arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 10.03.2009

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» MSHANGAO!
» Rais Kabila aomba wakafungw ...
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» Askari akamatwa akijiuz ...
» KIBANO!
» Kondic aenda kusaka nyo ...
» LEO NGOMA NZITO!
» KILA LA KHERI NDOA YA A ...
» Aliyezikwa akutwa hai H ...
» Miss aliyefanyiwa ukeng ...

 

YANGA YAWAPA KICHAPO WAMAREKANI

photos  
Timu ya soka ya Yanga jana ilicheza mchezo wa kirafiki wa Kimataifa na timu ya soka ya Vancouver Whitecaps, kutoka Canada na kuifunga mabao 3-0.

YANGA YAWAPA KICHAPO WAMAREKANI
Wachezaji wa Timu ya Vancouver Whitecaps ya Canada, wakisalimiana na mashabiki wao wachache wanaoishi nchini, ambao walijitokeza kuwashangilia.

YANGA YAWAPA KICHAPO WAMAREKANI
Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli la tatu, lililofungwa na Mike Barasa, aliyenyoosha mikono juu.

YANGA YAWAPA KICHAPO WAMAREKANI
Mshambuliaji wa Timu ya soka ya Yanga, Benny Mwalala, akimtoka beki wa timu ya Vancouver Whitecaps ya Canada, katika mchezo uliofanyika jana katika Uwanja wa Taifa.

YANGA YAWAPA KICHAPO WAMAREKANI
Wacanada wanaoishi nchini wakiwa uwanjani kuishangilia timu yao ya Vancouver Whitecaps, wakati ikipambana na timu ya soka ya Yanga ya Tanzania.
PICHA: ISSA MNALLY /GPL.
    (10 March 2009)
Views: 420 | Maoni (13) |

 

MREMBO ASABABISHA MAUAJI GESTI

uwazi  
MREMBO ASABABISHA MAUAJI GESTI
Na Makongoro Oging

MREMBO mmoja mkazi wa Yombo Kisiwani ,manispaa ya Ilala ,jijini Dar es salaam aliyejulikana kwa jina la Salome, ametajwa katika ujumbe wa maandishi kuwa ndiye aliyesababisha kijana, Atupele Mwakaboko (25), ajiue kwa kujinyonga ndani ya nyumba ya kulala wageni iitwayo Kasulu maeneo ya Buguruni wiki iliyopita baada ya kupewa mimba...
    (10 March 2009)
Views: 3033 | Maoni (9) | Soma Zaidi

 

KILICHOMUUA MWAKANGALE: Wengi kupukutika

uwazi  
KILICHOMUUA MWAKANGALE: Wengi kupukutika
Edna Katabalo na Issa Mnally

UGONJWA wa Pumu uliomuua Mwandishi na Mtangazaji wa ITV/Radio One, Rehema Mwakangale, unatajwa kuwa wa hatari na utawamaliza watu wengi, hasa wale wanaotumia muda mwingi kukaa kwenye kiyoyozi (Air Conditioner) na hali ya ubaridi...
    (10 March 2009)
Views: 2532 | Maoni (13) | Soma Zaidi

 

SAKATA LA DOWANS NJAMA ZABAINIKA

uwazi  
SAKATA LA DOWANS NJAMA ZABAINIKA
Na Mwandishi Wetu

HAJA ya Shirika la Umeme nchini, TANESCO kununua mitambo ya kuzalisha umeme kutoka Kampuni ya Dowans, imeelezwa kuwa mkakati wa kifisadi uliolenga kuwanufaisha vigogo walioshiriki kikamilifu kuingiza kampuni hewa ya kufua umeme ya Richmond LLC na baadaye kuirithisha ile ya Dowans wakati taifa likiwa kwenye mgogoro mkubwa wa nishati ya umeme mwaka 2007...
    (10 March 2009)
Views: 1129 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

TUPO TULIPO, SABABU YA UTAPIAMLO WA UZALENDO

Pasua Jipu  
TULIPATA uhuru wetu mwaka 1961 bila shaka kwa waliokuwepo siku hiyo wanakumbuka vizuri jinsi matumaini ya Watanganyika yalivyochipuka upya, kwamba Mkoloni sasa alikuwa anaondoka na kuwaacha wakijiamria mambo yao wao wenyewe! Hata kwa mimi ambaye sikuwepo siku hiyo naweza kuhisi ilikuwa ni siku ya furaha kiasi gani kwa watu ambao kwa muda mrefu walikuwa wamengandamizwa na mtu mweupe na sasa ilikuwa imefika siku ya kujitawala wenyewe...
    (10 March 2009)
Views: 205 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

(Kazi ya damu- 36)

hadithi za Shigongo  
Priscilla anatoroshwa ndani ya danguro la Lightness na mwanaume mzungu aitwaye Jimmy na kusafirishwa hadi Humberg nchini Ujerumani, hakujua anapelekwa kufanya nini, akilini anaamini kusudio la kuumbwa kwake ni kuteseka siku zote za maisha yake. Mwili wake unatetemeka kwa woga na hajui atafanyiwa ukatili gani. Jimmy anamfundisha jinsi ya kutumia vifaa ikiwemo kufungua milango, kutumia koki za maji na baadhi ya vifaa vya umeme. Saa tisa usiku mlango wa chumbani kwake alipolala unafunguliwa akaingia Jimmy, muda mfupi wakati wanaongea akaingia mwanaume mwingine anayeitwa Miloslov Laurence, jambo linalomtisha zaidi ni kitendo cha Jimmy kutoka bila kumtambulisha vizuri na kumuacha mwanaume huyo chumbani. Je, mwanaume huyo ni nani? SONGA NAYO...
    (10 March 2009)
Views: 994 | Maoni (10) | Soma Zaidi

 

NILIMUUA MUME WANGU NIOLEWE NA TAJIRI – 13

Mikasa ya kusisimua  
Katika ndoa nyingi kuna siri ambazo si rahisi kuzibaini kwa macho wala maneno, Shakila ni mwanamke katili licha ya kuubwa na sura nzuri inayowavutia wanaume wengi, ndani ya ndoa yake ameishi na mumewe kipindi cha miaka mitatu bila mtoto ndipo anapowatesa watoto aliowakuta ndani ya familia akiwapiga kila leo. Kitu kinachomkosesha raha ni jinsi gani angemuua mumewe ili kuolewa na tajiri.

Siku moja anamualika mpenzi wake mwenye asili ya kiarabu nyumba anapoishi na mumewe na ndipo anafumaniwa na mama yake mzazi, mshenga na mumewe, hata hivyo anadiriki kujitetea kuwa hajaolewa na wazazi wake wanamlazimisha kuolewa na mwanaume asiyempenda. Hapo ndipo mumewe anapoandika talaka na kuiweka mezani kwa ajili ya kuachana na mkewe ili akaolewe na tajiri, mwarabu.

Baadaye mumewe anamkabidhi talaka tatu hali ambayo inamshutua sana mama yake mzazi na kujaribu kumbembeleza mkwe wake asichukue uamuzi huo, mumewe anamsamehe na kuanza maisha mapya yaliyojaa mapenzi moto moto. Miezi miwili baadaye Shakila anapokea meseji kutoka kwa Saidi akimtaka watoroke kwenda Uarabuni. Je, nini kitaendelea? Fuatilia....
    (10 March 2009)
Views: 1303 | Maoni (4) | Soma Zaidi
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com