arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » champion

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» THE BLOOD DEAL - 15
» MUNGU NI ZAIDI YA YOTE
» GAMBOSHI- 16
» Hii ni Kali
» I will Die for my wife ...
» H Baba: Irene si lolote ...
» UTOAJI WA ZAWADI MOVEN ...

 

Kondic ajiuzulu

champion  
Kondic ajiuzulu
Waandishi Wetu, Dar na Uganda

HUKU wakitoa tahadhari kubwa ya majina yao kuwekwa kapuni kwa kuhofia kuchukuliwa hatu za kinidhamu, kwa nyakati tofauti wachezaji wa Klabu ya Yanga ambao wapo hapa jijini na nchini Uganda kwenye michuano ya Chalenji walisema: “Kondic ajiuzulu.”...
    (5 January 2009)
Views: 252 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Kocha Ivory Coast aisoma Stars Chalenji

champion  
Na Mwandishi Wetu, Uganda
HOFU ya kutoielewa vema Taifa Stars huku akitaka kuzisoma mbinu zainazotumiwa na Mbrazil Marcio Maximo imemfanya Kocha wa Ivory Coast, George Kouadio kuwasili nchini hapa kushuhudia michuano ya Chalenji...
    (5 January 2009)
Views: 112 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Amri: Njooni Zenji muone mastaa Simba

champion  
Na Phillip Nkini
KOCHA Msaidizi wa Timu ya Simba, Amri Said, amewataka wadau wa soka kwenda Zanzibar kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi kuwaona ‘mastaa’ wa Simba....
    (5 January 2009)
Views: 75 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga Kiboko

champion  
Yanga Kiboko
Na Waandishi Wetu

MKWARA? Tishio la Yanga juu ya ‘kuitazama kwa jicho la tatu’ Ligi Kuu Tanzania Bara, imeonekana kama mkwara tosha kwa Shirikisho la Kocha Tanzania (TFF), ambayo sasa imekubali kupangua ratiba ya ligi hiyo ili kuepusha malumbano kati yao...
    (31 December 2008)
Views: 164 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Boban: Tunageuzwa watoto Simba

champion  
Na Adolph Balingilaki

KUCHOKA? Huku Kamati ya Utendaji ya Simba ikiwa imekutana jana usiku ili kupitisha jina la kocha atakayeifundisha timu hiyo, kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Haruna Moshi ‘Boban’ amedai panguapangua ya makocha inayoendelea ndani ya klabu inawachosha akili wachezaji...
    (31 December 2008)
Views: 120 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kondic: Yanga basi

champion  
Kondic: Yanga basi
Na Julius Kihampa

KOCHA Mkuu wa Yanga , Dusan Kondic amesema klabu hiyo kwake imeanza kuwa ngumu hasa kila anapofikiria jinsi ya kufundisha wachezaji waliobaki kikosini hapo kwa sasa kutokana na wengi wanaounda kikosi cha kwanza kujiunga katika timu zao za taifa...
    (28 December 2008)
Views: 154 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Maximo: Stars ni wa Ulaya CHAN

champion  
Na Khadija Mngwai

WAKATI Taifa Stars, ikipangwa na mwenyeji kundi moja kwenye michuano ya wachezaji wanaocheza soka la ndani (CHAN), Kocha Mkuu wa kikosi hicho cha Tanzania, Mbrazil Marcio Maximo, amesema lengo lake ni kuhakikisha nyota wake wanapata nafasi ya kuchezea soka barani Ulaya ama Asia...
    (28 December 2008)
Views: 171 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Phiri, Basena wa URA saaafi Simba

champion  
Na Mwandishi Wetu

MIKAKATI ya kumnasa Kocha Mzambia, Patrick Phiri, sambamba na Kocha Mkuu wa URA ya Uganda, Basena Moses, imeelezwa kwamba sasa ni ‘saaafi’ na kwamba mmoja kati yao ataiongoza timu hiyo kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom...
    (28 December 2008)
Views: 98 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga: Maximo katuuza

champion  
Yanga: Maximo katuuza
Na Shufaa Lyimo

NI KWELI? Siku chache tu baada ya kutolewa katika michuano ya Kombe la Tusker kwa mtindo wa matokeo ya mezani, Yanga imemjia juu Kocha wa Taifa Stars, Marcio Maximo na kusema ndiye chanzo cha wao kufanya vibaya.
Msimamo huo wa Yanga ulitolewa na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Dusan Kondic wakati alipofanya mahojiano na gazeti hili na kumnyooshea kidole Maximo kwa kuchangia wao kutolewa mapema na kucheza mchezo mbovu katika michuano hiyo...
    (24 December 2008)
Views: 236 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Simba; Mwaka wa shetani

champion  
Na Julius Kihampa

SHETANI MSALABANI? Ikicheza kwa kasi katika kipindi cha kwanza, hiyo haikuwa dawa kwa Simba kuweza kuibeba Tanzania na kuingia fainali za Kombe la Tusker, pale ilipojikuta ikichapwa mabao 2-1 na timu ya Mamlaka ya Mapato Uganda (URA) katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa wa zamani jijini Dar es Salaam jana...
    (24 December 2008)
Views: 101 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Kilimanjaro Stars yatajwa

champion  
Na Waandishi Wetu

KOCHA Mkuu wa timu ya soka Tanzania Bara, Marcio Maximo ametaja kikosi cha Kilimanjaro Stars kitakachoshiriki katika michuano ya Kombe la Chalenji inayotarajiwa kuanza Desemba 31 nchini Uganda...
    (24 December 2008)
Views: 117 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Talib: Yanga imeua bendi

champion  
Talib: Yanga imeua bendi
Na Julius Kihampa

LICHA ya timu ya Simba jana kupenya nusu fainali ya michuano ya Tusker inayoendelea jijini Dar es Salaam, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Talib Hilal amesema: “Kutolewa kwa Yanga ‘kumeua bendi’, kwa kuwa kutaathiri mashindano hayo.”..
    (21 December 2008)
Views: 208 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Mrwanda atamba kuua Chalenji

champion  
Na Phillip Nkini

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Timu ya Taifa (Taifa Stars), Danny Mrwanda, ametua nchini hivi karibuni na kusema: “Jamani nimerudi kwa ajili ya Chalenji subirini mtaona moto nchini Uganda.”..
    (21 December 2008)
Views: 135 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga: Mtusamehe mauaji tutakayofanya

champion  
Yanga: Mtusamehe mauaji tutakayofanya
Na Adolph Balingilaki

MAUAJI? Wakati michuano ya Kombe la Tusker imeshaanza kutimua vumbi, Kocha Mkuu wa Yanga, Dusan Kondic ameomba msamaha kwa wakazi wa Afrika Mashariki kutokana na ‘mauaji’ makubwa atakayoyafanya dhidi ya timu ya Mamlaka ya Mapato ya Uganda (URA), pale zitakapokutana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo...

    (17 December 2008)
Views: 164 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Talib: Nimekuja kurudisha heshima Simba

champion  
Khadija Mngwai na Shufaa Lyimo
KOCHA wa muda wa Simba, Talib Hilal amesema kiini cha yeye kukubali kuja kuifundisha timu hiyo ni kuirejeshea heshima, ambayo ilionekana kuanza kupotea...
    (17 December 2008)
Views: 111 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 22 23 24  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com