arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Articles for 26.11.2009

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Zanzibar yaalikwa Yemen ...
» MPANJIA SPECIAL
» Dada kamuambukiza ukimw ...
» Nataka kichwa cha mwana ...
» Mwimbaji wa Melody atuz ...
» HATIMAYE MISS PASAKA AP ...
» Johari

 

Mafuriko yauwa watu 48 Saudi Arabia

Habari mbalimbali  
*Watu arobaini na nane wamefariki katika mji wa bandari wa Saudi Arabia wa Jeddah kufuatia kunyesha kwa mvua kubwa sana kuwahi kushudiwa nchini humo katika miaka mingi.

Mafuriko yauwa watu 48 Saudi Arabia
Mahujaji wa Kiislamu wakiwa katika Mlima Arafat nchini Saudi Arabia leo kukamilisha ibada ya hija.

Baadhi ya watu wamekufa maji, wengine wamekufa kutokana na kuanguka kwa madaraja na kutokana na ajali za magari.Ibada ya hija inayofanyika katika mji mtakatifu wa Mecca nchini Saudi Arabia imetibuliwa na mvua hiyo kubwa...
    (26 November 2009)
Views: 263 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

Obama sasa kuhudhuria mkutano wa Copenhagen

Habari mbalimbali  
Obama sasa kuhudhuria mkutano wa Copenhagen
Rais wa Marekani, Barack Obama

Taarifa kutoka Washington, zinasema kwamba, Rais Barack Obama, ameamua sasa kuhudhuria binafsi ule mkutano wa kilele wa kuzuia uchafuzi wa hali ya hewa utakaofanyika mwezi ujao mjini Copenhagen,Denmark.Marekani inapanga kutangaza mpango wake wa kwanza kabisa wa kupambana na moshi unaochafua mazingira...
    (26 November 2009)
Views: 132 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Mkuu wa majeshi ya Ujerumani ajiuzulu

Habari mbalimbali  
Mkuu wa majeshi ya Ujerumani ajiuzulu
Mkuu wa majeshi ya Ujerumani Jenerali Wolfgang Schneiderhan

Akitoa taarifa hiyo bungeni Waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Karl-Theodor zu Guttenberg, alisema Bwana Schneiderhan ameomba mwenyewe kuacha kazi...
    (26 November 2009)
Views: 212 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Ireland: Kanisa Katoliki linavyopuuza manyanyaso ya kingono kwa watoto

Habari mbalimbali  

Ireland: Kanisa Katoliki linavyopuuza manyanyaso ya kingono kwa watoto
Sehemu ya ndani ya kanisa moja huko Ireland.

Ireland: Kanisa Katoliki linavyopuuza manyanyaso ya kingono kwa watoto
Andrew alikuwa na umri wa miaka 11 aliponyanyaswa kingono.

KWA mujibu wa Ripoti itakayotolewa na Ryan (Ryan Report), msimamo ambao Kanisa Katoliki la Dublin linavyoshughulikia vitendo vya unyanyasaji dhidi ya watoto, utakuwa ni wa kutisha...
    (26 November 2009)
Views: 227 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Huyu ni Michael Jackson mtoto

Videos  
Bonyeza 'PLAY' upate burudani kutoka kwa Michael Jackson mtoto

    (26 November 2009)
Views: 81 | Maoni (0) |

 

PICHA YETU YA LEO

photos  
SI BONGO TU PENYE TATIZO LA KUEGESHA MAGARI ANGALIA KWA WENZETU HAWA

PICHA YETU YA LEO
    (26 November 2009)
Views: 156 | Maoni (3) |

 

JENNIFER MGENDI KUZINDUA KIU YA NAFSI NOVEMBA 29

photos  
Staa wa muziki wa injili nchini Jennifer Mgendi, Novemba 29 mwaka huu anatarajia kuzindua albamu yake iitwayo Kiu ya nafsi.Katika uzinduzi huo atasindikizwa na wasanii kibao wa muziki huo ambao ni Bahati Bukuku a.k.a Mama maadili, Cosmas Chidumule, Charles Jangalason, Neema Mwaipopo, Christina Mwang’onda, Ann Annie, Whispers Band, Trinity Band na Wema Sanga.

Shughuli hiyo itafanyika ndani ya Ukumbi wa Land Mark Hotel uliopo maeneo ya ubungo jijini Dar es Salaam, na albamu hiyo imebeba vibao kumi ambavyo ni Jaribu langu, Nivute kwako, Ni yesu Mnazareti, Nifundishe kusifu, Nitasubiri, fadhili, Kutapambazuka, Neno lako, Yesu yupo na Kwake nitatumai.

JENNIFER MGENDI KUZINDUA KIU YA NAFSI NOVEMBA 29
Jennifer Mgendi akiwa katika picha ya pozi

JENNIFER MGENDI KUZINDUA KIU YA NAFSI NOVEMBA 29
Hapa akiwapa akapela ya baadhi ya nyimbo zake waandishi wa mtandao huu alipotembelea ofisi za Global Publishers, Bamaga jijini Dar es Salaam leo.

JENNIFER MGENDI KUZINDUA KIU YA NAFSI NOVEMBA 29
Hapa midadi ya kuimba ilizidi kumpanda.

PAMOJA NA AJALI NITAKOMAA NA GAME-JITTA MAN
JENNIFER MGENDI KUZINDUA KIU YA NAFSI NOVEMBA 29
Staa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Lissu Ibrahimu a.k.a Jitta Man au Nzagamba Mamba au Teminator kama anavyojiita hivi sasa akiwa katika picha ya pozi ndani ya ofisi za tovuti hii leo.Mchizi alisisitiza kuwa pamoja na ajali aliyopata Mwanza hivi karibuni na kumuathiri vibaya lakini bado ataendelea kukamua katika game.Jamaa yuko mbioni kuachia ngoma itakayokwenda kwa jina la Nawasabahi akimshirikisha The Heavy Weight MC, Bongo, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ a.k.a Mti mkavu.

JENNIFER MGENDI KUZINDUA KIU YA NAFSI NOVEMBA 29
Jitta Man (Kushoto) akiwa na Mhariri wa gazeti la Championi Elius Kambili ambaye ni swahiba wake mkubwa.

KISHOKA
JENNIFER MGENDI KUZINDUA KIU YA NAFSI NOVEMBA 29
Jamaa huyu alinaswa na kamera yetu katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam akichokonoa umeme bila kutumia vifaa vyovyote vya kujikinga hali ambayo inaweza kuhatarisha usalama wake.

PICHA: CHRISTOPHER LISSA NA RICHARD BUKOS /GPL
    (26 November 2009)
Views: 142 | Maoni (0) |

 

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

photos  
Mwanahabari mkongwe ndani na nje ya nchi ambaye kwa sasa anafanya shughuli zake Washington nchini Marekani, Mobhare Matinyi, leo alitembelea ofisi za Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Amani, Risasi, Champion na Ijumaa Wikienda na kuongea na waandishi kuhusu tasnia ya habari na kuwaambia changa moto mbalimbali ambazo amezipitia wakati akifanyakazi na kampuni ya Business Times, wachapishaji wa gazeti la Majira na hadi kufikia huko aliko sasa. Amesema kuwa siri ya mafanikio yake ni kufanyakazi kwa bidii na maarifa.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Global Pulishers, Richard Manyota, akizungumza na wafanyakazi wa Global Publishers kabla ya kumkaribisha Mobhare Matinyi, kuzungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Matinyi (kulia) akiwa kwenye pozi kabla ya kuanza kuzungumza na wafanyakazi wa Global Publishers. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Sehemu ya wafanyakazi wa Global wakimsikiliza Matinyi.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Matinyi akisistiza jambo wakati akiongea kwenye mkutano huo.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Mhariri Mtendaji wa Global, Richard Manyota, akiwa kwenye kiti chake wakati akimsikiliza Matinyi.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdalah Mrisho (kushoto), akimpa mkono wa pongezi, Matinyi baada ya kumaliza mazungumzo na wafanyakazi.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Mhariri Kiongozi wa magazeti ya Championi, Saleh Ally, akitoa shukrani kwa Matinyi kwa yale aliyomfundisha miaka kadhaa iliyopita katika fani ya uandishi wa habari.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Mhariri wa gazeti la Amani, Sifael Paul, maarufu kama Kigogo Mzito, akiuliza swali juu ya uwezekano wa waandishi wa nchini kushirikiana na magazeti ya Kiswahili yaliyopo nchini Marekani na Uingereza.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Msanifu kurasa wa Global, Moses Makambi, akinyoosha mkono kumshukuru Matinyi kwa kumfundisha kusanifu kurasa katika siku za nyuma.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Meneja Mkuu wa Global, Abdallah Mrisho, akimshukuru Matinyi baada ya mazungumzo yaliyowapa hamasa na mafunzo wafanyakazi wa kampuni yake.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Mhariri Mtendaji wa Global, Richard Manyota akimpa mkono wa pongezi, Matinyi, baada ya kufunga mkutano huo. Katikati ni Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Baada ya mazungumzo, Matinyi alifika mezani kwa Mhariri Mtendaji wa Global kuangalia uzalishaji wa magazeti ya kampuni hiyo.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Matinyi (kulia) akiangalia kazi za mmoja wa wasanifu kurasa wa Global Publishers.

MOBHARE MATINYI ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Mgeni huyo (katikati) alimalizia mazungumzo yake ofisini kwa Meneja Mkuu Abdalah Mrsho (kushoto). Kulia ni Mhariri Mtendaji Richard Manyota.

PICHA: RICHARD BUKOS /GPL
    (26 November 2009)
Views: 139 | Maoni (3) |

 

Kila la heri kwa mategemeo mema ya CUF

Habari mbalimbali  
Kila la heri kwa mategemeo mema ya CUF

Kila la heri kwa mategemeo mema ya CUF

• Wakumbuke miafaka mitatu “waliliwa chenga” na CCM
• Tatizo kubwa ni uadilifu katika chaguzi Zanzibar

Na Walusanga Ndaki

KWA watu wasiokuwa na ushabiki wa vyama vya siasa – watu wenye kuweka maslahi ya taifa lao kwanza, ni dhahiri wataunga mkono hatua ya Chama cha Wananchi – CUF – kumtambua Amani Karume kama rais wa Zanzibar na serikali yake. Lakini pia, kwa watu watu wasiokuwa na ushabiki wa vyama vya siasa, na ambao wamekuwa wakiyafuatilia kwa masikitiko matukio mengi huko Zanzibar tangu mwaka 1995 ni dhahiri watakumbuka kwamba pamekuwepo na makubaliano (Miafaka) yaliyofikiwa mara tatu kati ya CUF na Chama Cha Mapinduzi (CCM),
    (26 November 2009)
Views: 135 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

TWANGA WAFUNIKA BILLICANAS

photos  
TWANGA WAFUNIKA BILLICANAS
Safu ya wanenguaji wa bendi ya African Stars (Twanga Pepeta) wakishambulia jukwaa wakati bendi hiyo ilipofanya onesho ndani ya ukumbi wa Cub Billicanas (Muc Mo) uliopo katikati ya jiji la Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.

TWANGA WAFUNIKA BILLICANAS
Mwimbaji nyota wa ‘Twanga’, Saulo John (Ferguson) akipagawisha mashabiki.

TWANGA WAFUNIKA BILLICANAS
Mnenguaji nyota wa Twanga, Lilian Tungaraza (Liliani Internet) akiwa amemdandia shabiki na kumkatia mauno kisawasawa wakati wa onesho hilo.

TWANGA WAFUNIKA BILLICANAS
Lilian Internet akionesha kipaji chake baina ya jukwaa na mwili wake.

TWANGA WAFUNIKA BILLICANAS
Mnenguaji mwenye mvuto mahsusi wa wana-Twanga, Aisha Mbegu Madinda akiwajibika jukwaani.

TWANGA WAFUNIKA BILLICANAS
Chiriku wa kike wa Twanga, Luiza Nyoni Mbutu akitoa burudani jukwaani.

PICHA: CHRISTOPHER LISSA NA MUSA MATEJA/GPL
    (26 November 2009)
Views: 193 | Maoni (1) |

 

Vunja mbavu

Vichekesho na Udaku  
Vunja mbavu

Vunja mbavu

Vunja mbavu

Vunja mbavu


Vunja mbavu
    (26 November 2009)
Views: 251 | Maoni (0) |

 

Mzozo wa Sophia Simba watua Z'bar

Habari mbalimbali  
Mzozo wa Sophia Simba watua Z'bar
Mh, Sophia Simba

• Makamu wake asema ni tishio UWT

SAKATA la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), limechukua sura mpya, baada ya Mwenyekiti wa umoja huo, Sophia Simba, kuelezwa kuwa ni tishio, ndiyo maana amekuwa akipigwa vita na baadhi ya wanasiasa tangu kushika nafasi hiyo...
    (26 November 2009)
Views: 462 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Spika asisitiza Richmond bado mzigo wa serikali ya Kikwete

Habari mbalimbali  
Spika asisitiza Richmond bado mzigo wa serikali ya Kikwete
Spika, Samweli Sitta

Aitaka serikali iwe wazi,itoe taarifa za kweli

WIKI moja baada ya Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo kusema Ikulu imeliachia Bunge kuamua sakata la mkataba wa kifisadi kati ya Shirika la Umeme (Tanesco) na Kampuni ya Richmond Development (LLC); Spika wa Bunge, Samuel Sitta ameibuka na kusema kuwa serikali lazima iwe wazi na kutoa majibu kwakuwa suala hilo ni la kwao...
    (26 November 2009)
Views: 169 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Mtoto wa waziri afanyia ‘madudu’ Dar

Amani  
Mtoto wa waziri afanyia ‘madudu’ Dar

Na Mwandishi Wetu
MVULANA anayedaiwa ni mwana wa damu wa Naibu Waziri wa wizara moja nyeti Bongo (jina tunalo), amefanya aibu kubwa jijini Dar kufuatia kupiga picha chafu za utupu akiwa na Miss maarufu aliyeshiriki Shindano la Balozi wa Kiswahili 2009, Rehma Fabian ‘Video Queen’, Amani linapambanua neno kwa neno...
    (26 November 2009)
Views: 2380 | Maoni (7) | Soma Zaidi

 

CPWAA, ajiweka kwa demu wa kizungu!

Amani  
CPWAA, ajiweka kwa demu wa kizungu!

Bongo Fleva imekula bonge la shavu kwa mtasha baada ya The Hip hop icon Bongo, Ilunga Khalifa ‘C-Pwaa’ hivi juzi kati kubambwa akiminya kimtindo na demu mwenye rangi ya Bara la Ulaya...
    (26 November 2009)
Views: 564 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com