arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » ijumaa » RICHARD: AKINA NANIHII WANATAKA KUNIOA

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Sijawekwa kinyumba na p ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) ...
» SIKU YA KUAGWA KWAMAREH ...
» The assassination -14
» BAKHRESA YU HOI!
» Jack Pemba
» KAKA TUKO PAMOJA!!!

RICHARD: AKINA NANIHII WANATAKA KUNIOA

ijumaa

Mamuu: Mambo Big Brother? Nini tofauti ya maisha ya zamani na sasa kwa upande wako?
Richard: Mambo poa, tofauti ipo kubwa zamani nilikuwa mtu wa kawaida hivi sasa supastaa hivyo nafanya vitu kwa uagalifu kuliko zamani.

Mamuu: Ni nchi gani ambayo unapenda kwenda kufanya maisha kama ikitokea ofa ya aina hiyo?
Richard: Ni Canada kwa sababau ni Nchi ambayo anatoka mke wangu na mke wangu ni mwema basi naamini wote watakuwa wema.

Mamuu: Unaichukulije BBA, kama ikitokea ndugu wako wa karibu anataka kushiriki unamruhusu?
Richard: Naichukulia poa, namruhusu hata ndugu yangu kwa sababu ni kama filamu, ni mchezo mzuri na nauheshimu kwa sababu umenitoa.

Mamuu:Vipi uliporudi kutoka BBA ulipima afya yako?
Richard: Huwa tuna kawaida ya kupima kila baada ya miezi mitatu mimi na mke wangu hivyo nadhani jibu umelipata, nipo salama kabisa.

Mamuu: Ni kweli kuwa huwa unapata tenda za kufanya kazi katika nchi mbalimbali lakini mkeo huwa anakuzuia?
Richard: Hapana hawezi kunizuia na nilishawahi kwenda kikazi mara nyingi.

Mamuu: Unawezaje kukabiliana na matamanio ya madem tangu umetoka BBA mpaka leo maana umejulikana Dunia nzima.

Richard: Kwa kweli ni kazi kubwa, inataka moyo, kwa sababu siyo Tanzania tu hata nje wengine wanataka hadi kuninunua kwa bei kubwa,kikubwa ni msimamo naiheshimu ndoa yangu Mamuu.

Mamuu: Naomba nikuulize juu ya pesa zako ulizozipata BBA vipi zimebaki shilingi ngapi mpaka hivi sasa na umefanyia nini?

Richard: Dah, Mamuu mbona hiyo binafsi sana, ok pesa zipo kama zilivyo zipo benki na sijazionja hata shilingi, amini hivyo.

Mamuu: Mmeshawahi kuwasiliana na mshiriki mwenzio aliyerudi hivi karibuni na mmeongea nini?
Richard: Ah no sijapata nafasi ya kuongea naye si unajua jinsi nilivyokuwa bize.

Mamuu: Bize na nini na kazi kubwa ulishaimaliza South?
Richard: Nipo bize sana na kazi ya usanii, nafanya Filamu na hivi sasa ni dierector wa Filamu ya Kundi la Wahapahapa ambayo ina mambo mengi na inakuja kuwashika watu.

Mamuu:Hebu niambie Richard uliwezaje kumaliza bifu kubwa wewe na mkeo maana ilikuwa balaa, ulimtulizaje?
Richard: Mamuu we acha,kazi kubwa ilifanyika, vikao,na kwa kuwa nampenda nilifanya juu chini,hivi ninavyokwambia yaani nimepewa ?last chance? ameniambia akisikia au akiniona tena na mwanamke wa aina yeyote achana na huyo Tatian nimemwagwa tena ya kiukweli bila msamaha hata wa Rais. sasa hivi nipo makini, naiheshimu ndoa yangu, nampenda mke wangu. ?Thats all?.


 (Votes #: 5)
    (7 November 2008)
Soma Zaidi: 1749 | Maoni Yako (8)

Udaku Mwingine

ijumaa
 
  • BESTA: SIJAOLEWA UGANDA
  • BANANAZA ZORO: Ndiyo, nina wivu kwa mke wangu
  • Wanawake wenye pesa ?wanatununua? wenyewe
  • Hata namba ya Asha Baraka sina
  • Sijawekwa kinyumba na pedeshee
  •    

    #1 Author: GODFREY LUPINDU. (4 December 2008 08:43)

    HABARI MNAZOZIANDIKA NI BOMBA KWAKWELI ENDELENI VIVY0 HIVYO.
    INABIDI MUONYESHE NA PICHA ZA MICHORO KWETU SISI WAPENDAJI WA KATUNI.
    AKHASANTE.
     
    fast    

    Add comments

    Name:
    E-mail:

    Code:
    Include security image CAPCHA.
    to renew the code
    Enter Code:

     

    Kura Yako / Poll

    Habari Katika Picha


    Gazeti la Uwazi


    Nani Yupo / Alikuwepo


    Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

    hit counter

     

    2008 © globalpublisherstz.com