Timu ya Yanga SC imeibuka kifua mbele baada ya kuwafunga Sofapaka kwa mabao 2-1 katika mpambano wa kukatana shoka, uliopigwa hii leo na kufanikiwa kutwaa kombe la michuano hiyo ya Tusker. Zifuatazo ni baadhi tu ya picha za mtanange huo, nyingine zitafuata hapo baadae:
Dear Guest you have enter our site without being Registered. We recommend to register to view more...
"Mgeni wetu unatakiwa Kuregista kupata Udaku Wote..."
YANGA OYEEEEEEE.......yaaani leo tena na kula batatena kama juzi yanga mnanipa raha saana maana leo naye arsenal kashinda tunashukuru saaana kwa kutupa update news sisi tiliyo mbali na nchi yetu...yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeeee sasa fukuza simba kwenye ligi napo....
Hongera sana wana Jangwani,yaani mmtupa raha sana sisi wapenzi wenu mana juzi ummemcheze mnyama sharubu na kutupa zawadi ya nzuri ya Xmass leo mmechukua kombe la Tusker kweli naufunga mwaka kwa raha zangu,YANGA IMARA DAIMA.
Kutokana na uwezo mkubwa wa wachezaji wa yanga ,ilistahili kuwa bingwa na inshallah imekuwa hivyo , yanga iliinyoa masharubu simba na ingeshindwaje masharubu ya paka.