA LAZIMA MKWAN ...
» TUMEFURAHI MZEE KUZUNGU ...
» Kipa Stars atua Kagera ...

JOHARI: Mwili wake umepoteza uzito sana! ANAUMWA?

Amani

Wakiongea na gazeti hili katika nyakati tofauti wadau hao wa filamu walisema kuwa, huko nyuma msanii huyo alikuwa na afya nzuri lakini sasa amekonda na kurudi kuwa mdogo kama mtoto.

?Heh! Huyu ni Johari ninayemfahamu mimi au mwingine? Mbona kakonda hivi? Au anaumwa? Maana anaonekana kupungua sana huku akionekana kama mtu aliyeathirika kisaikoljia,?aliuliza Jacqueline John mkazi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Kufuatia tetesi hizo za kuumwa kwa Johari, Amani lilimtafuta ili kuondoa utata ambapo mwenyewe aliamua kutia timu katika ofisi za gazeti hili ili kutoa ufafanuzi juu ya afya yake.

Akiongea na mwandishi wetu Johari alisema kuwa, skendo mbalimbali ambazo zimekuwa zikiandikwa katika magazeti dhidi yake ndizo zinazomkondesha hali inayomfanya kadiri siku zinavyokwenda mwili wake kuzidi kupungua.

?Yaani mimi maskendo yanayotoka katika magazeti kila kukicha yananichosha na kunichanganya akili kiasi cha kuhisi kuchanganyikiwa. Kwa kweli nawachukia sana mapaparazi kwasabau wananikosesha usingizi?alisema Johari
Aidha msanii huyo ametanabahisha kuwa, hivi sasa hayupo freshi kisaikolojia na anawaomba watu wanaomfuatilia waachane na maisha yake kwani anahitaji kuishi kwa amani zaidi.

?Unajua kuna kipindi huwa nakaa na kufikiria kwanini naandamwa hivi lakini baadae nagundua kwamba haya yote ni sehemu ya maisha,?aliongeza kusema Johari.


 (Votes #: 3)
    (30 October 2008)
Soma Zaidi: 1981 | Maoni Yako (16)

Udaku Mwingine

Amani
 
  • JOHARI AKANWA
  • JOHARI AFANYA MAMBO YA KUTISHA
  • Johari, Mainda waamua kuokoka
  • Johari
  • RAY ATEMBEA NA JOHARI, JOKETI
  •    

    #1 Author: busaman (2 January 2009 23:53)

    Pole sana dada Johari haya yote ni mabo ya dunia huna budi kufikiria sana mpaka ufikie hatua ya kukonda mi naona wanapokuandama mapaparazi huoni kama wanakujengea umaarufu et?


    Mzee kitakita hapa
     
    fast    

    Add comments

    Name:
    E-mail:

    Code:
    Include security image CAPCHA.
    to renew the code
    Enter Code:

     

    Kura Yako / Poll

    Habari Katika Picha


    Gazeti la Uwazi


    Nani Yupo / Alikuwepo


    Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

    hit counter

     

    2008 © globalpublisherstz.com