arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for December 2008 Year

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» JAMANI HAPPY VALENTINES ...
» MIAKA 10 YA GLOBAL PUBL ...
» SANGWE CHADEMA? Baadhi ...
» Niliishi kuzimu miaka i ...
» Boban: Tunageuzwa watot ...
» UNAVYOWEZA KUIFANYA SIK ...
» Niliishi kuzimu miaka i ...

 

TIGO YAKABIDHI ZAWADI ZANZIBAR

photos  
TIGO YAKABIDHI ZAWADI ZANZIBAR
Mteja wa Tigo Zanzibar Fauzia Jamalhad (KULIA) akibonyeza kitufe cha Laptop ili kunyakua washindi wa wiki ya tatu ya promosheni ya Tigo JISHINDIE MTAJI Zanziabr iliyofanyika katika ofisi za Tigo zilizoko Mtaa wa Malindi Zanzibar. Anaefuata wapili kulia ni Ofisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando na Ofisa wa huduma kwa wateja wa Tigo Zanzibar Bw Octavian Rwegasira. Droo ilichezwa jana

TIGO YAKABIDHI ZAWADI ZANZIBAR
Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando (KUSHOTO) akimkabidhi na kumpongeza Khatibu Ahmed aliyejishindia Baiskeli katika droo ya pili ya JISHINDIE MTAJI wakati wa hafla fupi ilifanyika muda mfupi baada ya droo ya tatu ya promosheni hiyo juzi katika ofisi za Tigo zilizoko Mtaa wa Malindi Zanzibar.


TIGO YAKABIDHI ZAWADI ZANZIBAR
Ofisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando akimkabidhi simu ya mkononi yenye muda wa maongezi shilingi elfu kumi Joha Ahmed mmoja wa washindi wa droo ya pili ya JISHINDIE MTAJI kwenye hafla ilifanyika muda mfupi baada ya droo ya tatu ya promosheni hiyo juzi katika ofisi za Tigo zilizoko Mtaa wa Malindi Zanzibar.
    (31 December 2008)
Views: 14 | Maoni (0) |

 

Nancy Sumary, Nakaaya Sumary: JINO KWA JINO

risasi mchanganyiko  
Nancy Sumary, Nakaaya Sumary: JINO KWA JINO
Na Mwandishi Wetu

Ikiwa leo ni siku ya mwisho wa 2008 huku tukijiandaa kuukaribisha mwaka mpya, 2009, ndugu wawili, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nakaaya Abraham Sumary ‘Mr. Politician’ na aliyekuwa Miss Tanzania 2005, Nancy Abraham Sumary wamedaiwa kuwa katika bifu zito ‘jino kwa jino’ kutokana na kutokuelewana kwao kwa mwaka mzima...
    (31 December 2008)
Views: 1243 | Maoni (13) | Soma Zaidi

 

Mama Salma Kikwete: ATOA KALI YA MWAKA ATINGA TBC 1, AFANYA MAMBO YA KUSHANGAZA

risasi mchanganyiko  
Mama Salma Kikwete: ATOA KALI YA MWAKA ATINGA TBC 1, AFANYA MAMBO YA KUSHANGAZA
Na Imelda Mtema

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete hivi karibuni amefanya kali ya mwaka na kuwashangaza wabongo baada ya kutinga katika studio za Kituo cha Televisheni cha TBC1 na kutangaza kipindi cha watoto...
    (31 December 2008)
Views: 1121 | Maoni (9) | Soma Zaidi

 

(Mtumwa wa ngono-59

hadithi za Shigongo  
Dina anapelekwa Hospitali ya Homerton University mjini London kupata matibabu ya afya yake baada ya kugundulika kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa ngozi na upungufu wa vitamini hali inayomfanya afya yake irejee vema siku chache na kupewa wadhifa wa mwenyekiti wa Dijojo Group Companies watoto wake Joan na Joseph wakiwa wakurugenzi wa kampuni hizo kubwa nchini Uingereza.

Utajiri unaongezeka zaidi na kuwafanya Joan na Joseph kufahamika miongoni mwa matajiri wakubwa jijini London, miaka mitano baadaye Joan anapata mchumba mwanamuziki wa Rock kutoka nchini Marekani, Bravo Benedict na kufunga ndoa katika kanisa kubwa nchini Uingereza la Kingsway International Christian Center (KICC), baadaye kwenda kufanya sherehe kubwa iliyohudhuriwa na watu maarufu nchini Marekani na Uingereza katika hoteli ya kifahari ya The Milestone. Ilikuwa sherehe iliyowavutia watu wengi sana na iligharimu fedha nyingi kukamilisha sherehe hiyo ikiwa imeongoza kutangazwa na vyombo vingi vya habari nchini Uingereza.

Bwana harusi Bravo alisimama akamlisha keki mkewe mpendwa Joan wimbo wake ukiwatumbuiza taratibu, wote nyuso zao zilipabwa na furaha isiyoelezeka. Joan alibubujikwa na machozi ya furaha akishindwa kuamini iwapo anaitwa Mrs Bravo Benedict.

Ilipofika zamu ya Joan kumlisha mumewe keki, watu wote walishtushwa na mwanamke aliyesimama na kutembea haraka akibubujikwa machozi sura yake ikionyesha dalili za jambo muhimu la kuwaeleza wanandoa hao, anashindwa na kuishia kuwaita majina yao akidai haamini kisha kudondoka chini na kupoteza fahamu. Je, mwanamke huyu ni nani? Kwanini amedondoka na kupoteza fahamu? SONGA NAYO...
    (31 December 2008)
Views: 435 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

Nataka kichwa cha mwanangu-12

Mikasa ya kusisimus  
Machozi yaliendelea kumiminika machoni mwao, wakiwa wamekumbatiana, kila mtu alikuwa akishangaa sana tukio lile, hakuna aliyekuwa aliyetarajia kwamba Mzee Muddy angerejewa na fahamu...
    (31 December 2008)
Views: 212 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Yanga Kiboko

champion  
Yanga Kiboko
Na Waandishi Wetu

MKWARA? Tishio la Yanga juu ya ‘kuitazama kwa jicho la tatu’ Ligi Kuu Tanzania Bara, imeonekana kama mkwara tosha kwa Shirikisho la Kocha Tanzania (TFF), ambayo sasa imekubali kupangua ratiba ya ligi hiyo ili kuepusha malumbano kati yao...
    (31 December 2008)
Views: 163 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Boban: Tunageuzwa watoto Simba

champion  
Na Adolph Balingilaki

KUCHOKA? Huku Kamati ya Utendaji ya Simba ikiwa imekutana jana usiku ili kupitisha jina la kocha atakayeifundisha timu hiyo, kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Haruna Moshi ‘Boban’ amedai panguapangua ya makocha inayoendelea ndani ya klabu inawachosha akili wachezaji...
    (31 December 2008)
Views: 120 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

THE LAST HOPE (tumaini la mwisho) 31

hadithi za Shigongo  
Kazi inazidi kuwa ngumu kwa Greyson, kitendo cha Mkuu wa Chuo kusita kumweleza kilichomsibu Suleiman Yakub kilimfanya azidi kuona giza nene mbele yake. Je, nini kitatokea? SONGA NAYO....
    (31 December 2008)
Views: 322 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

JELA MBAYA

photos  
JELA MBAYA
Akina mama wakimbusu mzee huyu mara baada ya yeye na wenzake watano kuachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam jana. Mzee huyu ni miongoni mwa watu waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya ujambazi wa kutumia silaha katika Kampuni ya Ulinzi ya Security Group ambapo yeye na wenzake walidaiwa kupora kiasi cha Dola za kimarekani Milioni 2.7 mali ya kampuni hiyo.

JEETU PATEL AENDELEA KUPETA
JELA MBAYA
Mtuhumiwa wa kesi ya ufisadi wa mabilioni EPA katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Jayantkumar Patel “Jeetu Patel’ akitoka nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam mara baada ya kesi hiyo kuahirishwa mapema hii leo.

PICHA ZOTE NA CHRISTOPHER LISSA/GPL
    (30 December 2008)
Views: 14 | Maoni (0) |

 

BURIANI MAMA CATHERINE

photos  
BURIANI MAMA CATHERINE
Waombolezaji wakijiandaa kuingiza kaburini jeneza lenye mwili wa marehemu Bi. Anna Kassaly Mallu (59) ambaye ni mama mzazi wa mwandishi wa habari wa kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Catherine Kassaly. Mama huyo alifariki juzi usiku na kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.


BURIANI MAMA CATHERINE
Watoto wa marehemu ambao ni Catherine Kassaly na kaka yake wakiweka mashada ya maua katika kaburi la mama yao mpendwa.


BURIANI MAMA CATHERINE
Wajukuu wa marehemu, Irene (kushoto) na Caren, wakiweka mashada ya maua katika kaburi ya bibi yao.

PICHA NA MUSA MATEJA /GPL
    (30 December 2008)
Views: 49 | Maoni (3) |

 

FUNGA MWAKA

uwazi  
FUNGA MWAKA
Na Mwandishi Wetu

Mwaka 2008 ndiyo unamalizika huku kukiwa na matukio makubwa ambayo hakuna shaka kwamba yamelitikisa taifa kwa kiwango kikubwa sana na kuacha kumbukumbu ambayo itachukua muda mrefu kufutika...
    (30 December 2008)
Views: 516 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

HATARI: Vigogo watumia pesa chafu kuambukiza Ukimwi

uwazi  
HATARI: Vigogo watumia pesa chafu kuambukiza Ukimwi
Na Waandishi Wetu

Wakati kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikizidi kupaa hapa nchini hususan Jijini Dar es Salaam, kuna hatari ya hali hiyo kuzidi maradufu kutokana na kugundulika kwa njia mpya ya usambazaji wa virusi hivyo...
    (30 December 2008)
Views: 1097 | Maoni (10) | Soma Zaidi

 

MWAKA 2008 UMETUJERUHI, TUPATE TIBA 2009

Pasua Jipu  
Mwaka unakwisha, bado tuna viongozi wazembe na wabinafsi ambao kila kukicha wamekuwa wakishabikia kununua magari, samani za kifahari za ofisi za serikali, kununua ndege mbovu ambayo kukaa kwake angani kwa saa moja ni mamilioni ya shilingi...
    (30 December 2008)
Views: 34 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Nilimuua mume wangu niolewe na tajiri-3

Mikasa ya kusisimus  
miezi michache baada ya ndoa yake, mama wa kambo anawachukia watoto wa mumewe aliowakuta na zaidi anawanyima chakula cha mchana na kuwanyima nauli za kwenda shule na kuwafanya watoto watembee umbali mrefu wakati mwingine walishindwa kwenda shule. Je, nini kitaendelea fuatilia habari hii ya kusisimua utajifunza jambo....
Nilikuwa mama katili katika familia yetu, mtoto huyo niliyempiga vibao na viboko bila kosa lolote alilia sana akiniambia namuonea ingawa sikujali nilipenda kusikia hivyo, kikubwa nilimwambia ole wake amwambie baba yake kwani ningemnyonga...
    (30 December 2008)
Views: 351 | Maoni (6) | Soma Zaidi

 

(Kazi ya damu- 27)

hadithi za Shigongo  
Muddy ni mlemavu wa kutambaa chini anayetafutwa kwa udi na uvumba na polisi kwa kosa la mauaji ya mtungo, yanayohusisha wanawake ambao huwaua na kuwakata sehemu zao za siri kisha kuwagonga muhuri wenye alama ya 10000DY! Kazi hii ametumwa na mganga wa kienyeji mwenyeji wa Zambia anayevihitaji viungo hivyo kwa ajili ya mambo yake ya Kishirikina, eti viungo hivyo hufanya migodi iteme dhahabu!

Mara kadhaa Muddy amenusurika kukamatwa na sasa yupo ndani ya teksi akijaribu kuwatoroka polisi wanaomfukuza kwa nyuma, lengo lake ni kufika stesheni ya Tazara ambako atapanda treni na kusafiri mpaka Zambia, huko atamkabidhi mganga bidhaa zake na kupokea kitita kikubwa cha fedha na kurudi tena mjini kuendelea na mauaji! Ana ndoto za kujipatia utajiri kwa njia haramu.

Dakika kumi na tano baadaye dereva akiendesha gari kwa kasi akiwa maeneo ya Tabata Relini, muda mfupi tu kabla hajafika Buguruni, alishangaa kuona ving’ora vikija kwa kasi nyuma yake, moyo wake ukashtuka, hakuelewa ni kitu gani kilikuwa kikija, alipotazama vizuri aligundua kwamba magari hayo yalikuwa ni ya polisi, moyo wake ukazidi kudunda.
Je, nini kitafuata? Muddy atakamatwa? SONGA NAYO…
    (30 December 2008)
Views: 449 | Maoni (7) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 18 19 20  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter