arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » risasi mchanganyiko » Ben Kinyaiya anyanyapaliwa Ujerumani

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» MAPOKEZI YA MISS TANZAN ...
» Salama afanyiwa kitu mb ...
» USIFANYE MAMBO YAFUATAY ...
» MASHABIKI KIBAO
» SHE IS TOO YOUNG TO DIE ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) ...
» PENYE WAZEE HAPAHARIBIK ...

Ben Kinyaiya anyanyapaliwa Ujerumani

risasi mchanganyiko

Habari kutoka mtandaoni ambazo tumezinasa zinadai kuwa jamaa huyo akiwa nchini humo alitembelea katika Uwanja wa timu yake kipenzi ya Bayern Munich, uliopo katika Jijini la Munich nchini humo.

Wakati akiwa uwanjani humo, habari zinasema kuwa Ben alipigwa picha akiwa katika benchi ambalo pia kulikuwa na Wajerumani kadhaa ambao walionekana kutotaka kuwa karibu naye kwakuwa, yeye ni mweusi (tazama picha ukurasa wa mbele).

Kwa mujibu wa maoni ya baadhi ya wadau waliotembelea mtandao huo walionesha kuguswa na hali hiyo ya kubaguliwa kwa kigezo cha rangi nyeusi.

“Katika nchi za Ulaya, Ujerumani ni nchi yenye ubaguzi wa hali ya juu katika bara hilo. Alichofanyiwa Ben ni kitu cha kawaida nchini Ujerumani, ni wabaguzi kinoma,” alisema mmoja wa wadau wa mtandao huo.


 (Votes #: 2)
    (19 November 2008)
Soma Zaidi: 1331 | Maoni Yako (25)

Udaku Mwingine

risasi mchanganyiko
 
  • Ribery aiokoa tena Bayern
  • Mtoto wa Kigogo apiga picha Chafu
  • GLOBAL YAPOKEA MSOMAJI TOKA UJERUMANI
  • Siri za maisha ya wabongo ughaibuni zafichuka
  • Yanga yafunika Ulaya
  •    

    #1 Author: majoy (19 November 2008 05:55)


    Jamani acheni umbea sasa maana mmezidi, kwa mujibu wa picha hapo inaonekana hao wazungu wanampisha ili wasionekane kwenye picha na wala si kwa kumnyanyapaa kama hao mnaowaita wadau wanavyodai.halafu hiyo haina ukweli wowote inawezekana mmeibuni ndo maana haija- balance,mbona yy mwenyewe hajazungumzia hilo la kubaguliwa????
     
    fast    

    #2 Author: sAlAmA (19 November 2008 06:14)

    INAHUSU AU INAHUSIANA NINI SANA SI KIMPANGO WAKE BANA
     
    fast    

    #3 Author: eric (19 November 2008 06:39)

    DU HII KARIIIII yaani picha yenyewe haioneshi hata kama amebaguliwa labda mchizi hakuwataarifu mapema kama anataka feturing ya picha ....
     
    fast    

    #4 Author: kiatu (19 November 2008 06:54)

    Wee Ulietoa Hii Habari Tafuta Kazi Nyingine. Huwezi Kunikuta Nimekaa Sehemu Uje Ukae Na Upige Picha Halafu Unataka Na Mie Niwemo..Ukinitoa Zeutamu Je! Hii Story Ni Fake Ila Umeuza Gazeti Lako.Au Ulizani watamfagilia Kaa Bongo Wanavofagilia Wauza Sura???? Job true true
     
    fast    

    #5 Author: Mjanja (19 November 2008 07:03)

    Msiwe wajinga nyinyi,hawa wazungu kama hujamuomba mpige picha ndiyo lazima ajivute pembeni kwa kuogopa labda atakuharibia picha yako,kama angewaomba kupiga nao picha nina uhakika wangekubali,msipende kuongea vitu msivyovijua washamba wakubwa.
     
    fast    

    #6 Author: Musa Kidichi (19 November 2008 07:23)

    duh kazi kweli kweli yani mradi muuze gazeti tu,mnajua kubaguliwa kwanza au mnaongea tu?
     
    fast    

    #7 Author: mizy (19 November 2008 07:59)

    Sio habari hyo, tafuteni habari acheni uzushi uso mana!
     
    fast    

    #8 Author: Msela (19 November 2008 08:06)

    Sio Ubaguzi wa rangi.

    Hapo Kinyaia alijamba ndo mana hivyo vibibi vikawa vinakimbia harufu.

    Usifanye mchezo na Maharage ya Bongo wewe!
     
    fast    

    #9 Author: erwin (19 November 2008 08:38)

    yaani we mrisho unasoma habari toka kwa michuzi,kisha unaipakichwa chako cha habari na kuichapa ili gazet lako liuzwe...mbaya zaidi umesoma mpaka maoni ya waosha vinywa na kujigamba eti 'sosi yetu toka mtandaoni'...wale ni waosha vinywa tu,wanaandika wanachokipenda ali mradi wasichafue hewa.Ni ben mwenyewe ndio kaituma hiyo picha tena ni kwa michuzi,na ni salaam tu kaitoa..na si kwamba 'kafanyiwa kitu mbaya' kama habari yako inavyopotosha..........damnnnnnmn news...ubane,usibane habari ndo hiyo...msg delivered.
     
    fast    

    #10 Author: QT (19 November 2008 09:30)

    Ben kinyaiya ndio sio mstaarbu kama shida yake ni evidence alitakiwa awaombe apige nao picha hata kama hajui ki german angewaambia kwa ishara, yeye shida yake wale wazungu waonekane si unajua wabongo hawakawii kusema anatuongepea. any way ndio faida hiyo ya misifa kutaka watu wajue ulikuwa german
     
    fast    

    #11 Author: pips (19 November 2008 10:26)

    Mrisho kauze maandazi
     
    fast    

    #12 Author: walewale (19 November 2008 12:53)

    GP nendeni nje ya Afrika mkajionee wenyewe maana hamjui nini mnakiandika huo nao ni ubaguzi au mmeamua kutufanya wasomaji wajinga nikiwaambia ukweli uwa mnafuta maoni yangu ila ngeamua kuyatumia vizuri msingekuwa hapo mlipo kila siku mnaandika vitu visivyoeleweka na kwanini mnakataa msaada wangu ule wakuwatolea ada ili manze shule maana itawapunguzia ujinga mnao andika humu na matauza kuliko mnavyouza sasa,so wasilianeni na mimi niwatumie fungu la ada muanze shule.....
     
    fast    

    #13 Author: asha (19 November 2008 13:26)

    Kweli ben mshamba yeye nia yake hao wazungu waonekane na kisha aje kulingishia watu alikuwa nje ..ushamba ulivyo mzidi ..wazungu wastaarabu wakaona bora wasogee wamwachie apige pozi ...ben acha ushamba ...
     
    fast    

    #14 Author: Lupe Fiasco (19 November 2008 15:14)

    am no recourse angry bully recourse feel
    upuuzi mtupu danganyeni watu ambao hawajawahi kusafiri kuja kutembea au kuishi nchi za nje!
     
    fast    

    #15 Author: Danstin (19 November 2008 16:06)

    Hao kina mama walikuwa wanatowa nafasi kwa jamaa yenu apigwe hiyo picha na sio hivyo mnavyofikiria au ndiomnataka mpigwe picha na wazungu halafu muoneshe jaamaa hapa bongo eti nipo na watashi wacheni hayo mambo
     
    fast    

    #16 Author: kigwasu (20 November 2008 05:45)

    ni madhara ya kutumia mkorogo unakuwa unanuka na ukichanganya na kikwapa cha kibongo wazungu wakaona isiwe tabu huyu jamaa labda anapanya aliyekufa mfukoni ngoja tukae kando
     
    fast    

    #17 Author: Ina Moses (20 November 2008 09:20)

    Huyu aliyeandika habari hii ya Ben tunaomba atafute
    kazi ya kufanya mimi mbona naishi hapa Ujerumani
    sibaguliwi?na nina fanyakazi nao maofisini wabongo
    acha umbea na ushamba
     
    fast    

    #18 Author: Mkorogo (20 November 2008 11:29)

    Huyu Ben ndiye mshamba, alitaka kuonekana amepiga picha akiwa amejichanganya na akina mama wa kjerumani, tena wazee. Akafanya hivyo bila kuwaombo, ndipo waliposhangaa, wote walikuwa katika harakati za kumpisha ili wasionekane kwenye picha yake ingawa haikuwezekana. Kiustaarabu, angewaomba hao akina mama kuwa alitaka kupiga picha ya ukumbusho wake kuwapo kiwanjani hapo siku hiyo pamoja nao; kwa kweli wasingemkatalia kabisa tena wangetabasamu kwenye picha.
     
    fast    

    #19 Author: Msela1 (20 November 2008 12:34)

    Hii inaonesha waandishi wa GP wana taaluma ndogo,
    Ubaguzi upo kwenye nchi za ulaya,Lakini ubaguzi kosa la jinai pia,kama ukiweza kuthibitisha mtu kakufanyia unaguzi unaweza kulipwa fidia mpaka ya pound 5000 kwa hapa UK.Kwa hiyo wazungu wengi humalizia hasira zao kwa kuandika maneno ya kibaguzi kwenye kuta cha chooni za sehemu za kazi au kwenye Masupermarket,vyuoni n.k

    Huyo Kinyaia alikuwa amekalia big g,sasa alikuwa anataka mtu ambandue ndio maana wakawa wanakimbia.
     
    fast    

    #20 Author: sina (20 November 2008 14:02)

    ujinga mlio nao mtu anakaa anapigwa picha kisha na mimi nimuoneshe smile yangu na mtu simjui hakuna ubaguzi katika picha hiyo angwaarifu kama anataka kupiga picha mjinga mkubwa[/b]
     
    fast    

    #21 Author: mwatima (20 November 2008 15:59)

    lol hiii picha leo asubuhi ishafika zeutam ishaanza kukashifiwa kwamba huyu jamaaa anafirwa na hao wazungu mamaaaaaaaaaaaaaaaaaa
     
    fast    

    #22 Author: kumakunuka (21 November 2008 05:33)

    zeutamu hafai kabisa, yaani wanamkashifu kaka wa watu anapumuliwa kisogoni jamani. duuuuuuuuh........
     
    fast    

    #23 Author: TIFU (6 December 2008 04:56)

    WAKATI MWINGINE UBAGUZI UNAWEZA KUWA NI MTU MWENYEWE.KUPIGA PICHA NA MTU NI HIARI YAKE.KAMA UBAGUZI NDIO HUO..............BASI SIJUI KAMA KUNA SEHEMU HAUPO.
    USHAMBA NA UELEWA MDOGO UNAWEZA KUWA NI TATIZO KULIKO HATA UBAGUZI WENYEWE.
     
    fast    

    #24 Author: Mimi (7 December 2008 04:26)

    Acheni ujinga kama mmekosa habari. Nitakutumia picha nilipofika uwanjani na nikawaomba wajerumani wawili nipige nao picha na mmoja anipige wakakubali kwa furaha sana bila tabu. Huyo hakuwaambia. Lakini kwa wazee kama hawa wa kijerumani wana tabia za ubaguzi kiasi but sio kama mnavyosema, hakuwapa taarifa tu
     
    fast    

    #25 Author: dadii (4 January 2009 09:33)

    Ni alaya wa bongo tu uyo amesha zoea kujipendekeza kwa mashangingi waki bongo,lakini wa jerumany awamfagilii mtu
     
    fast    

    Add comments

    Name:
    E-mail:

    Code:
    Include security image CAPCHA.
    to renew the code
    Enter Code:

     

    Kura Yako / Poll

    Habari Katika Picha


    Gazeti la Uwazi


    Nani Yupo / Alikuwepo