Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
|
 |
 |
|
 |
Na Adolph Balingilaki KUCHOKA? Huku Kamati ya Utendaji ya Simba ikiwa imekutana jana usiku ili kupitisha jina la kocha atakayeifundisha timu hiyo, kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Haruna Moshi ‘Boban’ amedai panguapangua ya makocha inayoendelea ndani ya klabu inawachosha akili wachezaji... |
|
 |
 |
|
 |
Na Khadija Mngwai WAKATI Taifa Stars, ikipangwa na mwenyeji kundi moja kwenye michuano ya wachezaji wanaocheza soka la ndani (CHAN), Kocha Mkuu wa kikosi hicho cha Tanzania, Mbrazil Marcio Maximo, amesema lengo lake ni kuhakikisha nyota wake wanapata nafasi ya kuchezea soka barani Ulaya ama Asia... |
|
 |
 |
|
Phiri, Basena wa URA saaafi Simba
|
champion |
|
|
 |
Na Mwandishi Wetu MIKAKATI ya kumnasa Kocha Mzambia, Patrick Phiri, sambamba na Kocha Mkuu wa URA ya Uganda, Basena Moses, imeelezwa kwamba sasa ni ‘saaafi’ na kwamba mmoja kati yao ataiongoza timu hiyo kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom... |
|
 |
 |
|
 |
Na Julius Kihampa SHETANI MSALABANI? Ikicheza kwa kasi katika kipindi cha kwanza, hiyo haikuwa dawa kwa Simba kuweza kuibeba Tanzania na kuingia fainali za Kombe la Tusker, pale ilipojikuta ikichapwa mabao 2-1 na timu ya Mamlaka ya Mapato Uganda (URA) katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa wa zamani jijini Dar es Salaam jana... |
|
 |
 |
|
 |
Na Waandishi Wetu KOCHA Mkuu wa timu ya soka Tanzania Bara, Marcio Maximo ametaja kikosi cha Kilimanjaro Stars kitakachoshiriki katika michuano ya Kombe la Chalenji inayotarajiwa kuanza Desemba 31 nchini Uganda... |
|
 |
 |
|
 |
Na Phillip Nkini MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Timu ya Taifa (Taifa Stars), Danny Mrwanda, ametua nchini hivi karibuni na kusema: “Jamani nimerudi kwa ajili ya Chalenji subirini mtaona moto nchini Uganda.”.. |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|