arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » ijumaa wikienda » Jela miaka 55

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» ZITO LAIBUKA
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Mtumwa wa ngono (14)
» Waziri Sonyo apeta urai ...
» The Painful demand -44
» Simba yampasua kichwa P ...
» Akudo waimega FM Academ ...
» MSIMU WA SHULE HUU.
» Knocked Down? You can s ...

Jela miaka 55

ijumaa wikienda

Hukumu hiyo, ilitolewa na hakimu wa mahakama hiyo, Bw. Gadiel Malick ambaye alisema kuwa baada ya kusikiliza pande zote mbili, mashtaka na utetezi, imethibitika kuwa watuhumiwa hao wana hatia.

Waliokumbwa na zahama hiyo ni Anicet Edward (30) na Job Mulama (30) wote wakiwa ni wafanyakazi wa kampuni ya utafiti wa madini, Barrick East Africa Expollation, pamoja na Shija Madata (18) aliye mkazi wa Kijiji cha Sota, Sengerema, Mwanza.

Akisoma hukumu hiyo Mei 4, 2009, Malick alisema kuwa Shija atatumikia kifungo cha miaka 55 jela kwa kuwa kitendo alichofanya hakistahili katika jamii iliyostaarabika ya Kitanzania.

Alisema, katika kosa la kwanza la mshitakiwa kumrubini mtoto huyo na kumpeleka kwenye kambi ya utafiti wa madini ya Sota inayomilikiwa na Barrick, kwa nia ya kumfanyisha mapenzi na mbwa, atatumikia kifungo cha miaka 15 jela.

Malick alisema, katika kosa la pili washitakiwa wote, Shija, Job na Mulama, watatumikia kifungo cha miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumshawishi mwanafunzi huyo na kumfanyisha mapenzi na mbwa.

Hakimu huyo aliongeza kuwa washitakiwa wote kwa pamoja watakaa jela kwa miaka 20 mingine kwa kosa la kumlazimisha kwa nguvu mtoto huyo kufanya ngono na mbwa, kitendo ambacho ni kinyume na haki za binadamu.

Mbali na kutoa hukumu hiyo, Hakimu Malick aliagiza kuwa mbwa aliyetumika kufanya kitendo hicho akabidhiwe kwa Jeshi la Polisi, Mwanza ili amilikiwe na serikali na kufanya kazi ya kulinda usalama wa raia.

“Naamuru uongozi wa Kampuni ya Barrick, umkabidhi mnyama huyo (mbwa) aliyehusika kufanya kitendo cha ngono na mtoto kwa Mkuu wa Upelelezi Makosa ya Jinai (RCO) ili atumike kwa mazuri badala ya kile akichokitenda,” alisema.

Hata hivyo, hakimu huyo alisema washitakiwa wana haki ya kukata rufaa endapo wataona hukumu hiyo haikuwatendea haki.

Ijumaa Wikienda mwaka jana, liliripoti tukio hilo ambapo lilieleza kuwa mtoto aliyetendewa unyama huo ni mwanafunzi aliyekuwa Darasa la Nne kwenye Shule ya Msingi Sota, Sengerema.


 (Votes #: 2)
    (25 May 2009)
Soma Zaidi: 622 | Maoni Yako (5)

Udaku Mwingine

ijumaa wikienda
 
  • AFUNGWA KIFUNGO CHA MAISHA KWA UBAKAJI
  • Watupwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka 8
  • Watupwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka 8
  • Ukatili, unyama
  • Majambazi jela miaka 30!
  •    

    #1 Author: Bill (25 May 2009 03:09)

    Kama tuhuma ni za kweli, kifungo hicho ni sahii
    maana kweli maadili yameporomoka
    but
    kama ni kesi kama ya tunda na Spark, ripoti basi itasikitisha sana.
    Wasije watu wenye nazo wamewauzia vijana kesi.
     
    fast    

    #2 Author: anisa (25 May 2009 03:57)

    Jamani dunia imekwisha,loooo inasikitisha sana.Hao watu wafie hukohuko jela.
     
    fast    

    #3 Author: journey (25 May 2009 04:00)

    pongezi kwa hakimu huyo kwani watu hao wanastahili hiyo adhabu kwa kitendo cha kinyama walichokifanya
     
    fast    

    #4 Author: doctor (25 May 2009 04:40)

    sheria hapo bado kabisa,kifungo hicho kwa hao jamaa ni sawa lakini huyo mbwa anaishi peke yake?ni yeye mbwa ndio aliwapa hao jamaa pesa wakamtafutie mwanamke?yani bongo inasikitisha sheria zinapindwapindwa tuu,huyo mbwa lazima anamilikiwa na mzungu ambaye ndo anatoa mipesa hao jamaa wamtafutie mbwa wake wanawake wamstareheshe mbona hatajwi huyo jamaa hapa vipi?au ndo mambo yetu yaleee!mmiliki wa huyo mbwa nae akamatwe na ndo anahitaji adhabu kubwa zaidi,na hiyo ya mwisho kali mbwa huyo akabidhiwe kwa RCO ili atumike kwa mazuri sasa hapo mjomba huyo mbwa atawageuza wenzie chakla maana anaonekana anahusudu sana kamchezo ka ngono angalia usije ukakaribisha ushoga kwa mbwa wetu bwana,teh teh wink
     
    fast    

    #5 Author: Eric Esron, Mg. (25 May 2009 18:15)

    yaani doctor na wewe! wink wink winked eti ngalia usije ukakaribisha ushoga kwa mbwa wetu !
     
    fast    

    Add comments

    Name:
    E-mail:

    Code:
    Include security image CAPCHA.
    to renew the code
    Enter Code:

     

    Kura Yako / Poll

    Habari Katika Picha


    Gazeti la Uwazi



    Nani Yupo / Alikuwepo


    Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

     hit counter

    counters

    2008 © globalpublisherstz.com