arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Amani » AIBU YA KARNE

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» Utajuaje kama anakupend ...
» Wabunge: Serikali isima ...
» WALAZAMISHWA KUFUNGA ND ...
» Ufanyeje ukibaini laazi ...
» silent forever! -53
» Rungu la TFF ‘paaa’ Sim ...
» Shoga ukiendekeza penzi ...

AIBU YA KARNE

Amani

AIBU YA KARNE


Imedaiwa kuwa, kigogo huyo amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na msichana huyo na kwamba, licha ya wafanyakazi wengine kugundua na kushangaa, bado mhesimiwa huyo hakuona sababu ya kuukatisha, bali penzi lao lilizidi kunoga na kushamiri.

Habari zaidi za kiudaku zinadai kuwa, mzito huyo mbali na kubanjuka na ‘stafu’ wake huyo pia ni mume wa mtu na mkewe alishautilia wasi wasi uhusiano huo haramu.

Kabla ya picha hizo kunaswa, inadaiwa siku moja wawili hao walipanga chumba kwenye hoteli moja ya kisasa kisha kula bata ndani ya chumba hicho huku wakifurahia uhusiano wao wa siri.

Habari za ndani zinazidi kudai kuwa, wakiwa katika ‘malavu’ walianza ‘kufotoana’ picha kwa zamu kwa kutumia kamera ya simu ya mkononi lakini utunzaji wao ukawa mbaya kiasi cha kuzifanya picha hizo kuvuja na kuwafikia wadaku.

Miongoni mwa watu waliofikiwa na picha hizo ambazo nyingine hazitazamiki, inadaiwa ni mabosi wenzake mnene huyo, wakiwemo pia ‘mastafu’ wa chini ambao walipigwa butwaa.

Katika kuonesha kuwa, kampuni hiyo ‘haifugi’ ujinga kama huo, mhesimiwa huyo alilazimishwa ‘kuchora’ barua ya kuacha kazi katika kipindi cha saa ishirini na nne na hivi sasa yuko ‘benchi.’

Hata hivyo, Amani lilifika makao makuu ya kampuni inayodaiwa kuwa ndiyo kigogo huyo alikuwa akifanyia kazi ambapo baadhi ya ‘stafu’ walikiri kusambazwa na kuziona picha hizo chafu, lakini bila kukubali au kukataa kama wanamfahamu mthumiwa huyo.

AIBU YA KARNE


 (Votes #: 11)
    (18 June 2009)
Soma Zaidi: 5917 | Maoni Yako (11)

Udaku Mwingine

Amani
 
  • Siri yafichuka
  • SOO JIPYA
  • Kigogo awapiga warembo picha chafu.
  • Kigogo fuska anaswa
  • KIGOGO AFANYA ?BETHIDEI? CHAFU
  •    

    #1 Author: Naima (18 June 2009 01:48)

    GP muwe wastaarabu,kwann msiseme ukweli kuwa hiyo issue haijatokea Tz bali Uganda?mnataka wake wenye waume zao makampuni ya Simu waanze kujihisi vibaya sio vizuri.Kwanza mnalitukanisha Taifa kwa kutosema ukweli,semeni tu hiyo ishu imetokea Uganda sio Tz!!
     
    fast    

    #2 Author: maua (18 June 2009 03:29)

    Jamani hii ni zain tanzania au ??? muwekezi wazi tu mbona wengine mnawaanika???
     
    fast    

    #3 Author: Moto (18 June 2009 03:35)

    Kama toto ndiyo hiyo jamaa ana haki! Mwache ajimwage mwanangu, kama noma na iwe noma
     
    fast    

    #4 Author: DR NGATUNGA D (18 June 2009 03:52)

    DUNIA IMEKWISHAAAAAAAA KABISAAAAAA QUISHNEIIIIIIIIIIIIII MERIJAA.
     
    fast    

    #5 Author: mamii (18 June 2009 04:08)

    hiyo ni zain bongo na tunamjua huyo demu
     
    fast    

    #6 Author: mzanzibari (18 June 2009 04:15)

    hii story so zain hapa tz but ni ug cuz hapa hakuna staff kama haoy dont u be specific? u kip on lyn its not gud
     
    fast    

    #7 Author: mzeiya wa busara (18 June 2009 04:45)

    Jamani GP mambo mengine msiwe mnaweka, mnaweza sababisha suicide kwa jamaa na demu pia. Ni hayo tuu.

    Mzeiya wa busara
     
    fast    

    #8 Author: genge (18 June 2009 08:49)

    we mama wacha, hizo wameziba ziba ukiona zenyewe ni balaa.
    Lakini sio tanzania hiyo, ni nchi za wenyewe wa kula bata
     
    fast    

    #9 Author: Mchambawima (18 June 2009 10:15)

    Ingekuwa ile nini hii hawakufanya madhalilisho tungeweza kuona wengine any way nategema tutapata kujuwa wapi zipo hizo picha ,jingine zaidi muandishi ameandika kuwa wawili hao walikodi hoteli ya kisasa na walikula (BATA)kwa sisi wazawa wakiswahili Kula bala BATA maana yake kufanya tendo la ninihino sasa muandishi ulikuwa na maana hiyo?au ulikusudia kula kuku kwa mrija ?
     
    fast    

    #10 Author: cheryl (6 July 2009 06:27)

    MIMI NILIDHANI WOTE MADUME winked winked wink

    WANAFURAHIA MA BATH YA GUEST NYUMBANI ANAOGEA KWENYE MCHANGA NA KOPO LA KIMBO. wink wink wink
     
    fast    

    #11 Author: saraphina (12 July 2009 07:40)

    Big up 2 dis website,its so fantastick u kwn
     
    fast    

    Add comments

    Name:
    E-mail:

    Code:
    Include security image CAPCHA.
    to renew the code
    Enter Code:

     

    Kura Yako / Poll

    Habari Katika Picha


    Gazeti la Uwazi



    Nani Yupo / Alikuwepo


    Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

     hit counter

    counters

    2008 © globalpublisherstz.com