Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



|
|
 |
|
|
 |
 |
|
 |
Habari za kuaminika toka chanzo chetu zinadai kuwa, Bella alifanyiwa unyama huo na msanii wa filamu, Yusuf Mlela kwa kile kilichodaiwa kuwa, ni wivu wa mapenzi. Kikimwaga ‘nyeti’ hizo chanzo hicho kilipayuka kuwa, Mlela ambaye ana uhusiano wa kimapenzi na mrembo huyo, alianza kuingiwa hofu juu ya ‘kifaa’ chake hicho kukumbwa na skendo chafu mara kwa mara. Chanzo kilizidi kumwaga mchele kwenye kuku wengi kuwa, Mlela alitinga nyumbani kwa Bella, maeneo ya Kinondoni Mkwajuni, jijini Dar huku akiwa amevaa shati ambalo lilionekana kujikunja na kumuomba mrembo huyo ampe pasi ili kuondoa mikunjo hiyo. Kilisema: “Bila hiyana, Bella alimpatia pasi, jamaa akaichomeka kwenye umeme, ilipopata moto, ghafla aliitoa na kumvamia, kisha kumuunguza sehemu mbalimbali za mwili ikiwa ni pamoja na mapajani, tumboni na kwenye makalio”. Mwandishi wa udaku huu alitinga nyumbani kwa mlimbwende huyo mwenye visa kibao na kumkuta akiugulia maumivu makali ya vidonda, huku akidai anajuta kumfahamu Mlela. Gazeti hili lilimwendea hewani Mlela ambaye alikiri kutokea kwa tukio hilo na kusema kwa mkato kuwa, hali hiyo ilisababishwa na hasira ya ghafla.  
|
|
 |
 |
#9 Author: doctor (24 June 2009 04:32)
|
|
 |
 |
yani hiki ni kicheche fulu,haya biashara matangazo,utawapata wapori wakiona kipaja na kicheni feki hicho,mi naona sawa tu kuunguzwa,nishawai kuwa na dizaini hii ya kidemu,yani vinatia hasira kichizi,nini kuunguza unaweza ukaua kabisa,maana vinakuwa vicheche hadi aibu halafu chenyewe wala hakijali,kuandikwa na magazeti pia vinaona ujaaanja,vinajisifia nimeuza story kwa shigongo,mi simlaumu wala nini jamaa najua machungu anayopata kuwa na demu dizaini hii,pole dogo,usijisumbue hapo piga chini anza,achana na huyo demu atakuua |
|
|
 |
 |
#28 Author: cheryl (8 July 2009 01:56)
|
|
 |
|
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|