arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 12.11.2009

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» BILA MWALIMU TUNGEKUWA ...
» Miss afumwa na mume wa ...
» BREAKING NEWS: MOTO WAL ...
» Ndoa ya aibu
» MDADI SI MCHEZO
» SHED NO MORE TEARS GENE ...
» NIMEAMUA KUPUMZIKA NA Z ...

 

Papic amkingia kifua Phiri kwa Maximo

champion ijumaa  
Papic amkingia kifua Phiri kwa Maximo

Na Saleh Ally
KOCHA Mkuu wa Yanga, Kosta Papic amesema Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Marcio Maximo hakumtendea haki yule wa Simba, Patrick Phiri kwa kitendo chake cha kumuita kipa wake namba mbili, Ally Mustapha ‘Barthez’...
    (12 November 2009)
Views: 444 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Simba wamteka Baraza, afungiwa hotelini Dar

champion ijumaa  
Simba wamteka Baraza, afungiwa hotelini Dar

Na Saleh Ally
WAKATI Yanga inahaha kujua kiungo mshambuliaji mkongwe, Mike Baraza yuko sehemu gani hasa, Championi limeng’amua kila kitu baada ya kugundua anaishi katika hoteli ya Lamada iliyopo Ilala jijini Dar es Salaam huku kila kitu kikigharimiwa na mmoja wa wanachama wa kundi la Friends of Simba...
    (12 November 2009)
Views: 378 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Simba wataka rekodi, Yanga mapya ya Papic

champion ijumaa  
Simba wataka rekodi, Yanga mapya ya Papic
YANGA FC

Na Phillip Nkini
LIGI Kuu ya Tanzania Bara mzunguko wa kwanza inamalizika Jumatatu ijayo huku kwa Yanga kucheza na Prisons, lakini Simba itakuwa na kibarua kigumu keshokutwa Jumapili itakapocheza na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Uhuru...
    (12 November 2009)
Views: 224 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Hasheem Thabeet: Mbona niko fiti tu mwana

champion ijumaa  
Na Saleh Ally
MLINZI wa kati wa timu ya Memphis Grizzlies inayoshiriki Ligi Maarufu ya Mpira wa Kikapu ya Marekani, NBA, Hasheem Thabeet amesema yuko katika hali nzuri na wala hajavunjika taya kama ambavyo imeripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari likiwamo shirika kubwa la habari duniani la CNN...
    (12 November 2009)
Views: 286 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Mbrazili, Mkongo wambana Boban

champion ijumaa  
Na Saleh Ally
PAMOJA na kufanikiwa kufanya vizuri majaribio ya kucheza soka ya kulipwa nchini Sweden, viungo kutoka Brazil na Jamhuri ya Kidemokarasia ya Kongo (DRC), wameonekana kuwa kikwazo kwa Mtanzania, Haruna Moshi ‘Boban’...
    (12 November 2009)
Views: 393 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

African Lyon yajivunia Ivo Mapunda

champion ijumaa  
Na Eunice Macha
BAADA ya kufanikiwa kumnasa kipa wa zamani wa Yanga, Ivo Mapunda, klabu ya African Lyon imesema sasa ina uhakika wa kufanya vizuri chini ya mlinda huyo...
    (12 November 2009)
Views: 157 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Thomas Morris atimuliwa Majimaji

champion ijumaa  
Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI Thomas Morris ametimuliwa katika klabu ya Majimaji ya Songea kutokana na suala la utovu wa nidhamu na tayari kazi ya kusaka atakayeziba pengo lake imeanza...
    (12 November 2009)
Views: 114 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

The Painful Demand -57

hadithi za Shigongo  
Mpelelezi Vivian, Josia na Janeth wanaendesha upelelezi mkali nchini India mpaka kufanikiwa kuipata fimbo ya Bunge katika jiji la Mysore, kwenye jengo liitwalo Mysore Palace, ambako iliuzwa na vijana wawili wa Kihindi waliomtapeli Josia na kumpa dola za bandia (Nilesh na Kumar)

Baada ya kuipata fimbo hiyo wanarejea Bangalore, ambako waliwapigia Nilesh na Kumar simu wakijifanya wafanyabiashara wa madini kutoka nchini Kongo, Wahindi hao wakaingia kichwa kichwa na kujikuta wakiwekwa chini ya ulinzi! Muda huo huo magari yakasikika nje ya nyumba waliyofikia, Vivian akatoka nje na kukutana na wapelelezi wa Scotland Yard wakiwa na maaskari wa India, wakakamatwa na kupelekwa kituo cha polisi.

Huko mawasiliano yalifanyika na kuthibitika kuwa Vivian alikuwa mpelelezi aliyekwenda nchini humo kuwasaka Josia, Janeth, Kumar na Nilesh waliokuwa wakitafutwa kwa wizi wa fimbo ya Bunge kazi ambayo pia Scotland , Kumar na Nilesh waliokuwa wakitafutwa kwa wizi wa fimbo ya Bunge kazi ambayo pia Scotland Yard walikodishwa na serikali ya Tanzania kwenda kuifanya.

Hapakuwa na jambo jingine zaidi ikabidi wasafirishwe mpaka Tanzania ambako walipokelewa kama mashujaa na kupelekwa moja kwa moja makao makuu ya jeshi la Polisi, huko wakakutana na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini ambao waliwapongeza kwa kazi waliyoifanya lakini mwisho Mkuu wa jeshi la polisi aliamuru Josia na Janeth wafungwe pingu na kupelekwa kituo cha polisi kuunganishwa na Nilesh na Kumar ambao tayari walishatangulizwa.

Jambo hili lilimfanya Vivian aanze kujieleza kwa wakuu wake wa kazi juu ya uhusiano uliokuwepo kati yake na Vijana hao, jambo lililowashtua kabisa viongozi wake ni aliposema kwamba ni yeye aliyefanya mpango mzima wa kuwatorosha na baadaya kujipiga risasi ili ionekane kwamba alitekwa.
Je, nini kitaendelea? SONGA NAYO…
    (12 November 2009)
Views: 993 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

Mwili si chombo cha starehe

Mahaba  
Mwili si chombo cha  starehe

Na Ally Mbetu
Naam, tumekutana tena leo hii ili kupeana machache kuhusiana na mahaba ambayo yametawala maisha yetu ya kila siku.
Ukipata bahati ya kumpenda akupendae utajiona hakuna mwenye bahati kama wewe katika dunia...
    (12 November 2009)
Views: 303 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

WELCOME TO NGORONGORO

photos  
WELCOME TO NGORONGORO

WELCOME TO NGORONGORO

WELCOME TO NGORONGORO

WELCOME TO NGORONGORO

WELCOME TO NGORONGORO
THE GATE IS OPEN NOW TO NGORONGORO CONSERVATION AREA....
    (12 November 2009)
Views: 89 | Maoni (1) |

 

MTOTO ATUMBUKIA SHIMONI NA KUFA!

photos  
Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Malipula eneo la Chamwino mkoani Morogoro wakiangua vilio baada ya kuwaona wafanyaka wa kikosi cha Zimamoto wakimuopoa mtoto Hawa (1.5) aliyetumbukia juzi Jumanne majira ya saa moja usiku katika shimo lililochimbwa jirani ya nyumba yao kwa lengo la kujenga choo. Wananchi wa mtaa huo waliofurika katika eneo la tukio walijipanga barabarani kwa uchungu na kuangalia gari la Polsi likiondoka na mwili wa marehemu. Mmiliki wa nyumba yenye shimo hilo, Bw. Azani Ngata, anashikiliwa na Polisi kuhusiana na tukio hilo. Mwandhishi wetu alifanikiwa kuzungumza na mtuhumiwa huyo kabla ya kupanda katika gari la polisi.
MTOTO ATUMBUKIA SHIMONI NA KUFA!

MTOTO ATUMBUKIA SHIMONI NA KUFA!

MTOTO ATUMBUKIA SHIMONI NA KUFA!

MTOTO ATUMBUKIA SHIMONI NA KUFA!
PICHA: DANSTUN SHEKIDELI-GPL MORO
    (12 November 2009)
Views: 103 | Maoni (1) |

 

KATIBU MKUU BONGO?

photos  
KATIBU MKUU BONGO?
Katibu Mkuu wa Simba Sports Club, Mwina Kaduguda ‘Simba wa Vita’, akiwa amejibwaga mavumbini baada ya kukosa sehemu nzuri ya kukaa wakati akifuatilia mpambano wa kirafiki wa Simba na Azam uliofanyika Uwanja wa Uhuru hivi karibuni.
Wadau wa soka waliokuwa uwanjani hapo walisikika wakilalamikia kitendo cha kutowatengea sehemu maalum ya kuangalia soka viongozi wakuu katika soka kama Kaduguda.

MIJUMBA CHAKAVU ‘CITY CENTRE’ !!!
KATIBU MKUU BONGO?
Licha ya Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kupiga vita majengo ya chakavu katikati ya jiji, baadhi ya maeneo hayo yameendelea kuonekana kuwa na majengo hayo ambayo huharibu mandhari ya jiji kama jengo hili lilivyonaswa na kamera leo mchana, Mtaa wa Sikukuu, Kariakoo jijini.

MWANAMKE ‘ANGEL FACE’
KATIBU MKUU BONGO?
Muimbaji nyota wa kundi la East African Melody, Miriam Allawi akiwa katika pozi na sura yake iliyokolea ‘Angel Face’ na kumfanya aonekana bonge la toto. Miriam alinaswa na kamera yetu hivi karibuni katika onesho la bendi yake lililofanyika ukumbi wa Hotel ya Travertine, Magomeni, jijini Dar es Salaam.

PICHA: RICHARD BUKOS - 0713 562 001 /GPL
    (12 November 2009)
Views: 110 | Maoni (1) |

 

ELIZABETH NDANI YA CITY PARADISE HOTEL

photos  
ELIZABETH NDANI YA CITY PARADISE HOTEL
Mnyange huyo akiwa katika hoteli ya City Paradise ambapo aliongea na waandishi wa habari juu ya shindano la BBA na mafanikio yake kwa ujumla.

ELIZABETH NDANI YA CITY PARADISE HOTEL
Elizabeth akifurahia swali aliloulizwa na waandishi wa habari kuwa ni kwanini alikuwa akichukiwa na washiriki wengine na kupigiwa kura za kutoka nje ya njengo la mashindano mara nne, ambapo alilijibu kwa ufasaha na kusema kuwa yote hayo yalitokea kwa kuwa alikuwa ni tishio kwa wengi.

ELIZABETH NDANI YA CITY PARADISE HOTEL
Akiwa ameshika gazeti pendwa la ‘Amani’ moja ya magazeti yanayochapishwa na kampuni ya Global Publishers, lililokuwa na habari kuhusu fahari ya Watanzania kuhusu ushiriki wake BBA.

Picha: Hamida Hassani na Imelda Mtema /GPL
    (12 November 2009)
Views: 153 | Maoni (3) |

 

MUZIKI NA KINYWAJI!

photos  
MUZIKI NA KINYWAJI!
Mrembo akiyarudi “magoma” wakati bendi ya Diamond Musica ilipokuwa ikiwapa raha wakazi wa Tabata katika ukumbi wa New Green Park uliopo Mawenzi jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, binti huyo alikuwa chakari baada ya “kunyonya mvinyo” kiasi cha kutosha na kuridhika na hivyo kuonekana kutokwenda sambamba na mirindimo ya muziki husika.

MAJI YANAPOFUATA MKONDO
MUZIKI NA KINYWAJI!
Mnenguaji wa bendi ya muziki wa dansi ya Diamond Musica anayefahamika kwa jina la Hatia na ambaye ni mtoto wa mwanamuziki Rehema Tajiri, anaonekana kufuata njia aliyopita mama yake kwa “kujichimbia” pia katika sanaa ya muziki ambapo ni mnenguaji tishio katika fani hiyo.

USANII KATIKA OMBAOMBA!
MUZIKI NA KINYWAJI!
Mtu huyu anayeonekana kuwa ni mlemavu kwa kujifanya mguu wake mmoja umekatika, ni mzima wa bukheri akiwa na miguu yake yote miwili ambayo huificha kwa kukaa chini wakati wote na kuomba apewe chochote na wapita njia. Usanii huu ni moja za changamoto kwa mamlaka za jiji hili la Lukuvi ambazo zinabidi kutafutiwa ufumbuzi wa mara moja na wa kudumu.

Picha: Ismail Mang’ola /GPL
    (12 November 2009)
Views: 124 | Maoni (2) |

 

Mike Tyson akamatwa kwa kumtwanga paparazi

Habari mbalimbali  
Mike Tyson akamatwa kwa kumtwanga paparazi
Tyson akiwa chini ya ulinzi wa polisi

Mike Tyson akamatwa kwa kumtwanga paparazi
Mike akiwa na mkewe, na binti yao

MIKE Tyson, bondia maarufu duniani kutoka Marekani, ametiwa mbaroni kwa kudaiwa kumtwanga konde usoni mpiga picha na mwandishi wa habari (paparazzi) na kumsababishia maumivu na majeraha ambapo alivuja damu nyingi jana jioni katika uwanja wa ndege wa LAX nchini Marekani....
    (12 November 2009)
Views: 597 | Maoni (4) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com