
Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa shindano la Mr & Miss SUA Talent 2009 upande wanawake, Pendo Wilson, katika shindano lililofanyika kwenye Hoteli ya Savoy mjini Morogoro mwishoni mwa wiki. Tigo ilikuwa mdhamini mkuu wa kinyang’anyiro hicho. Katikati ni Miss SUA 2008, Aneth Kayombo.

Meneja Matangazo wa Tigo Redemptius Masanja (kulia) akikabidhi zawadi kwa mshindi wa pili wa shindano la Mr & Miss SUA Talent 2009 upande wa wanawake, Mwajabu Juma katika shindano lililofanyika kwenye Hoteli ya Savoy mjini Morogoro mwishoni mwa wiki. Tigo ilikuwamdhamini mkuu wa kinyang’anyiro hicho. Kushoto ni Miss SUA 2008, Aneth
Kayombo.

Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa shindano la Mr & Miss SUA Talent 2009 upande wanaume,Amidi Ali katika shindano lililofanyika kwenye Hoteli ya Savoy mjini Morogoro mwishoni mwa wiki. Tigo ilikuwa mdhamini mkuu wa kinyang’anyiro hicho. Katikati ni Mr SUA 2008, Frank Mlekwa.

Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Joseph Haule ‘Prof J’ akiwapagaisha baadhi ya watu waliohudhuria shindano la Mr & Miss SUA Talent 2009 katika Hoteli ya Savoy mjini Morogoro mwishoni mwa wiki. Tigo ilikuwa mdhamini mkuu wa kinyang’anyiro hicho.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine, Salim Sarai akionyesha vazi la ubunifu alilolitangeza kwa majani ya miti wakati wa shindano la Mr & Miss SUA Talent 2009 kwenye Hoteli ya Savoy mjini Morogoro mwishoni mwa wiki. Tigo ilikuwa mdhamini mkuu wa kinyang’anyiro hicho.

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine, Caroline Nyakapete akionyesha vazi la ubunifu wakati wa shindano la Mr & Miss SUA Talent 2009 kwenye Hoteli ya Savoy mjini Morogoro mwishoni mwa wiki. Tigo ilikuwa mdhamini mkuu wa kinyang’anyiro hicho.

Wacheza shoo wa bendi ya muziki wa dansi ya Revent Music wakionyesha umahiri wao wakati wa shindano la kumtafuta Mr& Miss SUA Talent 2009 kwenye Hoteli ya Savoy mjini Morogoro mwishoni mwa wiki.Tigo ilikuwa mdhamini mkuu wa kinyang’anyiro hicho.