arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Amani

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» The assassination -75
» SISI ND'O SISI
» ‘Mkapa, Sumaye wamo’
» POTRAIT YA OLYMPIC
» Usafi kwa mwanamke ni k ...
» Miss Tanzania kesho kut ...
» Nimerudi kutoka kuzimu- ...

 

Aibu ya mwaka

Amani  
Aibu ya mwaka
Na Mwandishi wetu

Siku moja kabla ya kuingia kwa mwaka mpya wa 2009, msichana mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma mkazi wa Mbagala jijini Dar es Salaam, juzi amekutwa na aibu ya mwaka baada ya kubambwa akimsaliti mchumba wake ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja...
    (1 January 2009)
Views: 828 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA USICHANA

Amani  
JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA USICHANA

Aliyetufungia mwaka kwa kuyaanika maisha yake kupitia safu hii alikuwa ni mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha EATV au Channel 5 cha jijini Dar es Salaam. Huyu si mwingine bali ni Benny Kinyaiya...
    (1 January 2009)
Views: 1673 | Maoni (11) | Soma Zaidi

 

Maureen apigwa marufuku kutembea nusu uchi

Amani  
Maureen apigwa marufuku kutembea nusu uchi
Na Imelda Mtema

Mwanamitindo maarufu nchini Maureen Gislary amepigwa marufuku na bwana wake wa sasa kutembea akiwa amevaa nguo zinazoacha wazi sehemu zake nyeti za mwili wake kama alivyozoea...
    (1 January 2009)
Views: 522 | Maoni (11) | Soma Zaidi

 

KUACHA MATITI NJE NI FASHENI AU UMALAYA?

Amani  
KUACHA MATITI NJE NI FASHENI AU UMALAYA?
Na Waandishi Wetu

Tabia ya baadhi ya wasichana warembo kuvaa nguo zinazoacha matiti yao wazi imekuwa ikiacha maswali mengi miongoni mwa watu huku baadhi wakiuliza kwamba, kufanya hivyo ni sehemu ya urembo, fasheni au umalaya?
Wakiongea na Amani katika nyakati tofauti, baadhi ya watu wameeleza kuwa, wamekuwa wakishangazwa na staili hiyo ya uvaaji ambayo kwa namna moja inakwenda kinyume na maadili ya kitanzania...




    (25 December 2008)
Views: 913 | Maoni (18) | Soma Zaidi

 

MKESHA WA KRISMASI NA FUNGA MWAKA

Amani  
MKESHA WA KRISMASI NA FUNGA MWAKA
Na Waandishi Wetu

Matukio yaliyojiri na kunaswa na Waandishi Wetu jijini Dar es Salaam, kwenye mkesha wa Sikukuu ya Krismasi (jana Jumatano) na yale ya funga mwaka ni balaa tupu....
    (25 December 2008)
Views: 511 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

Lilian Internet amtega mume wa mtu

Amani  
Lilian Internet amtega mume wa mtu
Mariam Mndeme na Amina Salim

Mnenguaji mahiri wa Bendi ya African Stars ‘Twanga pepeta’ Lilian Internet hivi karibuni aliwaacha watu midomo wazi baada ya kuonesha vitendo ambavyo viliashiria wazi kumtega mume wa mtu ukumbini....
    (25 December 2008)
Views: 365 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

Ndoa ya Tedy na Mulumba…

Amani  
Ndoa ya Tedy na Mulumba…
Hamida Hassan na Issa Mnally

Licha ya msanii wa Bendi ya Diamond Musica Alain Mulumba kumvalisha pete ya uchumba msanii wa Kaole anayefahamika kwa jina la Tedy, ndoa yao imeonekana kuwa na utata kufuatia kuwepo na tetesi kwamba binti huyo sasa hivi anakula ‘gud taimu’ na msanii wa bongo fleva Rutta Bushoke...
    (25 December 2008)
Views: 396 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

MASIKITIKO: DAMU YAMWAGIKA MBELE YA PINDA

Amani  
MASIKITIKO: DAMU YAMWAGIKA MBELE YA PINDA
Na Richard Bukos

Mapokezi makubwa ya Timu ya Taifa, ‘Taifa Stars’ yaliyofanyika Desemba 15 mwaka huu yalileta masikitiko na kumwaga damu nzito mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda...



    (18 December 2008)
Views: 1003 | Maoni (10) | Soma Zaidi

 

UWOYA: KWELI NAVUTA BANGI

Amani  
UWOYA: KWELI NAVUTA BANGI
Na Mwandishi Wetu

Mlimbwende aliyeshika nafasi ya tano katika kinyang’anyiro cha kumsaka Miss Tanzania mwaka 2005 ambaye pia kwasasa ni tishio katika sanaa ya uigizaji, Irene Uwoya ameweka bayana kuwa anavuta bangi....
    (18 December 2008)
Views: 1136 | Maoni (20) | Soma Zaidi

 

Nyoshi ashindwa kuwalea .....

Amani  
Na Waandishi Wetu

Kiongozi wa Bendi ya FM Academia Nyosh El –Saadat, hivi karibuni ameonesha kushindwa kuwalea watoto aliozaa na marehemu mke wake Rukia Bruno na kuamua kuwapeleka kwa bibi yao mzaa mama, anayeishi Tandale kwa Mtogole jijini Dar es Salaam, Amani limedokezwa...
    (18 December 2008)
Views: 283 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Tunachezeshwa uchi Uarabuni

Amani  
Tunachezeshwa uchi Uarabuni
Mariam Mndeme na Amina Salim

Mmoja wa wanenguaji maarufu nchini aliyewahi kufanya kazi na bendi mbalimbali ambaye ni miongoni mwa wasichana waliowahi kwenda Uarabuni kwa kazi ya unenguaji ametoboa siri ya kwamba, baadhi ya wanaokwenda huko huchezeshwa uchi kwenye makasino...
    (18 December 2008)
Views: 645 | Maoni (9) | Soma Zaidi

 

Mastaa watikisa kwa skendo

Amani  
Mastaa watikisa kwa skendo
Na Mwandishi Wetu

Wakati kalenda ikibakiza siku 13 (kuanzia kesho Ijumaa) kuuweka kando mwaka 2008 na kuingia mwaka mpya wa 2009, mastaa kibao nchini wametajwa kutikisa kwa skendo katika vipindi tofauti....
    (18 December 2008)
Views: 411 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Filamu ya From China With Love

Amani  
Filamu ya From China With Love
Na Imelda Mtema

Filamu ambayo ni ya kwanza Tanzania kuchezwa katika kiwango cha kimataifa inayokwenda kwa jina From China With Love inatarajiwa kurushwa ‘Live’ katika kituo cha Televisheni cha Star TV...
    (18 December 2008)
Views: 494 | Maoni (6) | Soma Zaidi

 

TID OUT

Amani  
TID OUT
Na Catherine Kassally

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Khalid Mohammed a.k.a TID juzi alikuwa miongoni mwa wafungwa 4,306 waliopata msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete...
    (11 December 2008)
Views: 1260 | Maoni (26) | Soma Zaidi

 

UMAFIA!

Amani  
UMAFIA!
Na Mussa Mateja

Mrembo mmoja ambaye hakufahamika jina lake, hivi karibuni alifanyiwa umafia na ufirauni wa kutisha na kundi la vijana waliomdaka muda mfupi baada ya kukwapua simu na kuisunda sehemu zake za siri...

    (11 December 2008)
Views: 1535 | Maoni (22) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 17 18 19  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com