MEMPHIS, Marekani TIMU ya mpira wa Kikapu ya Memphis Grizzlies imemrejesha kikosini beki wake wa kati, Hasheem Thabeet ambaye hivi karibuni alishushwa hadi katika kikosi cha timu ya Dakota Wizards inayoshiriki daraja la chini la NBA, linalojulikana kama Development League (NBDL)...
Na Saleh Ally KOCHA Mkuu wa Yanga Kosta Papic, amesema ni miujiza tu inayoweza kuwanyima Simba kupata pointi mbili katika mechi tatu ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom, lakini akasisitiza anataka kumaliza mzunguko wote wa pili bila kufungwa ikiwa ni pamoja na kuwatandika Simba tena...
Na Leah Kweka TIMU ya Simba inalikimbia jiji leo na kuelekea Kigamboni kwenye Hotel ya Bamba Beach, kwa ajili ya kujiwinda na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya Azam, pamoja na ule wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Lengthens ya Zimbabwe..
Na Mwandishi Wetu, Addis Ababa KOCHA wa zamani wa Yanga, Sredejovic Milutin ‘Micho’ amesema uongozi wa klabu hiyo umeshindwa kumtumia vilivyo aliyekuwa mfadhili wake mkuu, Yusuf Manji ili kuweza kupata mafanikio zaidi...
Na Samirah Phillip TIMU ya Gefle If ya Sweden anayochezea Haruna Moshi ‘Boban’ ilishindwa kutambiana na Sundsvall If ya Kali Ongala baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 juzi Jumapili...
Na Saleh Ally MZAMBIA, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema mechi yao na Azam FC Jumapili ijayo jijini Dar es Salaam ndiyo fainali na ushindi ndiyo jibu ambalo hata hivyo haliwezi kupatikana bila ya mabao, ndiyo maana ameamua kuwageukia washambuliaji wake na kuwanoa namna ya kulenga lango bila mashala...
Na Ahadi Kakore MSHAMBULIAJI nyota wa Azam FC, John Boko amesema kuwa licha ya Mussa Hassan Mgosi wa Simba kuongoza katika kupachika mabao, lakini bado asitarajie kuwa atachukua kiatu cha dhahabu kiulani kwa kuwa ligi bado inaendelea...
Akizungumza na Championi Jumatano, Chuji alisema bado safari yake ya kwenda Sweden haijakamilika, lakini endapo baada ya ligi mambo yatakuwa mazuri ataondoka kwenda kufanya majaribio huko, kwani lengo lake ni kucheza nje ya nchi...
Na Wilbert Molandi WASHAMBULIAJI Mrisho Ngassa na Jerry Tegete wa Yanga, jana waliifungia timu yao dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa katika Uwanja wa Uhuru na kuiwezesha kuzima nderemo za Simba za kutwaa ubingwa zilizokuwa zikitarajiwa kuanza mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam jana...
LONDON, England CHELSEA jana ilitinga hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la FA baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wa robo fainali uliopigwa katika Uwanja wa Stamford Bridge...
Na Saleh Ally, Ethiopia Timu ya soka ya Wanawake ya Taifa, Twiga Stars jana ilionyesha imepania kulinda heshima ya Tanzania baada ya kuichakaza Ethiopia maarufu kama 'Lucy' kwa mabao 3-1 katika mechi ya awali ya kuwania kucheza Kombe la Mataifa ya Afrika iliyochezwa kwenye Uwanja wake wa Addis unaochukua watazamaji wapatao 35,000...
Na Isaac Kijoti WAKATI Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia Patrick Phiri akishukuru kikosi chake kuanzia ugenini katika mchezo wa awali wa kuwania Kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF), wapinzani wao wameweka bayana kuwa kamwe Wekundu wa Msimbazi hao wasitegemee mteremko katika mechi hiyo...
Na Saleh Ally, Addis Ababa KOCHA Mkuu wa Klabu ya St George ya Ethiopia, Sredejovic Milutin ‘Micho’ ameonekana kushangazwa na wachezaji wengi wa Yanga wenye viwango vya juu kuendelea kubaki katika timu hiyo. Akizungumza jijini hapa jana, Micho raia wa Serbia aliyewahi kuinoa ...
Na Richard Bukos Mtangazaji wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachovunja mawingu kupitia Kituo cha Redio cha Times cha jijini Dar es Salaam, Khadija Shahibu ‘Dida’ hivi karibuni alitimuliwa na uongozi wa Baraza la Waislamu nchini ‘BAKWATA’, baada ya kutinga kwenye baraza hilo kudai talaka kwa mumewe...
Na Saleh Ally KOCHA Mkuu wa Yanga, Kosta Papic amesema leo ndiyo siku yake ya mwisho kuendelea kuifundisha klabu hiyo kwa kuwa amechoshwa na dharau na manyanyaso...