arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Bongo Dictionary

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» The Sex Slave -41
» IMEFICHUKA: Hivi ndivyo ...
» TID OUT
» My ghosts(33)
» Pesa na mapenzi ni sawa ...
» BREAKING NEWS:::: TIGO ...
» TFF yazivuruga Simba, Y ...

 

KUTOKA KWENYE KAMUSI YETU

Bongo Dictionary  
kiswatu: Neno hili lina maana ya mwanamke mzuri, au msichana mzuri ambaye anavutia…

Ankara /Mapene: Ni pesa zote zina maana sawa
“Ee bwana nasikia harufu ya Ankara” fedha.

Kuua Bendi: Kufanya kitu ambacho sio kizuri, kusababisha maafa, hii mara nyingi hutumika kama kuharibu.

Kumchomolea: Ni hali ya kukataa kitu Fulani, inawezekana msemo huu ukatumika zaidi katika kuruka jambo Fulani hata kama limetendeka au lina ukweli ndani yake, kukataa.

Kupewa Manyoya: Kumpa mtu ahadi ya uongo isiyokuwa na muendelezo, Ahadi ya Uongo.

Kuchomeshwa Mahindi: kumsubiri mtu kisha asiweze kufika kwa muda muafaka au asifike kabisa katika miadi ambayo mnakuwa mmepeana.
Zinazokaribiana.

Pesa
Mnakwezi – ni pesa kama sarafu inategemea kama ni shilingi mia mbili, mia moja, shilingi ishirini, kumi almradi ni pesa ya sarafu.
Paund – ni sarafu ya shilingi kumi, Fiu – shilingi hamsini Bati /jiti – shilingi mia moja, Karume – shilingi mia mbili, bati tatu – mia tatu
Jerome/ jero- mia tano, Samba / wekundu – elfu kumi

Fundi Redio: Mtu apendaye kuongea maneno yasiyo na msingi au mtu mmbea aongeleaye mambo ya watu yasiyomhusu

(NAWE TUTUMIE MANENO YAKO YA MTAANI: info@globalpublisherstz.com, uwazi@hotmail.com)[/color]
    (5 July 2008)
Views: 88 | Maoni (0) |

 

KAMUSI YETU LEO

Bongo Dictionary  
SHOBOKEA: kubabaikia mtu au jambo ili kupata sifa (John anapenda kushobokea watu hovyo)

MKWANJA: Fedha (jamaa anao mkwanja)


MTU WANGU: Rafiki, jamaa, mpenzi (George ni mtu wangu, tutaelewana)

KUMTOA KAFARA: Kutomjali mtu anayekulilia shida au kumuingiza mtu kwenye matatizo ambayo hayamuhusu

MBWIGA: Mtu mgumu kuelewa jambo

KUSEPA: Kuondoka

(NAWE TUTUMIE MANENO YAKO YA MTAANI: info@globalpublisherstz.com, uwazi@hotmail.com)
    (28 May 2008)
Views: 118 | Maoni (0) |

 

KAMUSI YA MTAANI

Bongo Dictionary  
Kwa wenzetu mlio mbali na misemo ya mtaani, hii ni fursa nyingine ya kuwa na kamusi yako ya maneno ya mtaani ambayo tutayakusanya hapa ili yakuwezeshe kuelewa kinachoendelea unapokutana na vijana wa kibongo wakiongea.

KUJIACHIA: kuwa mtulivu, furahia.

MZUKA/MZUKS: Ari ya kutaka kufanya kitu safi

JIWE: Askari wanaopanda daladala ambao kwa kawaida huwa hawalipi nauli

KUMPA SHAVU:Kumshirikisha mtui kwenye kitu cha mafanikio

KUUZA SURA: kuonekana kwenye TV au magazeti

PARKING: Chooni.
    (19 May 2008)
Views: 145 | Maoni (1) |
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com