Licha Serikali kupiga marufuku shughuli za ombaomba, lakini ombaomba hao wanaendelea kutesa na shughuli hiyo kama leo alinaswa na kamera yetu.
MAJENGO CHAKAVU YAZIDI KUBOMOLEWA DAR 6.Moja ya majengo ya muda mrefu lililopo Barabara ya Samora jijini, likiwa kwenye mpango wa kubomolewa katika hali ya kuboresha majengo ya jiji la Dar es Salaam. PICHA:RICHARD BUKOS NA CHRISTOPHER LISSA /GPL.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama trekta dogo (Power Tiller) lililotengenezwa na Shirika la Nyumbu (TATC) wakati alipotembelea shirika hilo mkoani Pwani, March 25, 2009. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Dr.Christina Ishengoma.
Waziri Mkuu, Mikzengo Pinda akitazama uyayushaji wa vyuma katika karakana ya Shirika la Nyumbu (TATC) mkoani Pwani, wakati alipotembelea shirika hilo March 25, 2009. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Abraham Makinda Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini anayechipukia kwa kasi kubwa katika fani hiyo Kabula J.George, amewaduwaza waumini wa Huduma ya Neno la Upatanisho iliyopo Kivule nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, baada ya kuimba nyimbo tatu mfululizo na kupelekea nguvu ya Mungu kushuka mahali hapo na kujikuta watu wote wakizama katika maombi na kusimamisha taratibu zote za ibada kama ilivyozoeleka.....
Timu ya mpira wa miguu ya Uwazi Giants, jana ilitolewa kiume na New Habari House, katika mashindano NSSF, baada ya kucheza nusu fainali na kufungwa kwa mikwaju ya penalti 4-5.
Hii ndiyo Uwazi Giants
Uwazi Giants wakisalimiana na Timu ya New Habari House dakika chache kabla ya mechi kuanza katika Viwanja vya TTC Chang'ombe jijini Dar es Salaam.
Uwazi Giants wakiomba dua,dakika chache kabla ya mechi kuanza.
Mapedeshee na mashabiki wa Uwazi Giants wakiifuatilia kwa makini timu yao ikiwasumbuwa vijana wa New Habari House.
Timu hizo mpaka mapumziko zilitoka sare ya bila kufungana, pichani Uwazi Giants wakiwa mapumziko. PICHA:RICHARD BUKOS, CHRISTOPHER LISSA /GPL.
Sista Duu aumbuka Sista du mmoja alikuwa kwenye daladala ndipo alipopanda jamaa mmoja brothermen na kukaa pamoja na dada huyo. Jamaa alipoona amekaa siti moja na mrembo huyo ndipo alipoamua kummwagia sera zake na mambo yalikuwa hivi:- Brothermen: Dada habari yako?
Sister du: Kimya Brothermen: Dada vibaya hivyo nakusalimia hutaki kuitikia mrembo kama wewe hufai kukasirika. Sister du: We kaka mshamba nini! Nimesema sihitaji salamu zako hii sio shepu ya kusalimiana na waluga luga kama wewe.
Abiria kuona vile sister du anaongea kwa sauti kali ilibidi waulize “Jamani kuna nini mbona mnagombana nhe?
Brothermen: si huyu dada amejamba amechafua hewa namwambia ndio anakuja juu. Abiria: Haaah!...
Kundi la baadhi watu wenye nguvu kiuchumi na ujuzi wa kutengeneza propaganda limeibuka nchini kwa lengo la kuwachafua viongozi na vinara wa vita ya ufisadi, uchunguzi umebaini...
Kauli ya hivi karibuni ya mwanadada aliyewahi kushiriki na kuandaa mashindano ya urembo nchini, Mange Kimambi ‘MK’ ya kwamba yeye ni binti wa kiislam imezua mjadala mzito huku baadhi ya watu wanaomjua wakijiuliza kama kweli mlimbwende huyo ana sifa hiyo...
Baada ya mzozo wa muda mrefu kati ya Tom na Mariam, kuhusu tabia ya Tom kulala nje, hatimaye Tom anamweleza Mariam kwamba kuna kitu kilichomsababisha alale nje na kama angekuwa tayari aje nacho nyumbani!
Bila Mariam kuelewa kwamba alikuwa anakaribisha matatizo, akakubali. Tom anakwenda nyumbani kwake na Mayasa, anamfukuza Mariam chumbani kwake na kulala na Mayasa. Mariam anapatwa na mshtuko na kuanguka mlangoni.
Tom anamburuza hadi sebuleni na kumwacha huko kisha anarudi chumbani kulala na Mayasa. Je, nini kitatokea? Kwanini Tom anamchukia Mariam kiasi hicho? Anza sasa KUSONGA NAYO...
Nilikuwa mwajiriwa katika kampuni moja maarufu jijini Dar es salaam, katika kuajiriwa kwangu huko nikawa msaidizi maalumu wa bosi wa kampuni ile, basi siku moja moja nilikuwa naenda kujirusha na bosi wangu...
Maisha siku zote yanaendeshwa kwa kufuata taratibu na kanuni ambazo mwisho wa siku humfanya mwanadamu kuishi kwa amani na furaha na kuweza kutimiza lengo lake la kuwepo hapa ulimwenguni...
Mpenzi msomaji, kijana Beka anaendelea kusimulia mkasa uliomkuta huko Bububu Zanzibar ambapo babu mmoja aliyetokea kumpenda alimfundisha uchawi. Wiki iliyopita nilielezea alivyosafiri na babu yake kwa kutumia ndege zao za kichawi (ungo) kwenda kisiwa cha Mtambwe kilichopo Pemba Zanzibar kwa wazee ambao ni wachawi kwa lengo la kwenda kuongezea nguvu za kichawi na uganga. Alipofika huko, wazee hao waliokuwa uchi katika uwanja Fulani ambao wachawi hukutana kwa ajili ya mikutano yao walimfundisha jinsi wachawi wanavyojigeuza simba na kumweleza faida za kufanya hivyo. Leo anaendelea kusimulia jinsi wachawi wanavyojigeuza paka, mijusi na panya. Ungana na Mwandishi Wetu KULWA MWAIBALE anayekusimulia kisa hiki kilichomkuta kijana Beka…