arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for November 2008 Year

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» HAPA NI KUKAMUA TU KWA ...
» Wewe na mweza wako mnaf ...
» Hatujaumbwa ili tuteswe ...
» Yes Richard, Tatiana an ...
» LOH! TUNASHUKURU JAMANI ...
» Safari ya maisha kimape ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) ...

 

WEE, QUEEN SUZZY, WENGINE WAUME ZA WATU HAO

photos  
WEE, QUEEN SUZZY, WENGINE WAUME ZA WATU HAO
Mnenguaji mahiri wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma', Suzan Chuwa maarufu kama Queen Suzzy akiwa amemdandia shabiki baada ya kupandwa na mzuka katika onesho la bendi hiyo lililofanyika Kijiji cha Makumbusho jijini Dar usiku wa kuamkia leo.

MUNENE NA MUNENE
WEE, QUEEN SUZZY, WENGINE WAUME ZA WATU HAO
Mfanyabiashara jijini Dar, Pius Rutta maarufu kama Mzee wa Pamba akiselebuka na kimwana mwenye umbo la ubwanyenye kama yeye mwenyewe katika onesho la FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' lililofanyika Kijiji cha Makumbusho jijini Dar usiku wa kuamkia leo.

PICHA: MUSA MATEJA
    (30 November 2008)
Views: 107 | Maoni (4) |

 

SUDAN YACHAPWA NA TAIFA STARS

photos  
SUDAN YACHAPWA NA TAIFA STARS
Jana Timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars, iliibugiza timu ya Taifa ya Sudan mabao 3-1 katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za mataifa huru ya Afrika kwa wachezaji wa ndani uliofanyika Uwanja mpya wa taifa jijini Dar, pichani mshambuliaji wa Taifa Stars Mrisho Ngassa akiwatoka mabeki wa timu hiyo na kupeleka dhahama golini kwao.

PICHA: RICHARD BUKOS/GPL
    (30 November 2008)
Views: 79 | Maoni (0) |

 

NANI ZAIDI?

photos  
NANI ZAIDI?
Hawa ni Bahati Bukuku na Rose Muhando ambao ni waimbaji mahiri na maarufu wa muziki wa injili nchini Tanzania. Ingawa wote ni wakali, lakini nani zaidi? Tupigie kura yako (angalia upande wa kulia mwa ukurasa huu)
    (29 November 2008)
Views: 423 | Maoni (31) |

 

MIAKA MI4 SI MCHEZO

photos  
MIAKA MI4 SI MCHEZO
MIAKA MI4 SI MCHEZO
Muasisi wa kipindi cha Mitikisiko ya pwani kinachorushwa hewani na Radio Times FM, Hadija Shaibu au Dida wa G. kama anavyojiita baada ya kunanihiwa na Mchopanga, akimlisha keki Mkurugenzi wa kituo hicho, Rehule Nyaulawa katika sherehe za kutimiza miaka minne ya kipindi hicho zilizofanyika Msasani Club, jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
PICHA ZOTE MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS /GPL
    (29 November 2008)
Views: 189 | Maoni (7) |

 

SHEMEJI WA YONA AANGUA KILIO MAHAKAMANI

photos  
SHEMEJI WA YONA AANGUA KILIO MAHAKAMANI
Bi. Christina Edward aliyejitambulisha kama shemeji wa aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini ambaye yeye na mwenzake Basil Mramba jana walifikishwa Mahakama Kuu kuomba kulegezewa masharti ya dhamana.
PICHA NA RICHAR BUKOS/ GPL
    (29 November 2008)
Views: 160 | Maoni (5) |

 

TMARC YAZIDI KUMWAGA ZAWADI

photos  
TMARC YAZIDI KUMWAGA ZAWADI
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa TMARC, Nelson Karanja akimpigia simu mmoja wa washindi wa droo ya saba ya Sikia Kengele jana ambapo mshindi huyo alijishindia muda wa maongezi wa Tsh.80,000/= kwa kutuma neno Sikia kengele kwenda 15796, kulia ni Afisa Mipango wa kampuni hiyo, Said Amori.
PICHA NA RICHARD BUKOS/ GPL

[
    (29 November 2008)
Views: 23 | Maoni (0) |

 

MSAMBA MMEUONA?

photos  
MSAMBA MMEUONA?
Kiguru juu, ndivyo alivyokuwa akijiachia mrembo huyu baada ya kupandisha mzuka katika shamrashamra za miaka minne ya mitikisiko ya Pwani iliyofanyika New Msasani Club, usiku wa kuamkia leo.
PICHA NA RICHARD BUKOSI/ GPL

    (29 November 2008)
Views: 46 | Maoni (0) |

 

ORIJINO KOMEDI WAKAMATWA!

risasi jumamosi  
ORIJINO KOMEDI WAKAMATWA!
Christopher Lissa na Richard Bukos

Katika hali ya kushangaza, wavunja mbavu wa Kundi la Ucheshi la Orijino Komedi walikamatwa na kushikiliwa kwa muda na Polisi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam baada ya kutinga mahakamani hapo kwa nia ya kuwaigiza mawaziri wa awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona...
    (29 November 2008)
Views: 3160 | Maoni (11) | Soma Zaidi

 

The Sex Slave -50

hadithi za Shigongo  
Wakili maarufu kutoka Marekani John Cochran amekuja nchini Tanzania kumtetea Dina katika kesi ya mauaji inayomkabili na anafanikiwa kumwokoa na kifo cha kunyongwa baada ya kutumia kipengele cha umri alipokuwa wakati anaua, Dina alikuwa na miaka kumi na sita wakati huo. Kifungo chake kinabadilishwa na kuwa cha maisha jela!

Ni siku ya masikitiko makubwa kwa watu wengi lakini kwa Dina ni ahueni kwani kwake ni bora kutumikia kifungo cha maisha akiendelea kuwaona watoto wake kuliko kunyongwa na kufa! Dk. Ian Duncan na watoto wa Dina wanashindwa kujizua na machozi kuwabubujika wanapomwona Dina akipakiwa ndani ya Karandinga la Polisi tayari kwa kupelekwa gerezani.
Je, nini kitaendelea? SONGA NAYO…
    (29 November 2008)
Views: 537 | Maoni (6) | Soma Zaidi

 

Utabaki kwenye gereza la watumwa wa mapenzi hadi lini?-3

Mahaba  
Utabaki kwenye gereza la watumwa wa mapenzi hadi lini?-3

Hii hapa Jumamosi nyingine tunakutana tena katika safu yetu pendwa ya Uwanja wa Huba. Sina shaka utakuwa u mzima wa afya njema kwa uweza wa aliye juu. Ukweli ni kwamba palipo na Mungu, shetani hawezi kusogelea hata siku moja, huo ndiyo ukweli rafiki zangu...
    (29 November 2008)
Views: 266 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

NI KIZIWI LAKINI KWA TAARABU BALAA

photos  
NI KIZIWI LAKINI KWA TAARABU BALAA
Mwanadada huyu bubu ambaye pia ni kiziwi, amekuwa akiwashangaza watu kwa kukata nyonga za kufa mtu katika maonesho ya makundi ya taarabu kama alivyonaswa na kamera yetu katika onesho la kundi moja lililofanyika Mango Garden jijini Dar usiku wa kuamkia leo.

WEE NJEMBA, ACHA UROHO
NI KIZIWI LAKINI KWA TAARABU BALAA
Baada ya Kiziwi/Bubu huyo kuzidisha kufuru ya nyonga njemba lenye ukwasi lilianza kumsarandia. kama ni kiziwi kweli anausikiaje muziki huo, au kiziwi feki?.
PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL

    (28 November 2008)
Views: 285 | Maoni (7) |

 

CHRISTIAN BELLA: Kwetu Kongo njaa kali

ijumaa  
CHRISTIAN BELLA: Kwetu Kongo njaa kali

Amani iwe kwenu wapenzi wasomaji wa gazeti pendwa la Ijumaa, nimerudi tena mtumishi wenu nikiwa na mambo mapya ya kukaribia kufunga mwaka...
    (28 November 2008)
Views: 413 | Maoni (6) | Soma Zaidi

 

HAPONI MTU: Wadaiwa wako nyakanyaka, sasa ni zamu yao kusumbuliwa na presha za mara kwa mara.

ijumaa  
HAPONI MTU: Wadaiwa wako nyakanyaka, sasa ni zamu yao kusumbuliwa na presha za mara kwa mara.
Na Mwandishi Wetu

Kimbembe cha matumizi mabaya ya madaraka ambacho ‘kimechombeza’ mawaziri wawili wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Basil Mramba na Daniel Yona kuburuzwa kortini, kimeanza kutoa tafsiri yenye wigo mpana kwamba hatopona kigogo yeyote mwenye skendo ya ufisadi...
    (28 November 2008)
Views: 1151 | Maoni (11) | Soma Zaidi

 

Maajabu zaidi: Alikuwa mwanaume sasa mwanamke, husherehekea usiku paka wakilia

ijumaa  
Maajabu zaidi: Alikuwa mwanaume sasa  mwanamke, husherehekea usiku paka wakilia
Na Dege Masoli, Muheza

Mtoto Glory mwenye umri wa miezi minne tu, ambaye katika hali ya kushangaza anazungumza, amezidi kuibua maajabu zaidi na kuwafanya wakazi wa mjini hapa kumiminika katika Mtaa wa Bin Seif kumshuhudia...
    (28 November 2008)
Views: 1857 | Maoni (22) | Soma Zaidi

 

Ndoa ya Richard vululu vululu: Mke atoweka, Richard aweweseka.

ijumaa  
Na Waandishi Wetu

Ndoa ya aliyekuwa mshiriki na mshindi wa Big Brother Afrika III, 2008, Richard Bezuidenhout iko vululu vululu kufuatia habari iliyoandikwa na gazeti ndugu na hili (Ijumaa Wikienda) kuwa amewahi kujihusisha kimapenzi na msichana mmoja anayejulikana kwa jina la Janeth...
    (28 November 2008)
Views: 493 | Maoni (6) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 17 18 19  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com