arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 18.11.2009

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» Njia madhubuti za kurej ...
» Msanii TZ azua balaa Lo ...
» Ujinga, Maradhi na Mala ...
» YANGA YAENDELEZA UBABE
» MMEKUBALI MIMI NDIO ZAI ...
» Jalada la E.P.A -27
» MNENGUAJI WA CONGO AFAN ...

 

Madhara ya kupenda kupita kiasi

Saikolojia na maisha  
Kupenda ni jambo muhimu katika maisha ya mwanadamu, kwa sababu asilimia kubwa ya matendo ya mtu huongozwa na mapenzi. Miongoni mwetu kuna watu wanapenda waume/wake zao, mali, watoto, magari vyakula, vinywaji, michezo na pengine aina fulani ya maisha...
    (18 November 2009)
Views: 327 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Kuaminiana ni nguzo muhimu sana ya penzi lenu!

Mahaba  
Kuaminiana ni nguzo muhimu sana ya penzi lenu!

Assalam alaikum mpenzi msomaji wangu wa safu hii. Mambo vipi? Natumaini kwamba umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Vipi umpendaye hajambo? Natumaini naye pia yuko sawa...
    (18 November 2009)
Views: 252 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Kibabu chapotea kilomita 600 kikienda dukani

Habari mbalimbali  
Kibabu chapotea kilomita 600 kikienda dukani

MZEE wa miaka 81 nchini Australia alipotea asubuhi moja wakati akiendesha gari lake kwenda kufanya manunuzi madukani na kujikuta amesafiri urefu wa kilomita 600 (maili 370) kutoka sehemu ambayo ilibidi aende kufanya shughuli yake hiyo...
    (18 November 2009)
Views: 270 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

PICHA YETU YA LEO!

Vichekesho na Udaku  
JE? hapo kuna uzima tena? toa maoni yako kuhusiana na picha hii!

PICHA YETU YA LEO!
    (18 November 2009)
Views: 372 | Maoni (12) |

 

KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU

photos  
KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Fedha katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, akiwa ndani ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, muda mfupi kabla ya kesi yake akidaiwa kuitia hasara serikali mabilioni ya fedha.Kesi hiyo ilitarajiwa kuanza kusikilizwa mapema leo.

MATESO YA WANAFUNZI MPAKA LINI?
KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Baadhi ya makondakta wa basi la abiria jijini Dar es Salaam (daladala) linalofanya safari zake kati ya Tandika na Mwenge, wakimsulubu mwanafunzi mmoja ambaye jina lake na la shule anayosoma halikufahamika mara moja baada ya mwanafunzi huyo kushuka katika kituo cha Usalama Chang’ombe, Temeke na kulipa Sh. 100, nauli ambayo ilikataliwa na makonda hao wakimtaka alipe Sh. 250 nauli ya mtu mzima, hivyo kumlazimisha kurudi kwenye basi hilo ili kumbana zaidi.

DINI ZIPO NYINGI DUNIANI
KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Viongozi wa taasisi ya kidini ya Iskon Hare Krishna, Umapati Dasa (kushoto), kutoka Temple Resident, Nairobi nchini Kenya, akiwa na Kevin Gagnier kutoka Canada (kulia) wakiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam mapema leo juu ya dini yao.

HUJAFA HUJAUMBIKA!
KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Msanii nguri wa muziki wa kizazi kipya nchini, Liso Katama Ibrahimu (Jita Man) kushoto, akiongea na mwandishi wetu, Christopher Lissa, juu ya ajali mbaya iliyompata jijini Mwanza miezi kadhaa iliyopita na kuzushiwa kuwa ameaga dunia. Msanii huyo ambaye hivi sasa hujiita Teminator, kufuatia sura yake kuharibika vibaya kwa mishono huku akivuta mguu wake wa kulia ambao ulivunjika, aliibukia katika ofisi za gazeti hili jijini Dar es Salaam, na kusimulia mkasa wa kutisha uliomkumba hadi kudaiwa kufa, ingawa alisema kwa mapenzi ya Mungu yuko hai na ataendelea kufanya muziki.

KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Sura ya Jita inavyoonekana kwa sasa.
Mtandao huu unampa pole mdau huyo.

RETURN OF ‘SUNCHE NA KAPETO’
KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Wasanii marufu wa vichekesho nchini, Hassan Abdul ‘Sunche’ na Hussein Abdul ‘Kapeto’, hujulikana zaidi kama ‘Sunche na Kapeto’ (wapili na watatu kutoka kulia) wakiongea na mwandishi wetu Christopher Lissa (kulia) juu ya kurudi kwao kwenye ‘game’ baada ya kujichimbia kwa kipindi kirefu jijini Nairobi nchini Kenya.Kulia ni swahiba wao, James Almasi ‘Kivu’.

KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Sunche na Kapeto ambao ni mapacha wakiwa katika picha ya pozi.

‘FIESTA ONE LOVE’ INANUKIA!
Maandalizi ya kufunga zana za burudani wakati wa pati kubwa la Fiesta One Love linalosubiriwa kwa hamu kubwa na wengi yameanza katika viwanja vya Chuo Cha Posta , Kijitonyama nyuma ya Makao Makuu ya Kampuni ya Simu za Mkononi ya Zain, kama inavyoonekana pichani.
KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 21 mwaka huu, ambapo msanii nyota kutoka Marekani, Busta Rymes, atapiga shoo ya kufa mtu!

KESI YA LIYUMBA YAFIKIA PATAMU
Mkali huyu, Busta Rymes ndiye atakayesindikiza burudani hiyo


PICHA:CHRISTOPHER LISSA NA ISMAIL MANG’OLA /GPL
    (18 November 2009)
Views: 145 | Maoni (1) |

 

AZAM FC KUJENGA UWANJA WA KISASA!

photos  
Uongozi wa Azam FC, leo umetoa tathmini ya maendeleo ya timu yao ambapo wameisifu kuwa katika nafasi nzuri kwenye ligi kuu licha ya timu yao kuwa ngeni kwenye michuano hiyo. Uliongeza kuwa unajivunia mchezaji wao chipukizi, John Boko ambaye ni mmoja kati ya wafungaji bora kwenye ligi hiyo.

Uongozi wa timu hiyo umetangaza maandalizi ya ujenzi wa uwanja wake mpya wenye ekari 20, uliopo Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam ambao unatarajiwa kuwa wa kisasa zaidi.

Uwanja huo unatarajiwa kuanza kujengwa mwakani baada ya wataalamu wa kuchora ramani kumaliza kazi yao.

AZAM FC KUJENGA UWANJA WA KISASA!
Makamu Mwenyekiti wa Azam FC, Said Mohamed Said, akizungumza na wanahabari katika mkutano huo.

AZAM FC KUJENGA UWANJA WA KISASA!
Wanahabari (upande wa kushoto) wakiwasikiliza viongozi wa Azam FC, waliokaa meza ya mwisho wakati mkutano huo ukiendelea.

AZAM FC KUJENGA UWANJA WA KISASA!
Kocha wa Azam FC, Itamar Amour, akitoa maoni yake juu ya marefa waliochezesha ligi kuu iliyomalizika mzunguko wa kwanza hivi karibuni.Akijibu maswali ya waandishi juu ya mwenendo wa marefa waliochezesha ligi hiyo, Amour amesema hakuona dosari kubwa kwa marefa hao (kushoto) ni kocha wa vijana wa umri wa chini ya miaka 20 wa timu hiyo, Leonardo Regioni.

AZAM FC KUJENGA UWANJA WA KISASA!
Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatatu, Isaac Kijoti (kushoto), akimhoji nahodha wa Azam FC, Salum Sued katika mkutano huo.

AZAM FC KUJENGA UWANJA WA KISASA!
Mhariri wa gazeti la Championi Jumatano, Denis Fussi, (katikati) akimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Azam FC, anavyojibu swali lake juu ya timu hiyo kukataa kushiriki kombe la Tusker kutokana na kuwa na nembo ya pombe.

PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL
    (18 November 2009)
Views: 76 | Maoni (0) |

 

utapeli sampuli mpya bongo??

photos  
Ndugu wapendwa,

Story ifuatayo ni ya kweli maana imenitokea mimi binafsi tarehe 11/11/2009. Najua kwa kiasi fulani itakuwa inaninizalilisha kwa kutokuwa makini lakini naona ni vyema niwashirikishe rafiki zangu ili msije mkatapeliwa kama mimi na wengine wengi wameshatapeliwa kama vile ndugu yake Galeba, laiti Galeba angeweza kutuelezea yaliyomsibu ndugu yake labda na mimi ningeweza kuepuka utapeli huu. Kinchosikitisha matapeli wenyewe ni watu wanaotufahamu vizuri.
-----------------------------------------------
Mnamo muda wa saa tano asubuhi nikiwa nyumbani (nipo likizo) nikapokea simu nisiyoifahamu kutoka kwa mtu ambaye alijitambulisha ananifahamu, na kwa jinsi alivyonitaja kwa jina na career background details zangu sikuwa na shaka kwamba hanifahamu. Mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo:

TAPELI: Mr. Alex Matovu habari za siku nyingi.
Mimi: Nzuri
Tapeli: Vipi bado unafanya kazi Blue Financial Services?.....
    (18 November 2009)
Views: 2821 | Maoni (14) | Soma Zaidi

 

‘Zanzibar undeni Serikali ya Mseto’

Habari mbalimbali  
‘Zanzibar undeni Serikali ya Mseto’
Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume akipeana mkono na katibu mkuu wa chama cha CUF Maalim Seif Sharif Hamad


ZANZIBAR imeshauriwa kuunda Serikali ya Mseto ikilazimika kufanya hivyo, kwa sababu si jambo la aibu, bali ni sehemu ya demokrasia...
    (18 November 2009)
Views: 272 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

JK: Mabadiliko ya tabianchi ni hatari

Habari mbalimbali  
JK: Mabadiliko ya tabianchi ni hatari
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban-ki-Moon walipokuwa wakihudhuria mkutano wa usalama wa chakula mjini Rome Italia.


Rais Jakaya Kikwete, ametaja baadhi ya athari za kutisha ambazo zimeanza kujitokeza duniani kutokana na mabadiliko makubwa ya tabianchi, ikiwa ni pamoja na uwezekano wa kiasi kikubwa cha ardhi kumezwa na maji kwa sababu ya kupanda kwa kiwango cha maji ya bahari...
    (18 November 2009)
Views: 104 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Day 64 on M-Net’s Big Brother Revolution!

photos  
Day 64 on M-Net’s Big Brother Revolution and the housemates prepare for this week’s nerve-wracking eviction news. When the announcement came it was time for Mozambique’s capeiro-loving Leonel to say goodbye to the series and to the massive USD 200 000 winner prize as he was voted out of the show having gotten the least votes from audiences. Tune in to Big Brother Revolution on DStv channel 198 or 199 and for more information, log on to www.mnetafrica.com/bigbrother.
Day 64 on M-Net’s Big Brother Revolution!
Leonel (left) and series presenter

    (18 November 2009)
Views: 106 | Maoni (1) |

 

Wanaume kama mabinti

risasi mchanganyiko  
Wanaume kama mabinti

Na Waandishi Wetu
Mwaka 2002/03, mwanamuziki ‘The Multi Platinum’ nchini, Judith Wambura Mbibo Habash ‘Jide’ alifyatua kibao kilichoitwa “Wanaume kama Mabinti” akiwagonga wale wenye hulka za kulelewa na wanawake, lakini ikiwa imepita takriban miaka sita sasa, ripoti kamili inakudondokea...
    (18 November 2009)
Views: 3602 | Maoni (13) | Soma Zaidi

 

Mwalimu afumaniwa

risasi mchanganyiko  
Mwalimu afumaniwa

Na Issa Mnally
Mwalimu wa shule ya Msingi, Oysterbay, jijini Dar es Salaam, Leonora Aziz amedaiwa kunusurika kichapo kutoka kwa mwanamke anayedai kumfumania mwalimu huyo akiwa na mumewe...
    (18 November 2009)
Views: 1859 | Maoni (5) | Soma Zaidi
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com