Aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha ITV jijini Dar es Salaam, Rehema Mwakangale jana alizikwa na umati mkubwa wa watu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Enzi za uhai wake

Wakati akiagwa

Bibi yake, aitwae Fidea Shaba akiaga mwili wake

Aliyekuwa mtangazaji mwenzake, Rehema Salimu akipita mbele ya mwili wake wakati wa kuaga.

Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi akimuaga aliyekuwa mchapakazi wake.

Mkurugenzi wa kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo akipita mbele ya mwili wa marehemu wakati wa kuaga.

Meneja Mkuu wa Global Punlishers, Abdalah Mrisho naye akiaga mwili.

Mbunge wa Mbinga Kapteni John Komba akiwa msibani hapo.

Spika wa Bunge la Jamhuri akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa IPP, Reginald Mengi msibani hapo.

Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwana Halisi, Saed Kubenea akibadilishana mawazo na Reginald Mengi.

Safari ya kuelekea makaburini ilivyoanza

Jeneza lenye mwili wa marehemu baada ya kuingizwa kaburini.

Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria mazishi.

Mhariri Mtendaji wa The Guardian Limited, Kiondo Mshana akiweka shada la maua kwenye kaburi baada ya mwili kuzikwa.

Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi na Mkuu wa Oparesheni maalum, Venance Tossi akiweka shada la maua kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Said Mwema.

Mkurugenzi wa ITV na Radio One Bi. Joyce Mhavile akisoma risala baada ya mwili kuzikwa.

Kamanda Tossi akisoma risala kwa niaba ya IGP Said Mwema.
Na huo ndio mwisho wa safari ya Rehema Mwakangale, Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Amin.
PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL