Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
WEE, QUEEN SUZZY, WENGINE WAUME ZA WATU HAO
|
photos |
|
|
 |
 Mnenguaji mahiri wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma', Suzan Chuwa maarufu kama Queen Suzzy akiwa amemdandia shabiki baada ya kupandwa na mzuka katika onesho la bendi hiyo lililofanyika Kijiji cha Makumbusho jijini Dar usiku wa kuamkia leo. MUNENE NA MUNENE  Mfanyabiashara jijini Dar, Pius Rutta maarufu kama Mzee wa Pamba akiselebuka na kimwana mwenye umbo la ubwanyenye kama yeye mwenyewe katika onesho la FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' lililofanyika Kijiji cha Makumbusho jijini Dar usiku wa kuamkia leo. PICHA: MUSA MATEJA |
|
 |
 |
|
Ndoa ya Richard vululu vululu: Mke atoweka, Richard aweweseka.
|
ijumaa |
|
|
 |
Na Waandishi Wetu Ndoa ya aliyekuwa mshiriki na mshindi wa Big Brother Afrika III, 2008, Richard Bezuidenhout iko vululu vululu kufuatia habari iliyoandikwa na gazeti ndugu na hili (Ijumaa Wikienda) kuwa amewahi kujihusisha kimapenzi na msichana mmoja anayejulikana kwa jina la Janeth... |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|