Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ndoombo, Arumeru mkoani Arusha, Happiness Ombeni (9), ameuawa kwa kuchinjwa na kukatwa koromeo kwa imani za kishirikina...
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR -Mageuzi, James Mbatia, amesema malumbano kati ya Bunge na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) yanatokana na ufisadi uliopo pande zote mbili...
*Yumo Naibu Waziri, wapinga ufisadi wataka watuhumiwa wang'olewe CCM WABUNGE wa CCM wameendelea kuparurana mbele ya kamati ya Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, huku baadhi wakimtetea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na wengine wakisema watuhumiwa wote wa ufisadi wavuliwe nyadhifa za ndani ya chama...
Gazeti makini la Amani limekuwa katika oparesheni maalum ya kuchunguza vitendo vichafu vya uvunjwaji wa maadili vinavyofanywa na akina dada poa au maarufu kama makahaba wanaojiuza nyakati za usiku katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam...
Katika hali ya kushangaza wezi wamevamia nyumba ya mwanamitindo ‘sistaduu’ nchini Marekani, Abbey Arcade na kuiba vitu mbalimbali vikiwemo vito vya thamani, nguo pamoja na ‘laptop’ aina ya Apple, vyote vikiwa na thamani ya ‘ngawira’ za kimarekani dola 100,000...
Nguli wa miondoko ya Hip Hop mgumu Krs one alipigwa na butwaa kubwa baada ya mkali wa miondoko hiyo kutoka kundi la kibongo la Xplastaz, Gsan kushuka mistari ya kufa mtu kwenye tuzo za BET zilizofanyika jijini New York Marekani hivi karibuni...
The big boss wa BenchMark Productions, mwandaaji wa Shindano la kusaka vipaji vya muziki nchini, Bongo Star Search (BSS), Rita Paulsen ‘Madame Rita’, hivi juzi kati amekumbukia enzi zake na James Dandu ‘mtoto wa Dandu’ baada ya kuionesha picha waliopiga pamoja enzi za uhai wa msanii huyo...