arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 20.11.2009

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» Aina 10 ya vyakula vinavyoo ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» My black chapter -43
» JINSI ONESHO LA KUMTAFU ...
» Mtawa kizimbani, adaiwa ...
» Kukosa mwenzi wa maisha ...
» Wema basi tena, amelogw ...
» JINI MAHABA LINANITESA ...
» GAMBOSHI- 16

 

Kutafuta cheo kazini kulinifikisha hapa- 17

Mikasa ya kusisimua  
Ajabu siku ya pili tuliamka saa mbili asubuhi na si kawaida yetu, nilikuwa wa kwanza kuamka baada ya kupigwa na mwanga mkali wa jua la nje kupitia upenyo katika kuta za nyasi...
    (20 November 2009)
Views: 960 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Ushuhuda kabla ya kifo changu -5

Mikasa ya kusisimua  
Bugumba baada ya maisha mazuri na kuiona ndoa kama pepo ya duniani ghafla inambadilikia na kuiona kumbe ule ulikuwa mwanzo wa ndoa kwake uligeuka na kuwa jehanamu iliyomchoka kila kukicha. Anamchanganya na kumfanya kupandwa na presha na kupoiteza fahamu. Nini kitaendelea? TUWE PAMOJA...
    (20 November 2009)
Views: 637 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Mwanamke kabla hajaolewa anatakiwa awe amefanya mapenzi na wanaume wangapi?

Mahaba  
Mwanamke kabla hajaolewa anatakiwa awe amefanya mapenzi na wanaume wangapi?

Ni swali gumu sana kulijibu haraka, lakini jepesi kwa mtazamo. Wengi wamekuwa wakiingia katika mjadala huu bila kujua kwamba, suala lenyewe lina sura mbili tofauti. Hili halipingiki hata kwa hoja gani...
    (20 November 2009)
Views: 522 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Just hang me! -7

hadithi za Shigongo  
Fedha nyingi alizopewa na baba yake zinamfanya Tracy ajiingize kwenye masuala ya starehe na makundi yasiyostahili, akajikuta akiacha shule na kuingia mitaani ambako alikutana na kijana wa Kitanzania ambaye alijihusisha na kazi ya wizi wa magari, hii ilisababisha Tracy na kijana huyo kujikuta wako polisi kwa wizi.

Walipotoka mahabusu baada ya juhudi kubwa za Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza, Tracy na kijana huyo walipelekwa moja kwa moja uwanja wa ndege ambako walipandishwa kwenye ndege na kurejeshwa Tanzania ambako kila mmoja alipokelewa na wazazi wake na hawakutakiwa tena kurejea katika nchi hiyo.

Familia yote ya Tracy ilikuwepo uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipotoka nje na kugonganisha macho na mama yake mzazi, Tracy aliinamisha kichwa chini! Hakuweza kabisa kumwangalia kwa aibu ya kufanya tendo la ndoa na baba yake mzazi ambaye hakuonekana kuwa na wasiwasi wowote.

Ndani ya gari lawama zilianza kumiminika kwa Tracy kutoka kwa mama na kaka zake, lakini mzee Matetere alimtetea Tracy kupita kawaida, kama vile hakufanya kosa lolote na aliwagombeza watu wote waliojaribu kumwonyesha vidole.
Je, nini kitaendelea? SONGA NAYO...
    (20 November 2009)
Views: 1006 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

PICHA YETU YA LEO!

Vichekesho na Udaku  
Hii 'Team Work' si mchezo!

PICHA YETU YA LEO!
    (20 November 2009)
Views: 123 | Maoni (2) |

 

vumba mbavu

Vichekesho na Udaku  
vumba mbavu
    (20 November 2009)
Views: 80 | Maoni (0) |

 

Makalla azidi kumwaga neema Mvomero

photos  
Mwekahazina wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Amos Makalla ameendelea kumwaga neema kwa wakazi wa Wilaya ya Mvomero, Morogoro kwa kuwezesha kupatikana kwa vifaa vya michezo.

Hivi karibuni, Makalla kwa ushawishi wake, aliwezesha safari ya Rais wa Kent Football Association, Kent Masters wa Uingereza wilayani Mvomero ambaye alitoa msaada wa vifaa hivyo vya michezo kwa kata zote za wilaya hiyo.

Kent, alikabidhi vifaa hivyo kwa kila diwani kutoka kata zote 17 za Mvomero katika bonanza kubwa la michezo ambalo liliandaliwa na Makalla.

Akizungumza kwenye bonanza hilo, Kent alisema kuwa ameanza kwa kutoa msaada wa vifaa vya michezo na kwamba kitakachofuata ni kusaidia kwenye upande wa elimu.

Alisema, atatoa vitabu vitakavyowezesha kila mwanafunzi kumiliki kitabu chake kwa kila somo.

Makalla alipozungumza na mtandao huu alisema kwamba anafanya yote ili kuwatumikia wananchi kwa sababu Mvomero ni nyumbani kwao kwa kuwa ndiko anakoishi baba yake mzazi, Gabriel Makalla.

“Pia nafanya yote kwa ajili ya kutekeleza ilani ya chama changu,” alisema Makalla.

Makalla azidi kumwaga neema Mvomero
Mwekahazina wa CCM, Amos Makalla akihutubia wananchi wakati wa bonanza kubwa la michezo aliloliandaa wilayani Mvomero hivi karibuni ambapo alimwalika Rais wa Kent Football Association, Kent Masters ambaye alitoa msaada wa vifaa vya michezo.

Makalla azidi kumwaga neema Mvomero
Rais wa Kent Football Association, Kent Masters wa Uingereza akisalimiana na waamuzi, wakati wa bonanza kubwa la michezo lililofanyika hivi karibuni wilayani Mvomero.

Makalla azidi kumwaga neema Mvomero
Rais wa Kent Football Association, Kent Masters (mwenye shati jeupe) akifuatilia jambo kwenye bonanza kubwa la michezo wilayani Mvomero hivi karibuni, kulia kwake ni Mwekahazina wa CCM, Amos Makalla ambaye ndiye aliyemwalika Rais huyo.
    (20 November 2009)
Views: 87 | Maoni (0) |

 

CAG AUNGURUMA KUHUSU MADAI YA WALIMU

photos  
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (C.A.G) Ludovick Otouh leo ametoa ripoti juu madai mbalimbali ya walimu nchini na kueleza kuwa katika uchunguzi wao wamebaini kuwepo kwa udanganyifu mkubwa kwa baadhi ya walimu ambao wengi walithubutu kughushi baadhi ya nyaraka ili kujipatia fedha kutoka serikalini. Alisema waliogundulika kughushi nyaraka watachukuliwa hatua za kisheria na kwamba wale ambao nyaraka zao zimeonesha hazina kasoro watalipwa madai yao kama inavyostahiki.

CAG AUNGURUMA KUHUSU MADAI YA WALIMU
C.A.G Otouh akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) kitabu cha ripoti ya uchunguzi wa ofisi yake juu ya madai ya walimu nchini mapema leo katika mkutano uliofanyika Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.

CAG AUNGURUMA KUHUSU MADAI YA WALIMU
C.A.G Otou akiteta jambo na Emmanuel Kalibashubaro, ambaye ni Mkaguzi wa Mahesabu wa Kanda (Zonal Auditor) mara baada ya mkutano wao na waandishi wa habari kumalizika.

PICHA YA MPIGA PICHA!
CAG AUNGURUMA KUHUSU MADAI YA WALIMU
Kutokana na mkutano wa C.A.G kuhudhuriwa na watu wengi, ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo ulionekana kuwa mdogo kiasi cha kuwalazimu baadhi ya mapaparazi kuamua kukaa chini. Hata hivyo, baada ya mtandao huu kuwamulika baadhi ya mapaparazi hao, walijikuta wakificha sura zao. Kilikuwa ni kisa cha “Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu”! Kupiga picha wenzao sawa, lakini si wao!

CAG AUNGURUMA KUHUSU MADAI YA WALIMU
Mdau wetu, John Bukuku, anayemiliki ‘blog’ ya full shangwe.com (mwenye kofia) akiwa ndani ya Idara ya Habari Maelezo pamoja na mapaparazi wenzake wakifuatilia ishu mbalimbali.

ULINZI NA USALAMA
CAG AUNGURUMA KUHUSU MADAI YA WALIMU
Mwenyekiti wa Chama cha Sekta ya Ulinzi Tanzania, Almas Maige, akiongea na waandishi wa habari leo (hawapo pichani) katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam juu ya masuala mbalimbali yanayohusu sekta hiyo na mkutano wao mkuu unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.Kulia ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Isaya Maisela.

PICHA:CHRISTOPHER LISSA NA RICHARD BUKOS /GPL
    (20 November 2009)
Views: 75 | Maoni (0) |

 

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA

photos  
RAIS Jakaya Kikwete jana alizindua ziara ya Kombe Dunia la Shirikisho la Kimataifa Duniani (FIFA) nchini sherehe iliyofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kombe hilo liliwasili jana uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere ambapo lilipokelewa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Mh. Joel Bendera na kasha kulipeleka Uwanja wa Taifa.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Wasanii wa kikundi cha Simba Theatre wakitoa burudani kabla ya kombe hilo kuwasili uwanja wa ndege.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Mh. Bendera (katikati) akipiga stori wakati wa kusubiri ujio wa kombe.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Msanii wa Simba Theatre akionyesha manjonjo kwa kupiga filimbi akitumia pua.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Dege lililoleta kombe likiwasili uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Wasanii wa kundi la Tanzania House of Talent (THT) wakitoa burudani Uwanja wa Taifa ambapo ziara ya kombe hilo ilizinduliwa.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Rais Jakaya Kikwete (katikati) akiwasili Uwanja wa Taifa kwa ajili ya kuzindua kombe hilo. Kushoto ni mkewe, Mama Salma Kikwete, na kulia ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Mh. Joel Bendera.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) Leodgar Tenga (kushoto), akimueleza jambo Rais Kikwete dakika chache kabla ya kuzindua kombe hilo.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Hivi ndivyo ‘JK’ alivyoanza uzinduzi wa kombe la FIFA.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Rais akiwa amefunikwa na maua wakati akizundua kombe hilo.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Kombe likipata busu la Rais baada ya kulizindua. Kulia ni mmoja wa maofisa wa FIFA aliyekuwa kwenye msafara wa kombe hilo.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Rais Kikwete akitabasamu wakati ameshikilia kombe hilo.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Alfred Tibaigana (kushoto) naye alikuwepo katika uzinduzi huo.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Hii ni sehemu ya watu waliofika uwanjani hapo kulishuhudia kombe hilo.

JK ALIVYOLIPOKEA KOMBE LA DUNIA
Kundi la THT likitoa burudani baada ya Rais Kikwete kumaliza uzinduzi.

PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL
    (20 November 2009)
Views: 120 | Maoni (1) |

 

Mkapa azidi kulegea

Habari mbalimbali  
Mkapa azidi kulegea
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa

*Sasa aomba Watanzania wampime
*Ajigamba alichapa kazi akiwa Ikulu
*Aambiwa aombe radhi asamehewe
Kuna kila dalili kwamba Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, ameanza kulegea juu ya msimamo wake wa kutokujibu tuhuma dhidi yake za kupoteza uadilifu akiwa madarakani...
    (20 November 2009)
Views: 419 | Maoni (7) | Soma Zaidi

 

Wafadhili waitisha serikali

Habari mbalimbali  
Wafadhili waitisha serikali
Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo

*Wataka hatua zaidi dhidi ya ufisadi zichukuliwe
*Vinginevyo hawatatoa fedha zao mwakani

Nchi wahisani zimeiambia serikali iongeze nguvu zaidi katika kupambana na ufisadi vinginevyo watafikiria upya iwapo kuna haja ya kuendelea kuchangia bajeti ya serikali...
    (20 November 2009)
Views: 138 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

My God

ijumaa  
My God

Christopher Lissa na Ismail Mang'ola
Mpambano wa aina yake kati ya wafuasi wa madhehebu ya kilokole, wanaosali Kanisa la International Pentecost Holiness Ebenezer dhidi kijana anayedhaniwa kuwa ni mchawi, yamefanyika na kuacha mtikisiko mkubwa wa kiimani kwa walioshuhudia...
    (20 November 2009)
Views: 1149 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

SEPTEMBER 11 Yafanya kweli mtaani

ijumaa  
SEPTEMBER 11 Yafanya kweli mtaani

Sisi kama ShowBiz tumewahi kushuhudia muvi kibao za Kibongo nzuri lakini kwa upande wa Septemba 11 ambayo imeshuka kitaani hivi karibuni inaweza ikawa zaidi kutokana na kazi iliyogongwa na mastaa wengi waliopata nafasi ya kushiriki kunako mzigo huo...
    (20 November 2009)
Views: 456 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

IJUMAA SEXIEST BACHELOR TOP 4

ijumaa  
IJUMAA SEXIEST BACHELOR TOP 4

Kupitia mpambano huu wa kumtafuta staa wa kiume mwenye mvuto wa kimahaba, Ijumaa Sexiest Bachelor wiki iliyopita tuliwataarifu kuwa leo tutashuka na Top 3, lakini kutokana na washiriki wawili kufungana kwa kupata idadi sawa ya kura huku Jerry Tegete akiambulia kura chache zaidi, imebidi wanne waingie kwenye Top 4 ambapo baadaye itatafutwa tatu bora kwa ajili ya kumpata mshindi mmoja...
    (20 November 2009)
Views: 291 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Aunt Ezekiel ni kweli nilifumaniwa

ijumaa  
Aunt Ezekiel ni kweli nilifumaniwa
Aunt Ezekiel

Na mwandishi wetu
Msanii wa filamu nchini, Aunt Ezekiel ameibukia ‘midia’ nyingine akidai kuwa, fumanizi aliloandikwa kupitia gazeti la mastaa wa Bongo, Risasi Jumamosi si la kweli na wala hana uhusiano usiyofaa na mwanaume huyo...
    (20 November 2009)
Views: 1856 | Maoni (12) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com