arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 15.11.2009

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» MSHANGAO!
» Rais Kabila aomba wakafungw ...
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» Ushuhuda kabla ya kifo ...
» SABABU 5 KWANINI TANZAN ...
» Irene: Nimerudi nipo Bo ...
» NANI ZAIDI?
» THEA, MONALISA NANI ZAI ...
» The Sex Slave -2
» Vigogo na dawa za kulev ...

 

Mfalme Simba

champion  
Mfalme Simba

Na Saleh Ally
SIMBA jana iliendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kufanikiwa kuichapa Mtibwa Sugar ya Manungu kwa jumla ya mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, hivyo kuandika rekodi mpya ya kumaliza mzunguko wa kwanza kwa kushinda mechi zote 11..
    (15 November 2009)
Views: 446 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Papic awazingira Magereza Mbeya

champion  
Papic awazingira Magereza Mbeya

Na Saleh Ally
KOCHA Mkuu wa Yanga, Kosta Papic amesema hakuna anachohitaji leo dhidi ya Prisons ya Mbeya zaidi ya pointi tatu na amewaambia wachezaji wake, “tubebe pointi tatu, au tumalize mzunguko na aibu”...
    (15 November 2009)
Views: 131 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mamilioni yamnukia puani Boban Sweden

champion  
Mamilioni yamnukia puani Boban Sweden

Na Saleh Ally
ZIMEBAKI angalau asilimia 20 tu ya mambo kabla ya Haruna Moshi ‘Boban’ kuweka rekodi ya aina yake kwa wachezaji wa Tanzania hasa kuanzia miaka ya 1980 hadi leo baada ya viongozi wa benchi la ufundi la timu ya Gefle FF ya Sweden kusema, wana kila sababu ya kumuingiza katika kikosi chao...
    (15 November 2009)
Views: 570 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Mbrazil wa Azam FC ataka kwenda Caf

champion  
Khadija Mngwai na Leah Kweka
KOCHA mkuu wa Azam FC, Itamar Amourim amesema kuwa anahitaji nafasi ya kuwakilisha nchi kwenye michuano inayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf), kwa kutwaa ubingwa au kushika nafasi ya pili...
    (15 November 2009)
Views: 93 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

The Painful Demand -58

hadithi za Shigongo  
Ni hitaji lenye kuuma, Vivian, Josia na Janeth wamepambana kufa na kupona na hatimaye kuirejesha fimbo ya Bunge nyumbani lakini pamoja na juhudi hizo Josia na Janeth ni wahalifu wanashtakiwa kwa mauaji ya wapelelezi waliyoyafanya huko nyuma kabla.

Kesi inaunguruma kwa muda mrefu na Janeth anapata msamaha kwani hakuhusika kwa namna yoyote ile na mauaji ila kwa Josia mambo si shwari anahukumiwa kwenda jela na hatimaye kunyongwa, Janeth analia mno, msamaha aliopewa hakika haikuwa na maana kwake, alitamani yeye pia angehukumiwa kifo kama ilivyotokea kwa kaka yake.

Wakiwa nje ya mahakama Josia anaigundua huzuni waliyonayo Janeth na Vivian lakini anawapa moyo kwa kuwambia kwamba yeye asingekufa kwa sindano ya sumu wala kunyongwa mpaka siku yake ya kufa ikatapofika.

Wakiwa katikati ya mazungumzo maaskari wanafika na kumchukua, anabebwa na kupandishwa kwenye gari la magereza na muda mfupi baadaye safari kwenda gereza la Ukonga kusubiri siku ya kunyongwa ifike! Cha kushangaza uso wake umejaa tabasamu, ingawa dada zake na baadhi ya watu waliomwona walikuwa wakilia kwa huruma.
Je, nini hatima ya Josia gerezani? Atanyongwa? Kitatokea nini kwa Janeth na Vivian? SONGA NAYO…
    (15 November 2009)
Views: 753 | Maoni (7) | Soma Zaidi

 

JIDE AWAKILISHA MO FOUNDATION

photos  
JIDE AWAKILISHA MO FOUNDATION
Vijana wa mavipaji kutoka THT wakiongozwa na Lady Jaydee, wakiwakilisha Bongo kwenye onesho maalumu la Mo Foundation lililofanyika Jumamosi iliyopita, Mlimani City jijini Dar es salaam ambako wasanii wengine wa kimataifa Youssou N'dour kutoka Senegal na Anjelique Kidjo kutoka Benin wali perform.

JIDE AWAKILISHA MO FOUNDATION
Rais JK akiwa 'mtu kati' ya Lady Jaydee na mumewe Gadner (kushoto) mara baada onesho lake.

JIDE AWAKILISHA MO FOUNDATION
Rais JK akiongea na mwanamuziki Youssou N'dour (kati) huku Jide akifuatilia..we mzee Youssou mkono huo.......mke wa mtu huyo, OH HOO!

JIDE AWAKILISHA MO FOUNDATION
Mkuu wa wilaya ya Nanihii (kulia) akiwa ndani ya suti ya 'kufa mtu' alipata nafasi pia ya 'kuuza sura' na msanii Emmanuel kutoka Sudan na bibie Angelique Kidjo ambaye licha ya ku perform alikuwa MC wa shughuli hiyo iliyohudhuriwa na vigogo wa Bongo.

(PICHA KWA HISANI YA ISSA MICHUZI)
    (15 November 2009)
Views: 123 | Maoni (1) |
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com