arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 08.11.2009

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» Aina 10 ya vyakula vinavyoo ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» MKATABA WA TRL KUVUNJWA ...
» Talib Hilal alamba gari ...
» USIKU WA BURUDANI GLOBA ...
» Beyond love 17
» Sunguti, Odhiambo, Owin ...
» Kuacha ua kuachwa na mp ...
» Jalada la e.p.a - 22

 

Yanga waenda Sauzi kusaka dawa

champion  
Yanga waenda Sauzi kusaka dawa
YANGA FC

Na Saleh Ally
KOCHA Mkuu wa Yanga, Kosta Papic ametoa pendekezo kikosi chake kiweke kambi nje ya Tanzania kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom na Afrika Kusini ndiyo chaguo lake la kwanza...
    (8 November 2009)
Views: 117 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mziray awaita Boban, Chuji Taifa Stars

champion  
Mziray awaita Boban, Chuji Taifa Stars

Khadija Mngwai na Samira Phillip
WAKATI Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Joel Bendera akishindwa kutoa maoni yoyote juu ya kipigo cha mabao 5-1 cha Taifa Stars dhidi ya Misri, Kocha wa zamani wa timu hiyo, Syllersaid Mziray amesema kukosekana kwa wachezaji Haruna Moshi ‘Boban’ na Athumani Idd ‘Chuji’ ni sehemu ya tatizo lililosababisha kipigo hicho...
    (8 November 2009)
Views: 255 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Bado mbili tu, Henry acheze Ligi Kuu Norway

champion  
Na Saleh Ally
MECHI ya leo dhidi ya Mjolden na ile ya marudiano ya Jumamosi ijayo ndiyo itakayotoa jibu iwapo kikosi cha Kongsvinger anayochezea Mtanzania, Henry Joseph Shindika kitakuwa kimepanda hadi Ligi Kuu nchini Norway au la...
    (8 November 2009)
Views: 92 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mwamaja ampigia debe mlinda mlango wake kwa Maximo

champion  
Na Khadija Mngwai
KOCHA Mkuu wa timu ya Maji maji ya Songea, David Mwamwaja amempigia debe mlinda mlango wake Said Mohammed kuwa ni mmoja kati ya makipa bora nchini na Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Marcio Maximo amtupie jicho...
    (8 November 2009)
Views: 64 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Machuppa: Timu yangu lazima itarudi Ligi Kuu

champion  
Na Mwandishi Wetu
KIUNGO mshambuliaji wa timu ya Vasalund ya Sweden, Athuman Machuppa amesema ana imani na matumaini ya juu kuwa timu yake hiyo itapigana nla kurejea hadi Ligi daraja la kwanza msimu ujao...
    (8 November 2009)
Views: 107 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

JKT kuongeza nyota wanne

champion  
Na Shufaa Lyimo
UONGOZI wa timu ya soka ya JKT Ruvu unatarajia kuongeza wachezaji wanne ili kuimarisha kikosi chao itakapofika wakati wa dirisha dogo inayoanza Novemba 20...
    (8 November 2009)
Views: 45 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

The Painful Demand-55

hadithi za Shigongo  
Vivian anawaongoza Josia na Janeth pamoja na kijana mmoja wa Kihindi waliyepewa na Jonti hadi Mysore Palace ambako wamezima umeme kwenye Main Switch na kufanikiwa kumfunga kamba mfanyakazi aliyekuwa kwenye chumba cha Vito, ambamo fimbo ya Bunge ikiwa imevunjwavunjwa imewekwa na kuichukua hadi nje kisha kuondoka na gari lao kurudi kwenye nyumba waliyofikia.

Muda mfupi tu baada ya kuingia wanaona kwenye luninga picha zao zikionyeshwa, kumbe kila mtu ambaye aliingia ndani ya jumba hilo hupigwa picha, ndizo zinazoonyeshwa kwenye luninga wakitafutwa kwa udi na uvumba, zawadi ya dola elfu kumi imetangazwa kwa yeyote atakayewezesha kukamatwa kwao.
Je, watakamatwa? SONGA NAYO…
    (8 November 2009)
Views: 608 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

photos  
Ukumbi maarufu kwa burudani jijini Dar es salaam, Club Maisha uliyopo Oysterbay umeteketea kwa moto mchana huu. Habari zilizopatikana muda mfupi uliyopita kutoka eneo la tukio zinasema kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa nane adhuhuri na ukumbi mzima wa disco umeteketea kabisa!!! Ukumbi huo ulifanyiwa ukarabati mkubwa hivi karibuni na ulikuwa ni ukumbi unaochuana na Club Billicanas kwa viwango na upigaji disco. Picha za tukio zima ni kama zifuatazo:.


CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!
Bi. Hellen Swai

CLUB MAISHA YATEKETEA KWA MOTO!!!
Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka, ambaye bendi yake ya African Stars imekuwa ikipiga muziki wa dansi katika ukumbi huo mara kwa mara, akimfariji mmiliki wa disco hilo Bi. Hellen Swai ambaye alionekana kuwa na majonzi mazito kwa kupatwa na janga hilo ambalo hadi sasa chanzo chake hakijajulikana.

PICHA: ISSA MNALLY na HAROUN SANCHAWA/GPL

    (8 November 2009)
Views: 387 | Maoni (5) |
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com