Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
 
| |
 |
|
|
 |
 |
|
 |
ikawa kila siku anamuogesha huyu mtoto kitu ambacho kiliwapa moyo hawa wazazi kuwa kijana huyu anafahamu kazi yake ipasavyo kumbe alikuwa fisi mla watu. Kadri siku zilivyokwenda ndivyo yule mtoto alivyokuwa anaharibikiwa sehemu za nyuma na kuanza kutoa HAJA KUBWA pasipo kujitambua. Huyu houseboy alivyogundua akaanza kumwekea pamba kwenye ****** ili haja kubwa isiwe inaonekana na kuchafua nguo anapokwenda shule na muda anapokuwa na wazazi wake. Just imagine mtoto wako anajazwa MAPAMBA kwenye ****** ili haja kubwa inayotoka bila breki isionekane JESUS CHRIST MY LORD.
Sasa kilichosababisha kugundulika kwa unyama huu ilikuwa ni siku ambayo ilikuwa ni weekend na huyu kijana alikuwa bado hajamuogesha huyu mvulana na ilibid aende kumpokea mgeni wa bosi wake stendi kabla hajamuogesha huyu mvulana. Hoseboy huyu aligoma kabisa kwenda kumpokea mgeni yule kwa madai kuwa mpaka amuogeshe mtoto yule jambo lilipingwa sana na mabosi wake kwa nguvu zote. Lakini kutokana na kuwa mabosi wana nguvu yule houseboy ilibidi aende shingo upande.
Sasa Mama Mzazi wa yule mtoto alipotaka kumuogesha yule mtoto alikataa katakata hali iliyomshtua Mama mtu na kumuita Baba mtoto (mumewe) ili yeye amuogeshe lakini bado yule mtoto alikataa mpaka alipotishiwa kuchapwa. Sasa kwenda bafuni na kuanza kumuogesha yule mtoto ndipo Baba mtoto alipopata mshtuko wa milele pale alipokuta mwanae amejazwa MAPAMBA matakoni. Na alipodadisi kwa undani ndio akapewa story nzima. Kijana alikamatwa yuko polisi lakini ndio hivyo mtoto keshaharibika kwa kiwango kikubwa.
Lengo langu la kuweka makala hii hapa ni kujaribu kukumbushana kuwa sio kila kazi anaachiwa house boy au house girl, wakina mama wa siku hizi (Dot com) wamejibweteka sana wakiamini hela inafanya kila kitu jambo ambalo si kweli na linaleta madhara makubwa sana kwenye familia nyingi, lisipofanyiwa kazi kwa ukaribu, mzazi yuko busy akitoka job anapitia bar kupata bia mbili tatu na washkaji zake au na mume wake while familia imeachiwa wafanyakazi wa ndani ambao wanajiamulia kufanya mambo wanayotaka wao hata chakula wanapanga wao leo familia ile nini, mfanya kazi wa ndani akisahau kuangalia luku kama imefikia unit ngapi familia nzima inalala giza kwani umeme unaisha saa nane usiku hiyo luku itanunulia wapi usiku huo??
kwakuwa wazazi hawana time na nyumba zao, tunatakiwa tubadilike sana tuwe karibu na familia zetu unaporudi job nenda straight home kacheki situation inakwendaje then uamue kutoka kwenda kupata hizo bia zako, watoto wanapelekwa na mabas ya chule asubuhi na kurudishwa jioni tena wanalipiwa na tuition ili warudi around saa moja jioni kwani nyumbani kila mtu yuko busy na mambo yake, wazazi wanaporudi wanakuta watoto wamelala hata mapenzi na watoto hatuna kabisa tunajidanganya taishi kidhungu, mara moja moja sana tunawadanganya watoto kuwapeleka mlimani city, na beach kuswim, na slipway kuchezea mabembea once a month tena kwa kujilazimisha sana na ikifika saa kumi nambili tu watoto wanarudishwa faster home ili wazazi wakajirushe mpaka majogoo hali hii itaisha lini?
kama house boy ndo anampa msosi, anamfulia, anamuogesha, anamlisha, anajoke nae ataacha kuwa wae karibu kimwili na kiroho? kwanini wazazi tumeamua kuadapt onyesha yale ambayo niliyasema na pia kusemwa na wadau wa jamvi hapa kuhusu kuharibiwa kwa watoto wetu wa kiume pamoja na wadogo zetu wa kiume jambo ambalo linawapelekea kuwa na tabia za ajabu ikiwa ni pamoja na tabia za kishoga hapo baadae baada ya kuizoea hali hii ya kinyama.
MUNGU ATUSAMEHE NA ZAIDI ATULINDE NA KUWALINDA WATOTO NA WADOGO WETU WA KIKE NA WA KIUME WAKUE CHINI YA ULINZI WAKE WA KIMUNGU. AMEN
|
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|