Na Mwandishi Wetu Wakati jamii ya muziki wa Kizazi Kipya na mashabiki wao wakiwa bado katika maombolezo ya msiba wa Julieth D. Mrina ‘Pendo’ (24), kubwa zito limeibuka kuhusu anayetajwa kuwa ni mchumba wake, Hamad Ally ‘Madee’, Amani limekusanya vielelezo...
Kulwa Mwaibale na Musa Mateja Askari Polisi mmoja wa kike Faraja Jabir, anayedaiwa kujifanya ni Sekretari wa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, kwa kushirikiana na wenzake watatu wanatuhumiwa kumshushia kipigo ‘hevi’ kijana mmoja muuza samaki aitwaye Sunday John mkazi wa Tabata Kisiwani, jijini Dar es Salaam na kumjeruhi...
Na Mwandishi Wetu Mcheza filamu ‘seksi’ Bongo, Aunt Ezekiel Grayson Jujuman ‘Gwantwa’ na Staa mwenye heshima tele kunako Muziki wa kizazi Kipya, Joseph Haule ‘Prof Jay’, hivi karibuni wamebabwa ‘laivu naiti’ kali wakijiachia kwa raha zao...
Na waandishi Wetu Jamaa mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Jafari a.k.a Osama au Kigogo, mkazi wa Mtaa wa Itungi uliopo Magomeni Mwembechai, jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alijikuta akipatwa na aibu ya mwaka baada ya kufanyiwa umafia wa kutisha, chanzo kikidaiwa kuwa ni kukutwa na mke wa mtu...
Na Haruni Sanchawa Tukio la kutekwa na kunusurika kuuawa kwa wanachuo wawili wa kike wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Biashara cha Dar es slaam City College (DACICO), kilichopo Kimara, jijini Dar es salaam, limeibua hofu kubwa miongoni mwa baadhi ya wakazi wa jiji, Amani lina kitu kamili...
Na Mwandishi Wetu Mkazi mmoja wa Manzese Argetina, jijini Dar es Salaam, aliyetambuliwa kwa jina la Richard Epro (28), amechomwa kisu mbavuni na kijana mwenzake aliyejulikana kwa jina la Calvin Henry baada ya kukataa kumuuzia kipisi cha bangi...
Na Imelda Mtema Katika hali iliyotafsiriwa kama miujiza, kijana mmoja aitwaye Ramadhan Masta, amegeuza jeneza kuwa makazi yake ya kudumu kwa kwa kile alichosema kwamba hana sehemu ya kuishi kwa sasa...
Na Musa Mateja Mnenguaji ‘sistaduu’ wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Suzane Chugwa ‘Queen Suzy’, hivi karibuni alifanyiwa mbaya na jamaa aliyedaiwa kuwa ni Bwana‘ake aliye pia Rapa wa Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’, Seven baada ya kupishana kauli...
Na Mwandishi Wetu Nyuma ya matukio yasiyo ya ‘nomo’ yanayowakumba wachekeshaji wa Kundi la Orijino Komedi kumeonekana kuzungukwa na pepo wa mauti anayesaka roho za wasanii hao, Amani limejiridhisha na vielelezo lilivyo navyo...
Na Issa Mnally Washiriki wawili ambao walikuwemo ndani ya Kijiji cha Maisha Plus, jijini Dar wameibuka na kudai kwamba, kambi ya shindano hilo ilijaa mambo ya kishirikina, fitina na majungu, Amani lilikaa nao kitako barazani...
Na Mwandishi Wetu Wabongo wanaopendelea ‘msosi’ wa kuku, hasa wa kisasa na chips, wapo katika hatari za kiafya zaidi kutokana na madai kwamba, baadhi ya wafugaji wamekuwa wakiwakuza kuku hao kwa kutumia vidonge vya kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi (ARV), Amani lina data za kutosha...
Wiki hii Amani Vibes ‘imeperuzi’ na kufanikiwa kubaini maisha ya baadhi ya waimbaji maarufu wa kike wa nyimbo za Injili Bongo wanaoishi ‘singo,’ aya zinazofuata zinaweka wazi kila kitu...
Kutoka mipasho, Amani Vibes wiki hii inakudondoshea presenta mkali wa program ya ladha za mwambao kinachorushwa hewani na Kituo cha Runinga cha TBC 1, Miriam Migomba, ambaye juzikati macho yake yaligeuka story kubwa among members waliokuwa eneo la tukio, Richard Bukos anakupa kitu kamili...
Kama kawa, lile tamasha la wasanii wa industry ya movie Bongo, litachukua nafasi Jumamosi hii pande za Viwanja vya Oasis Pub, Kinondoni, jijini Dar ambapo sambamba na burudani kedekede, Bendi ya Diamond Sound ‘Vijana Classic’, itamwaga burudani the history...
Na Musa Mateja *LAMTIA KIWEWE, APATA AJALI, AKIMBIZWA HOSPITALI, HOFU YAZIDI KUTANDA! Kabla ya kituko cha Ombaomba jini aliyeyuka na mwanamke mrembo katika Daraja la ‘Salenda’ Posta, jijini Dar es Salaam kupoa, pepo huyo anadaiwa kumvaa mchekeshaji ‘5 star’ wa Kundi la Orijino Komedi, Lukas Mhuvile ‘Joti’...