arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 01.11.2009

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» MSHANGAO!
» Rais Kabila aomba wakafungw ...
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» HALI BADO TETE NCHINI H ...
» FUMANIZI
» Nani aseme ukweli juu y ...
» MWANAFUNZI ABAKWA, ACHI ...
» Kura za Rais kutangazwa ...
» NILIOA MWANAMKE KUMBE J ...
» Boko amtangazia vita Mg ...

 

Papic awapa Yanga vitu vitatu

champion  
Papic awapa Yanga vitu vitatu
Na Saleh Ally

KOCHA Mkuu wa Yanga, Kosta Papic amesema hajachanganyikiwa na lolote timu yake kupoteza mechi dhidi ya watani wake,lakini ametoa vitu vitatu ambavyo anaamini ni muhimu kwa ajili ya kikosi hicho…
    (1 November 2009)
Views: 208 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga wachana jezi ya Mgosi, wailaani

champion  
Yanga wachana jezi ya Mgosi, wailaani
Leah Kweka na Samirah Phillip

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mashabiki wa Yanga waliichana chana jezi namba 11 ya mshambuliaji Mussa Hassan Mgosi ambaye ndiye alifunga bao la ushindi dhidi yao...
    (1 November 2009)
Views: 173 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Boban atuma salamu Msimbazi

champion  
Boban atuma salamu Msimbazi
Na Mwandishi Wetu

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ ametuma salamu kutoka nchini Sweden kwa kuwapongeza wachezaji wenzake kuing’ata Yanga huku akisisitiza, “Lazima wakaze uzi ili Mtibwa Sugar wasiharibu rekodi”...
    (1 November 2009)
Views: 175 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Askari Yanga walionipiga watakiona-Kaduguda

champion  
Askari Yanga walionipiga watakiona-Kaduguda
Shufaa Lyimo na Khadija Mngwai

KATIBU Mkuu wa kuajiriwa wa klabu ya Simba, Mwina Kaduguda ametembeza mkwara kwa maskari waliompa kashkash wakati akijaribu kutetea haki za waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa mchezo wa watani, Simba na Yanga juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Huku akisisitiza, “Wale watakuwa ni Yanga”...
    (1 November 2009)
Views: 153 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

The Painful Demand -52

hadithi za Shigongo  
Josia na Janeth wanafanikiwa kuiiba fimbo ya bunge iliyotegengenezwa kwa madini ya thamani kubwa, wao wanaamini fimbo hii ni haki yao kwa sababu baba yao mzazi mzee Emmanuel Lugoye, aliitumikia serikali kwa muda mrefu akiwa Spika wa Bunge kwa uaminifu wa hali ya juu, akafa akiwa madarakani akiwa masikini huku wachache walioiba wakiwa matajiri wa kutupwa!

Familia yake ikateseka kwa muda mrefu na baadaye kusambaratika, mkewe Aminatha naye akafa kwa kugongwa gari! Ndio maana watoto hao wawili wameamua kufanya ujambazi wa kuvamia bunge na kuiiba fimbo hiyo kisha kuiuiza kwa wahindi waliokuja kutoka India, bila kufahamu kwamba dola walizopewa ni bandia!

Vivian mpelelezi maarufu nchini Tanzania, anafanikiwa kuwakamata Josia na Janeth na katika mahojiano akagundua kwamba vijana hao ni ndugu zake, yeye ni yule mtoto ambaye mama yao alimzaa na kumtelekeza mtaani, akaokotwa na kulelewa kwenye kituo cha watoto yatima na baadaye kuchukuliwa na familia ya Kijerumani iliyomsomesha mpaka chuo kikuu na kuwa mpelelezi.

Undugu huu ndio umefanya Vivian akiuke maadili ya kazi yake na kuwatorosha Josia na Janeth mpaka jiji la Bangalore nchini India, huku yeye akijiuguza majeraha ya risasi alizojipiga ili kudanganya polisi kwamba alitekwa! Baada ya kushuka tu uwanja wa ndege jijini Bangalore, gari la maaskari likiwasha king’ora lilianza kuwafukuza Josia na Janeth!
Je, nini kitatokea? SONGA NAYO…
    (1 November 2009)
Views: 605 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA

photos  
Ligi Kuu Tanzania Bara jana iliwakutanisha watani wa jadi Simba na Yanga katika Uwanja wa Taifa ambapo mpaka kipenga cha mwisho Yanga ilikuwa imebamizwa bao 1- 0. Bao hilo lilifungwa na Mussa Hassan Mgosi baada ya kupokea krosi kutoka kwa Danny Mrwanda.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Kikosi cha Simba kilichoanza mchezo jana.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
‘Jeshi’ la Yanga lililoanza mashambulizi dhidi ya Simba.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Mwenyekiti wa Yanga, Iman Madega, wakiwapa ‘Hai!’ mashabiki wa timu yake kabla ya mpambano.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Sehemu ya mashabiki wa Simba waliohudhuria mtanange huo.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Licha ya kuwa wamechapwa bao, mashabiki wa Yanga waliendelea kuwapa moyo wachezaji wao kwa kuwashangilia wakati wote wa mchezo.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Beki wa Simba, Salum Kanoni (kushoto) akiwa hewani kumdhibiti mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Amir Maftah, mlinzi wa Yanga (kulia), akimdhibiti mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Mshambuliaji wa Simba, Danny Mrwanda, akimtoka Nurdin Bakari wa Yanga (aliyekaa).

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Simba wakishangilia bao.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Kocha mpya, Yanga Kosta Papic, alijaribu kubadili kila mfumo katika mchezo huo, lakini hapakuwa na mafanikio yoyote.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Meneja wa Top Band, Hamis Dakota (mwenye fulana ya njano) pamoja na mashabiki wengine wa Yanga wakichana fulana ya mmoja wa mashabiki wa Simba (hayupo pichani).

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Mhariri Kiongozi wa magazeti ya Championi, Saleh Ally, (kushoto) akiwa na mapaparazi wa kituo cha Super Sports cha Afrika kusini, waliofika uwanjani hapo kuripoti mechi hiyo.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Shabiki wa Yanga (jina lake halikuweza kupatikana) akilia baada ya mpira kumalizika.

SIMBA ILIVYOWALIZA YANGA
Kocha wa Simba, Patrick Phiri (kulia), akihojiwa na waandishi wa habari. Mwenye miwani kichwani ni Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally.

PICHA: RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY /GPL
    (1 November 2009)
Views: 125 | Maoni (2) |

 

Tanzania' si masikini' tena

photos  
Tanzania' si masikini' tena

TANZANIA imeingia katika kundi la nchi zenye maendeleo ya watu ya kati kutoka katika kundi la nchi zenye maendeleo ya watu ya chini duniani, imebainishwa katika Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo ya Binadamu...
    (1 November 2009)
Views: 461 | Maoni (7) | Soma Zaidi

 

Mbunge Ole Sendeka atishia kumharibia Rais Kikwete

photos  
Mbunge Ole Sendeka atishia kumharibia Rais Kikwete
Mbunge wa Simanjiro,Christopher Ole Sendeka

*Ataka serikali iwakamate kwanza Mafisadi badala ya kuibua hoja ya 'posho mbili'

SUALA la wabunge kuhojiwa na Takukuru, juzi lilichukua sura mpya baada ya Mbunge wa Simanjiro,Christopher Ole Sendeka kugeuka msumari wa moto kwa serikali akitaka iwakamate kwanza wabunge mafisadi wanaohusika na kashfa za Kagoda na Deep Green Finance kabla ya kuwaandama wabunge...
    (1 November 2009)
Views: 341 | Maoni (0) | Soma Zaidi
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com